×

Habari

CAG: Deni la Serikali lafikia Trilioni 110.05, Lakini Bado Salama – Video

Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Charles Kichere, leo Machi 30, 2026 amewasilisha Ripoti Kuu ya mwaka wa...

READ MORE

Rais Samia Apokea Ripoti ya CAG, TAKUKURU na PPRA (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 30, 2026 amepokea ripoti mbalimbali kutoka taasisi za...

READ MORE

‘Bwege’ Afariki Dunia Akiwa Hospitalini Kigamboni

Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kilwa Kusini, Seleman Bungara maarufu kwa jina la ‘Bwege’ amefariki dunia mchana wa leo, Machi...

READ MORE

Kikwete Awasilisha Ripoti ya Migogoro kwa Rais wa Malawi

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Jopo la Wazee la Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika...

READ MORE

Trump Atishia Kuchukua Mafuta Iran na Kuteka Kisiwa cha Kharg – Video

Rais wa Marekani Donald Trump amesema anatafakari mpango tata na hatari wa kijeshi unaolenga kuingia ndani ya Iran kwa muda...

READ MORE

Mwili wa William Lukuvi Waagwa Iringa Kabla ya Mazishi Idodi Kesho (Picha +Video)

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), na Mbunge wa Jimbo...

READ MORE

Waingereza Wakamatwa UAE Kwa Kupiga Picha Mashambulizi ya Makombora

Waingereza watano wanashikiliwa na mamlaka za Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), huku wengine zaidi ya 70 wakidaiwa kukumbwa na...

READ MORE

Donald Trump Atoa Kauli Tata Kuhusu Mafanikio na Uongozi

Rais wa Marekani, Donald Trump, amezua mjadala baada ya kueleza kuwa wakati mwingine hupenda kuwa karibu na watu anaowaona kama...

READ MORE

Iran Yatoa Onyo Kwa Marekani Wanajeshi Zaidi Wakipelekwa Mashariki ya Kati

Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Bagher Ghalibaf, ametoa onyo kali kwa Marekani akisema majeshi ya nchi yake yako tayari...

READ MORE

Mwili wa Lukuvi Ulivyowasili Nyumbani Gangilonga Iringa kwa Heshima za Mwisho

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi, umefikishwa nyumbani...

READ MORE

Wanawake 200 Wakutana jijini Dar Kujenga Utajiri na Kudai Nguvu Yao ya Kifedha

DAR ES SALAAM, 28 Machi 2026 — Hyatt Regency Dar es Salaam, Studiored Communications imeandaa toleo la pili la kongamano...

READ MORE

Mwigulu Aweka Wazi Hatma ya Coco Beach “Haiuzwi Ni Kwa Wananchi” (Picha +Video)

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ametoa ufafanuzi rasmi kuhusu hatma ya eneo la Coco Beach, akisisitiza kuwa halitauzwa kwa mwekezaji...

READ MORE

Mixx Yazindua Wakala App Kubadili Mfumo wa Mawakala

  Dar es Salaam, Tanzania – 27 Machi 2026 – Mixx by Yas leo imezindua Wakala App, jukwaa la kisasa...

READ MORE

Papa Leo XIV Atoa Ujumbe Mzito kwa Matajiri, Aisisitiza Haki Kwa Wengine

Papa Pope Leo XIV ametoa ujumbe mzito kwa matajiri wakati wa ziara yake ya kihistoria nchini Monaco, akiwataka kutumia utajiri...

READ MORE

Vyakula 8 vya Baharini Vinavyoweza Kukuletea Madhara Makubwa Bila Kujua

Ingawa vyakula vya baharini vinajulikana kuwa na faida kubwa kiafya, si kila samaki au sahani ya seafood ni salama au...

READ MORE

Mwili wa Lukuvi Ulivyowasili Iringa kwa Shughuli za Mwisho – Picha

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi, umefikishwa katika...

READ MORE

Video: Mwajuma na Mwanaye Wauawa na Kutupwa Kisimani

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kuwakamata watu wanane wanaotuhumiwa kuhusika na matukio matatu tofauti ya uhalifu yaliyotokea katika...

READ MORE

Nchimbi Amwakilisha Rais Samia Katika Mkutano wa OACPS Guinea ya Ikweta

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Trump Akwepa Swali Muhimu Kuhusu Hali ya Watu Iran, Abadilisha Mada

Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump amezua mjadala baada ya kuonekana kukwepa kujibu swali muhimu kuhusu hali ya kibinadamu...

READ MORE

Papa Leo XIV Aponda Vita Jumapili ya Matawi ‘Mungu Hahusiki na Mauaji’

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo XIV, amekataa vikali madai kwamba dini au Mungu vinaweza kutumika kuhalalisha vita, akisisitiza...

READ MORE

Video: Wamarekani Waandamana Kumpinga Trump na Kupinga Vita Dhidi ya Iran

Maelfu ya Wamarekani wameandamana katika majimbo yote 50 ya Marekani kupitia harakati za “No Kings” (Hatutaki Madikteta), wakipinga sera na...

