×

Habari

Simulizi ya Msamaha wa Mama – 09

Mwandishi: SEID BIN SALIMWakati wao wanaingia ndani upande wa pili Hamad na Ticha wakiwa njiani wanarudi mjini ghafla walikutana na...

READ MORE

Samsung Galaxy Note7 Zapigwa Marufuku Kwenye Ndege

Maafisa wa uchukuzi wa ndege nchini Marekani wamewatahadharisha abiria wanaosafiri kwa ndege kutofungulia au kuchaji simu za Samsung Galaxy Note...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Makatibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa na Mara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 09 Septemba, 2016 amemteua Bw. Ado Steven...

READ MORE

Masanja Wali Nyama Yawa Gumzo UDSM (Video+Picha)

KAMPUNI  ya mchekeshaji wa kundi la Orijino Komedi, Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ wikiendi iliyopita iligeuka gumzo baada ya Masanja kuonekana akiwa...

READ MORE

Tundu Lissu : Prof. Lipumba Hana Hoja, Anawavuruga CUF

MBUNGE wa Singida Mashariki ambaye pia ni Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni,Tundu Lissu, amesema aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama...

READ MORE

Mwanamke Mdogo Mwenye Ndevu Ndefu Zaidi Duniani

Harnaam Kaur (24) ameshinda Guinness World Records kwa kuwa mwanamke mdogo mwenye ndevu ndefu zaidi duniani ambapo ndevu zake zina...

READ MORE

Ajali ya Treni Yaua 4 na Kujeruhi 49

Watu wanne wamefariki dunia na wengine 49 wamejeruhiwa baada ya treni kuacha njia na kugonga mnara karinu na eneo la ...

READ MORE

Mwanzilishi wa Facebook Achangia Mamilioni Kusaidia Kumbwaga Trump

Mmoja ya waanzilishi wa Facebook, Dustin Moskovitz amechangia $ 20m kwa Democrats, kusaidia kumbwaga mgombea urais wa Marekani kwa tiketi...

READ MORE

Makamu wa Rais Atembelea Kituo cha Kuchakata Gesi

Makamu wa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amewataka wafanyakazi wa kiwanda cha kuchakata gesi asilia kilichopo Madimba mkoani Mtwara wawe...

READ MORE

Viongozi wa EAC Wagoma Kusaini Mkataba wa Ulaya

JUMUIYA ya Afrika Mashariki (EAC), imeiomba Jumuiya ya Ulaya (EU), iipe muda wa miezi mitatu kujua hatima ya wao kusaini...

READ MORE

Korea Kaskazini Yalipua Bomu Kama la Hiroshima

Shirika la habari la serikali ya Korea Kaskazini limesema taifa hilo limefanya majaribio ya bomu kupima uwezo wa bomu lake...

READ MORE

Makongo Juu, Goba waligombea Ijumaa likiwa katika muonekano mpya

BAADHI ya wasomaji  magazeti wamelichangamkia gazeti bora la Ijumaa ambalo linaongoza kwa kuandika habari za mastaa wa Kibongo na Mamtoni...

READ MORE

Msafara wa Makamu wa Rais Wapata Ajali Mtwara

Msafara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Mama Samia Suluhu Hassan ambao ulikuwa unaelekea Wilayani Tandahimba...

READ MORE

Mchungaji Lwakatare Awatoa Wafungwa 78 Gerezani (Picha + Video)

Mchungaji Kiongozi, Dk. Getrude Lwakatare,  kupitia kanisa lake la Assemblies  of God (Mlima wa Moto) aliwalipia wafungwa 78 katika magereza...

READ MORE

Videos: Bifu la Mama Wema na Man Fongo Lafikia Pabaya!

MAMA wa Miss Tanzania 2016, Wema Sepetu, Bi. Miriam Sepetu ameingia kwenye headlines mitandaoni baada ya kutofautiana na mkali wa...

READ MORE

Maji ya Mto Yageuka Rangi ya Damu

Wachunguzi wa masuala ya mazingira nchini Urusi wanajaribu kubaini chanzo cha maji ya mto ulio karibu na kiwanda cha Nikeli...

READ MORE

Familia ya bilionea Msuya yataka usimamizi wa mirathi

Na JANETH MUSHI, ARUSHA WAKATI mke wa marehemu bilionea Erasto Msuya, Miriam Msuya akisota rumande kwa tuhuma za mauaji ya...

