Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kichere, leo Machi 30, 2026 amewasilisha Ripoti Kuu ya mwaka wa...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 30, 2026 amepokea ripoti mbalimbali kutoka taasisi za...
READ MOREAliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini, Seleman Bungara maarufu kwa jina la ‘Bwege’ amefariki dunia mchana wa leo, Machi...
READ MORERais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika...
READ MORERais wa Marekani Donald Trump amesema anatafakari mpango tata na hatari wa kijeshi unaolenga kuingia ndani ya Iran kwa muda...
READ MOREMwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge wa Jimbo...
READ MOREWaingereza watano wanashikiliwa na mamlaka za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), huku wengine zaidi ya 70 wakidaiwa kukumbwa na...
READ MORERais wa Marekani, Donald Trump, amezua mjadala baada ya kueleza kuwa wakati mwingine hupenda kuwa karibu na watu anaowaona kama...
READ MORESpika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ametoa onyo kali kwa Marekani akisema majeshi ya nchi yake yako tayari...
READ MOREMwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi, umefikishwa nyumbani...
READ MOREDAR ES SALAAM, 28 Machi 2026 — Hyatt Regency Dar es Salaam, Studiored Communications imeandaa toleo la pili la kongamano...
READ MOREWaziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa ufafanuzi rasmi kuhusu hatma ya eneo la Coco Beach, akisisitiza kuwa halitauzwa kwa mwekezaji...
READ MOREDar es Salaam, Tanzania – 27 Machi 2026 – Mixx by Yas leo imezindua Wakala App, jukwaa la kisasa...
READ MOREPapa Pope Leo XIV ametoa ujumbe mzito kwa matajiri wakati wa ziara yake ya kihistoria nchini Monaco, akiwataka kutumia utajiri...
READ MOREIngawa vyakula vya baharini vinajulikana kuwa na faida kubwa kiafya, si kila samaki au sahani ya seafood ni salama au...
READ MOREMwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi, umefikishwa katika...
READ MOREJeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kuwakamata watu wanane wanaotuhumiwa kuhusika na matukio matatu tofauti ya uhalifu yaliyotokea katika...
READ MOREMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
READ MORERais wa zamani wa Marekani Donald Trump amezua mjadala baada ya kuonekana kukwepa kujibu swali muhimu kuhusu hali ya kibinadamu...
READ MOREKiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, amekataa vikali madai kwamba dini au Mungu vinaweza kutumika kuhalalisha vita, akisisitiza...
READ MOREMaelfu ya Wamarekani wameandamana katika majimbo yote 50 ya Marekani kupitia harakati za “No Kings” (Hatutaki Madikteta), wakipinga sera na...
READ MOREDodoma, 30 Machi 2026 – Wakazi wa Dodoma na maeneo ya jirani pamoja na wasafiri wa treni ya umeme (SGR)...
READ MOREKathmandu, Nepal – Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Nepal, K. P. Sharma Oli, amekamatwa na mamlaka za nchi hiyo kufuatia uchunguzi...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 28, 2026 ameongoza mamia ya viongozi na maelfu...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaongoza Watanzania kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Waziri wa...
READ MOREMsururu wa mashambulizi ya drones na makombora wapiga mataifa ya Ghuba; uwanja wa ndege wa Kuwait na kambi ya Marekani...
READ MOREWanajeshi 12 wa Marekani wamejeruhiwa kufuatia shambulio lililolenga Kambi ya Anga ya Prince Sultan nchini Saudi Arabia, huku vita kati...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, katika matukio tofauti ya picha, alipoongoza Watanzania kuuaga mwili wa...
READ MOREMWANZA, Machi 28, 2026. Kundi la wafanyakazi wanawake wa Airtel Tanzania mkoani Mwanza siku ya Jumamosi walitembelea kituo cha watoto...
READ MOREWaziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewataka walimu 150 wa Amali za Kihandisi...
READ MOREWADUKUZI wanaodaiwa kuwa na uhusiano wa karibu na Iran wamezua taharuki kubwa kimataifa baada ya kudai kuidukua akaunti binafsi ya...
READ MORE Kikosi cha 82nd Airborne Division cha jeshi la Marekani kimekuwa sehemu ya mjadala mkubwa wa kisiasa na kijeshi, huku...
READ MOREMakamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030...
READ MOREKadri mvutano unavyozidi kuongezeka katika Mlango wa Strait of Hormuz, Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi lengo lake kuu...
READ MOREMwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), marehemu William Lukuvi, ulivyowasili...
READ MOREMoshi ilichangamka kwa maelfu ya wakimbiaji na mashabiki walioshiriki Kilimanjaro Marathon 2026, tukio linaloendelea kuunganisha michezo, utalii na jamii...
READ MOREDar es Salaam – Airtel Tanzania imezindua rasmi mnara wa mawasiliano wenye teknolojia ya 4G na 5G katika mtaa wa...
READ MOREMarehemu William V. Lukuvi alizaliwa katika Mkoa wa Iringa na alikulia katika mazingira yaliyomjenga kuwa kiongozi mwenye nidhamu, bidii na...
READ MORECanterbury, England — Sarah Mullally ameweka historia baada ya kuapishwa rasmi kuwa Askofu Mkuu wa Canterbury, hatua inayomfanya kuwa mwanamke...
READ MOREShughuli ya kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na...
READ MORE