READ MORE

Yas Yazindua Duka Jipya Dodoma, Walenga Abiria wa SGR

Dodoma, 30 Machi 2026 – Wakazi wa Dodoma na maeneo ya jirani pamoja na wasafiri wa treni ya umeme (SGR)...

READ MORE

Kiongozi wa Zamani Nepal Akamatwa Kufuatia Vifo vya Maandamano ya Gen Z

Kathmandu, Nepal – Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Nepal, K. P. Sharma Oli, amekamatwa na mamlaka za nchi hiyo kufuatia uchunguzi...

READ MORE

Rais Samia Atoa Heshima za Mwisho kwa Hayati Lukuvi Karimjee, Dar (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Machi 28, 2026 ameongoza mamia ya viongozi na maelfu...

READ MORE

Rais Samia Atoa Funzo la Uongozi Akimuenzi Lukuvi (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaongoza Watanzania kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Waziri wa...

READ MORE

Video: Iran Yafyatua Msururu wa Makombora Kuwait, Uwanja wa Ndege Washambuliwa

Msururu wa mashambulizi ya drones na makombora wapiga mataifa ya Ghuba; uwanja wa ndege wa Kuwait na kambi ya Marekani...

READ MORE

Wanajeshi 12 wa Marekani Wajeruhiwa Baada ya Iran Kurusha Kombora

Wanajeshi 12 wa Marekani wamejeruhiwa kufuatia shambulio lililolenga Kambi ya Anga ya Prince Sultan nchini Saudi Arabia, huku vita kati...

READ MORE

Rais Samia Alivyoongoza Kuuaga Mwili wa Lukuvi (Picha+Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, katika matukio tofauti ya picha, alipoongoza Watanzania kuuaga mwili wa...

READ MORE

Airtel Divas Mwanza Wakabidhi Msaada Kituo cha Watoto Yatima Busweru

MWANZA, Machi 28, 2026. Kundi la wafanyakazi wanawake wa Airtel Tanzania mkoani Mwanza siku ya Jumamosi walitembelea kituo cha watoto...

READ MORE

Prof. Shemdoe Awaasa Walimu 150 Kuzingatia Mafunzo Nchini India ili Kuleta Mageuzi ya Elimu

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amewataka walimu 150 wa Amali za Kihandisi...

READ MORE

Mkurugenzi wa FBI Marekani Adukuliwa na Kundi la Wahalifu Mtandaoni – Video

WADUKUZI wanaodaiwa kuwa na uhusiano wa karibu na Iran wamezua taharuki kubwa kimataifa baada ya kudai kuidukua akaunti binafsi ya...

READ MORE

Fahamu Jeshi Hatari la Parachuti Linaloweza Kutumwa Popote Duniani

 Kikosi cha 82nd Airborne Division cha jeshi la Marekani kimekuwa sehemu ya mjadala mkubwa wa kisiasa na kijeshi, huku...

READ MORE

Wasira Awatolea Uvivu Walioanza Mbio Za Urais Mwaka 2030 (Picha +Video)

Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amewaonya wanachama walioanza harakati za kusaka urais mwaka 2030...

READ MORE

Marekani Yatuma Wanajeshi Hormuz, Donald Trump Aweka Mkakati Mpya

Kadri mvutano unavyozidi kuongezeka katika Mlango wa Strait of Hormuz, Rais wa Marekani Donald Trump ameweka wazi lengo lake kuu...

READ MORE

Picha 15 za Safari ya Mwisho ya Lukuvi Kutoka Dodoma mpaka Dar, Kuagwa Rasmi leo

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), marehemu William Lukuvi, ulivyowasili...

READ MORE

TBL Yaendeleza Mafanikio Kupitia Kilimanjaro Marathon 2026

  Moshi ilichangamka kwa maelfu ya wakimbiaji na mashabiki walioshiriki Kilimanjaro Marathon 2026, tukio linaloendelea kuunganisha michezo, utalii na jamii...

READ MORE

Airtel Yachochea Uchumi wa Kidijitali kwa Uzinduzi wa Mnara Mpya Dar

Dar es Salaam – Airtel Tanzania imezindua rasmi mnara wa mawasiliano wenye teknolojia ya 4G na 5G katika mtaa wa...

READ MORE

Wasifu Kamili wa William Lukuvi Uliosomwa Rasmi na Serikali – Video

Marehemu William V. Lukuvi alizaliwa katika Mkoa wa Iringa na alikulia katika mazingira yaliyomjenga kuwa kiongozi mwenye nidhamu, bidii na...

READ MORE

Mwanamke Aweka Rekodi, Aapishwa Kuwa Askofu Mkuu Uingereza

Canterbury, England — Sarah Mullally ameweka historia baada ya kuapishwa rasmi kuwa Askofu Mkuu wa Canterbury, hatua inayomfanya kuwa mwanamke...

READ MORE

Viongozi, Wananchi Wajitokeza Kuaga Mwili wa Lukuvi Viwanja vya Bunge Dodoma (Picha +Video)

Shughuli ya kuaga mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu) na...

READ MORE