×

Habari

Rais Samia Amteua Ummy Mwalimu Kuwa Mshauri wa Rais – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, kuwa Mshauri wa...

READ MORE

Video: Kyiv Yakumbwa na Mashambulizi Makubwa, Zelensky Aililia Marekani

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amesema msaada wa kijeshi kutoka Marekani ni muhimu zaidi kuliko wakati mwingine wowote baada ya...

READ MORE

RC Makalla Azindua Kamati 7 Maandalizi ya Mkutano wa IPU Arusha

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Gabriel Makalla amezindua kamati saba za Mkoa ambazo zitawajibika kusimamia maandalizi ya Mkutano...

READ MORE

Waziri Mkuu Afanya Mazungumzo na Balozi wa Palestina Dodoma

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mwigulu Nchemba, amefanya mazungumzo na Balozi wa Palestina nchini Tanzania, Salam Abu Sharar, leo Jumanne Juni...

READ MORE

Rais Samia Aelekea Urusi Kwa Ziara ya Siku Tatu, Kufungua Fursa Mpya za Uwekezaji

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo ameondoka nchini kuelekea Shirikisho la Urusi kwa ziara...

READ MORE

Emmanuela Mtatifikolo Ashinda Ubunge Ismani kwa Asilimia 93.5

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Ismani, Emmanuela Mtatifikolo ametangazwa mshindi wa uchaguzi uliofanyika Juni 1, 2026 baada ya kupata kura...

READ MORE

Video: Jinsi Polisi Walivyohukumiwa Kunyongwa Kwa Kumuua Mfanyabiashara Wa Madini (Part 1-3)

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Mtwara iliwahukumu kunyongwa hadi kufa watuhumiwa wawili kati ya maofisa saba wa jeshi la...

READ MORE

Airtel Money Yazidi Kuboresha Huduma, Yazindua Mfumo wa TUKUZA na ZECO

Zanzibar, Juni 2, 2026 – Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Tanzania, kupitia huduma yake ya Airtel Money, imeingia mkataba wa...

READ MORE

Shigongo Aibua Mjadala Mkali Kuhusu Sheria ya Manunuzi Nchini

Kupitia akaunti yake ya Instagram, Mbunge wa Buchosa, Eric Shigongo, ameandika ujumbe mzito akizungumzia changamoto katika utekelezaji wa Sheria ya...

READ MORE

Trump Atangaza Makubaliano ya Kusitisha Mapigano kati ya Israel na Hezbollah

Serikali ya Lebanon imetangaza makubaliano ya usitishaji wa sehemu wa mapigano kati ya kundi la Hezbollah na Israel, hatua inayotajwa...

READ MORE

Uchumi wa Russia Waanza Kuyumba, Serikali Yatafuta Njia ya Kuokoa Bajeti, Waziri wa Fedha Afunguka

Wizara ya Fedha ya Russia imeanza kupitia upya bajeti ya mwaka huu na inapanga kupunguza matumizi katika sekta zisizo za...

READ MORE

Rais Samia Kufanya Ziara ya Kihistoria Urusi Kukutana na Putin

Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya kitaifa ya siku tatu nchini Russia kuanzia Jumatano Juni 3 hadi 5,...

READ MORE

Wanafunzi 246,197 Waliopangiwa Kujiunga Kidato Cha Tano Wapaswa Kuripoti Shuleni

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amesema...

READ MORE

Mama Alia Mbele ya Waziri Mkuu Akidai Mwanaye Kuchukuliwa na Wanaojiita Polisi – Video

Kumetokea tukio la kusikitisha ambapo mama mmoja ameonekana akiomba msaada mbele ya Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, akidai kuwa mwanaye...

READ MORE

Kuwait Yalaani Mashambulizi ya Iran, Saudi Arabia na UAE Watoa Tamko

Serikali ya Kuwait imeishutumu Iran kwa kile ilichokiita mashambulizi ya mara kwa mara na ya kinyama, ikisema kuwa hatua hiyo...

READ MORE

Marekani Yaongeza Presha kwa Iran Katika Mazungumzo ya Amani

Mvutano kati ya Marekani na Iran umeendelea kushika kasi baada ya ripoti kueleza kuwa Rais Donald Trump ametuma pendekezo jipya...

READ MORE

Rais wa Colombia Akataa Matokeo ya Uchaguzi, Ahoji Mfumo wa Kuhesabu Kura

Rais wa Colombia anayemaliza muda wake, Gustavo Petro, ameibua mashaka kuhusu mchakato wa uchaguzi nchini humo baada ya matokeo ya...

READ MORE

Rais wa Iran Aripotiwa Kuomba Kujiuzulu, Adai Kutengwa Kwenye Maamuzi – Video

Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, anaripotiwa kuwasilisha ombi la kujiuzulu baada ya kudai kupokonywa mamlaka ndani ya mfumo wa uongozi...

READ MORE

Mbeto: Tanzania Ni Mwalimu wa Demokrasia Kusini mwa Sahara

Chama Cha Mapinduzi kimesema kwa namna yoyote kuihusisha Tanzania na Ubaguzi wa aina yoyote, au kudai inakiuka msingi ya demokrasia...

READ MORE

Israel Yateka Ngome ya Beaufort Lebanon Katika Operesheni Dhidi ya Hezbollah – Video

Jeshi la Israel limekamata eneo la kimkakati la Ngome ya Beaufort kusini mwa Lebanon, katika hatua ambayo Waziri Mkuu Benjamin...