READ MORE

Azifukua Maiti na Kuzivika Suti Mpya

INDONESIA: Kabila la Torajan la nchini Indonesia wamefukua maiti za ndugu zao kwenye makaburi na kuzivika nguo mpya. Tukio hilo...

READ MORE

Meya wa Kinondoni, Boniface Jacob Ahojiwa na Polisi

Pamoja na ufafanuzi huo, Jacob aliwataka baadhi yao (askari) kushiriki kwenye mkutano huo wa wanahabari kufuatilia alichotaka kuwaeleza wanahabari na...

READ MORE

Mahakama Yaizuia NHC Kupiga Mnada Mali za Freeman Mbowe

Mahakama Kuu ya Tanzania, Kitengo cha Ardhi imeliamuru Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kutouza au kupiga mnada mali za...

READ MORE

Simulizi ya Msamaha wa Mama – 08

Mwandishi: SEID BIN SALIM Lilikuwa swali zito sana kwake kulijibu, machozi yalimtiririka kama baadhi ya wanafunzi ambao walikuta matokeo ya...

READ MORE

Zantel Yatoa Mbuzi kwa Watoto Yatima Kusherehekea Sikukuu ya Idd

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya simu za mkononi ya Zantel, Benoit Janin kulia), akikabidhi mbuzi 12 kwa Kaimu Mufti, Sheikh...

READ MORE

Kauli ya Kamanda Sirro Kuhusu Kukamatwa kwa Wanaolala Gesti Mchana, Dar

Kamishna wa Polisi Kanda Maalum Dar Es Salaam anatoa rai kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam na wageni...

READ MORE

Mama Lwakatare Awanusuru Wafungwa 12 Keko

Kanisa la Assemblies of God, Mikocheni B (Mlima wa Moto) chini ya kiongozi wake, Mchungaji Dk. Getrude Lwakatare, limewatoa wafungwa...

READ MORE

JPM Aongoza Mkutano wa 17 wa Dharula wa Wakuu wa EAC, Ikulu-Dar

 Mwenyekiti wa Jumuiya ya Nchi za Afrika Mashariki Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Katibu Mkuu wa Jumuiya Bw. Liberat...

READ MORE

Bungeni: Majibu ya Waziri Mkuu Kuhusu Mauaji ya Askari na Uchumi wa Nchi

DODOMA: Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kukutana na wadau tofauti wanaohusika na masuala ya uchumi katika kuhakikisha...

READ MORE

Huyu Hapa Kikongwe Mwenye Miaka 145 na Bado Anavuta Sigara

MZEE Mbah Gotho raia wa Indonesia anaamini yeye ndiye binadamu mzee zaidi kuwahi kuishi duniani kwani ameishi miaka mingi zaidi...

READ MORE

Mr Blue, Barakah Da’ Prince Wapatana

BAADA ya kutibuana kisa kikiwa Naj, hatimaye wakali wa Bongo Fleva, Mr Blue na Barakah Da’ Prince wameamua kuwa kitu kimoja....

READ MORE

Simulizi ya Msamaha wa Mama – 06

MWANDISHI/MTUNZI SEID BIN SULTAN NILIONGEA kwa huruma na sauti ya chini kwani tayari nilishahisi kuna kitu nimemkosea mUme wangu na...

READ MORE

Mahakimu 11 Wafukuzwa Kazi, Wengine 30 Kikaangoni

WATUMISHI 34 wa mahakama wakiwemo mahakimu 11, wamefukuzwa kazi kutokana na makosa mbalimbali ya kinidhamu. Aidha, Tume ya Utumishi wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Akagua Makazi Yake Mapya Dodoma

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya ziara ya kukagua ujenzi wa makazi mapya ya Waziri Mkuu katika eneo la Mlimwa na...

READ MORE

Museveni Awasili Dar Kuhudhuria Mkutano wa Viongozi wa EAC

Mwenyekiti wa Jumuya ya Afrika Mashariki Rais Dkt John Pombe Magufuli akitambulisha wasaidizi wake kwa Mgeni wake, Rais wa Uganda...

READ MORE

Wazee Wahofia Chadema Kuhujumiwa

BARAZA la Wazee la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) limesema lina hofu ya kuhujumiwa chama chao kupitia kwa ofisi...

READ MORE

Tambwe Awachimba Mkwara Mavugo, Bocco

MFUNGAJI bora wa msimu uliopita, Amissi Tambwe (pichani) amewachimba mkwara washambuliaji wa Simba, Laudit Mvugo na John Bocco wa Azam...

READ MORE