READ MORE

Iran Yaikatalia Marekani: Hatutasaini Mkataba wa Kulazimishwa

Mjadala wa makubaliano kati ya Marekani na Iran umeingia katika hatua mpya ya mvutano baada ya Tehran kusema haitakubali mkataba...

READ MORE

Sababu 7 Zinazofanya Harrier Anaconda Kuwa Kivutio Kikubwa

Katika miaka ya karibuni, Toyota Harrier maarufu kama “Anaconda” imejijengea umaarufu mkubwa barabarani na mitaani, hasa miongoni mwa vijana, wafanyabiashara...

READ MORE

KCB Tanzania Yazindua Huduma ya KCB Lipa Kurahisisha Malipo ya Kidijitali

KCB Bank imezindua huduma mpya ya KCB Lipa kwa wafanyabiashara na wateja, hatua inayolenga kurahisisha malipo ya kidijitali nchini. Katika...

READ MORE

NMB Yaiweka Tanzania Kwenye Ramani ya Mitaji Cambridge

Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Bank Plc, Ruth Zaipuna, akitoa hotuba kuu katika Cambridge Africa Business Conference...

READ MORE

Familia Yalia: Sindano 15 Kila Siku, Msichana Ahitaji Msaada, Ateseka Miaka 18 – Video

Msichana Mariam Magomi, mkazi wa Sinza C jijini Dar es Salaam, anaishi katika maumivu makali kwa zaidi ya miaka 18...

READ MORE

Video: Wimbo wa Ozalima wa Mbosso Wabeba Hisia Nzito za Mapenzi

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Mbosso, ameendelea kuwavutia mashabiki kupitia wimbo wake mpya “Ozalima” ambao umeibua mjadala mkubwa kutokana...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Amri Kali, Walioiba Milioni 500 Manyoni Kukamatwa – Video

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza watumishi waliohusishwa na ubadhirifu wa zaidi ya shilingi milioni 500 katika Halmashauri ya Wilaya...

READ MORE

Trump: Iran Imekubali Kutoendeleza Silaha za Nyuklia, Mazungumzo Bado Magumu – Video

Rais wa Marekani Donald Trump amesema amepewa dhamana kutoka Iran kwamba taifa hilo halitatengeneza silaha za nyuklia, huku taarifa zikieleza...

READ MORE

Fortune Farm Inatikisa Wabashiri Wote Wa Kisasa

Mtaa umebadilika baada ya kuwasili kwa Fortune Farm ndani ya Meridianbet. Huu ni mchezo unaowapa vijana nafasi ya kusaka ushindi...

READ MORE

Harmonize Aipeleka Bongo Flava Zambia Kupitia “Hichilema” – Video

Wimbo mpya wa Harmonize akimshirikisha Chile One wa Zambia uitwao “Hichilema” umeendelea kuvuta hisia kubwa Afrika Mashariki na Kusini mwa...

READ MORE

Job Junction Tanzania Watangaza Nafasi ya Receptionist

Job Junction Tanzania Instagram imetangaza nafasi ya kazi ya Receptionist kwa waombaji wenye sifa zinazohitajika kufanya kazi jijini Dar es...

READ MORE

Meridianbet Yagusa Mioyo ya Wananchi kwa Kutoa Vyandarua Hospitali ya Mabwepande

Kampuni ya Meridianbet imeonesha tena moyo wa kijamii kwa kutoa msaada wa vyandarua maalumu kwa Hospitali ya Wilaya ya Kinondoni...

READ MORE

Tyla na Future Waungana Kwenye Wimbo wa Kombe la Dunia 2026

Msanii nyota kutoka Afrika Kusini Tyla anatajwa kuungana na rapa maarufu wa Marekani Future kwenye wimbo mpya wa Kombe la...

READ MORE

Vitu Muhimu 9 vya Kuzingatia Wakati wa Kununua Gari

Kununua gari ni uamuzi mkubwa wa kifedha na unahitaji uangalifu mkubwa. Iwe unanunua gari jipya au lililotumika, kuna mambo muhimu...

READ MORE

Miaka 18 Baadaye: Jk Akutana Tena Na Catherine, Binti Aliyefanyiwa Upasuaji Wa Moyo Akiwa Na Miaka Minne – Video

Rais mstaafu wa Awamu ya Nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Mei 29, 2026 amekutana tena na Bi. Catherine P. Conrad...

READ MORE

Urusi Yaishambulia Romania, Balozi Wa Urusi Afukuzwa, Hofu Yatanda Ulaya Mashariki -Video

Rais wa Romania Nicușor Dan ameitisha kikao cha dharura cha baraza kuu la ulinzi wa taifa kufuatia kile alichokitaja kuwa...

READ MORE

Wafanyabiashara Wapata Mbinu za Ukuaji Kupitia NMB Business Club

Mwenyekiti wa NMB Business Club Mkoa wa Dar es Salaam na Mjumbe wa Bodi ya Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT),...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Aongoza Viongozi Mazishi ya Mama Magufuli Chato, Geita

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel Nchimbi pamoja na viongozi mbalimbali wa Serikali, ndugu na...

READ MORE

Marekani na Iran Wakubaliana Kusitisha Vita kwa Siku 60

Mvutano kati ya Iran na United States unaweza kuingia katika hatua mpya ya utulivu baada ya mataifa hayo mawili kuripotiwa...

READ MORE

Dkt. Nchimbi: Mama Magufuli Ameacha Mfano wa Malezi na Uzalendo – Video

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE