×

Habari

Hakimu Hellerstein Kusikiliza Pingamizi la Kisheria la Maduro

New York, Marekani – Rais wa zamani wa Venezuela, Nicolás Maduro, kurejea mahakamani Alhamisi 27, 2026 mjini New York huku...

READ MORE

Polisi Wakamata Pikipiki 248 Zisizofuata Sheria, Operesheni Yaendelea

Katika kuhakikisha huduma ya usafiri inakuwa salama pamoja na kupunguza kero zitokanazo na bodaboda, Kamati ya Usalama wilaya ya Arusha...

READ MORE

Lukuvi Kuagwa Dodoma Bungeni leo, Dar Machi 28 Kuzikwa Iringa Machi 31, 2026 – Video

Mwili wa aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), William Lukuvi (70), utazikwa...

READ MORE

Trump Atoa Onyo Kwa Viongozi wa Iran Kufanya Mazungumzo ‘Hakutakuwa na Kurudi Nyuma’

Washington, Machi 26, 2026 – Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali kwa viongozi wa Iran juu ya mazungumzo...

READ MORE

Israel Yadai Kumuua Mkuu wa Jeshi la Majini la IRGC Katika Shambulio

Tel Aviv, Machi 26, 2026 – Israel imedai kumuua kamanda mkuu wa jeshi la majini la Walinzi wa Mapinduzi ya...

READ MORE

Dkt. Mwigulu: Tuendelee Kumuombea William Lukuvi na Kuifariji Familia Yake

 WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amewaomba Watanzania waendelee kumuombea kwa Mwenyezi Mungu aliyekuwa Waziri Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu,...

READ MORE

Juma Lokole Amwaga Machozi Baada ya Kupewa Gari Siku ya Birthday

Dar es Salaam – Msanii na mchekeshaji maarufu, Juma Lokole, amegusa hisia za mashabiki baada ya kuonekana akimwaga machozi ya...

READ MORE

Oryx Gas Yazindua Duka Chato Kusogeza Nishati Safi ya Kupikia

KAMPUNI ya Oryx Gas Tanzania imeendelea kuunga mkono juhudi za Serikali kusogeza nishati safi ya kupikia kwa wananchi baada ya...

READ MORE

Trump: Tumekata Saratani ya Nyuklia Iran, Vita Yaelekea Mwisho

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa Marekani kwa kushirikiana na Israel imefanikiwa kudhoofisha kwa kiwango kikubwa mpango wa nyuklia...

READ MORE

TBL Yachukua Hatua Muhimu Kulinda Mifumo ya Maji Jijini Dar es Salaam

Kampuni ya Tanzania Breweries PLC (TBL) imeadhimisha Siku ya Maji Duniani kwa kuchukua hatua ya moja kwa moja ya kulinda...

READ MORE

ALAF Yaahidi Kuendelea Kuwekeza Katika Afya za Wafanyakazi Kupitia Kili Marathon

Moshi, Tanzania – Kampuni ya ALAF Limited imeahidi kuendelea kuwekeza zaidi katika afya za wafanyakazi wake kwa kuhimiza ushiriki wao...

READ MORE

Video: Serikali Yatoa Mwongozo Kwa Waliopoteza Pasipoti Nje ya Nchi

Ofisa Uchunguzi Mkuu kutoka Sekretarieti ya Kuzuia na Kupambana na Usafirishaji Haramu wa Binadamu, Selestine Makoba, amewataka Watanzania walioko nje...

READ MORE

Nchi Za Kiarabu Zalalamika Kushambuliwa Na Iran, Zatoa Onyo – Video

Nchi za Ghuba ya Kiarabu zimeendelea kutoa onyo kali kuhusu hali ya usalama katika eneo hilo, zikieleza kuwa zinakabiliwa na...

READ MORE

Rais Mstaafu Kikwete Ateuliwa Kuwa Mwakilishi Maalum Wa Pembe Ya Afrika Na Bahari Nyekundu

Rais Mstaafu Dkt, Jakaya Mrisho Kikwete ameteuliwa kuwa Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika kwa Ukanda wa Pembe ya Afrika...

READ MORE

Serikali Yasisitiza Ubora wa Maudhui kwa Ajili ya Vijana

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewataka watayarishaji wa vipindi vya elimu kwa umma kuandaa maudhui yatakayowafikia na kuwagusa vijana kwa...

READ MORE

PDPC Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Usajili wa CCTV, Yatoa Elimu Mpya

Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imebaini kuwepo kwa taarifa zisizo sahihi zinazosambazwa mitandaoni zikidai kuwa kila mwenye kamera...

READ MORE

Jeshi la Magereza Lakanusha Taarifa za Kuhusu Afya ya Tundu Lissu

Jeshi la Magereza nchini Tanzania limetoa kanusho kali dhidi ya taarifa zilizoandikwa na baadhi ya magazeti zikidai kuwa hali ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Mwigulu Aeleza Masikitiko Yake Kufuatia Kifo cha Lukuvi – Video

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William Vangimembe Lukuvi kilichotokea leo Machi 25, 2026. Waziri...

READ MORE

Rais Mwinyi Atoa Pole Kifo cha Lukuvi, Asema Ni Pigo Kubwa kwa Taifa

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Hussein Ali Mwinyi, ametoa salamu za pole kufuatia kifo cha William...

READ MORE

Trump Atangaza Ushindi Dhidi ya Iran, Asema Marekani Yadhibiti Anga ya Iran – Video

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa nchi yake imepata ushindi mkubwa katika vita dhidi ya Iran, akidai kuwa uwezo...

READ MORE

Video: Lukuvi Aacha Historia Nzito Tanzania, Huu Ndio Wasifu Wake

 Kifo cha William Vangimembe Lukuvi kimeacha pengo kubwa katika uongozi na jamii ya Tanzania, huku akitambulika kama mmoja wa...

READ MORE

Heche Aibua Hofu ya Usalama wa Tundu Lissu, Ataka Uwazi Zaidi kwa Mamlaka

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Bara, John Heche, ameibua hofu kuhusu usalama wa Tundu Lissu, akisisitiza kuwa...

READ MORE

Trump Adai Iran Yasalimu Amri Kuhusu Nyuklia, Atamba Kupewa Zawadi Kubwa

Rais wa Marekani, Donald Trump, amedai kuwa Iran imekubali rasmi kutokuwa na silaha za nyuklia, akisema pia kuwa taifa hilo...

READ MORE

Iran Yakataa Mazungumzo na Trump, Yasema Marekani Inajizungumzia Yenyewe – Video

Mvutano kati ya Iran na Israel umeendelea kushika kasi baada ya pande hizo mbili kubadilishana mashambulizi ya anga siku ya...

READ MORE

Mwanasiasa Mkongwe William Lukuvi Afariki Dodoma – Video

Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, William Vangimembe Lukuvi, amefariki dunia asubuhi ya Machi 25, 2026 akiwa katika Hospitali ya Benjamin Mkapa...

READ MORE

Ubunifu wa Tehama Waongeza Ushiriki Masoko ya Mitaji

WAZIRI wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, ameagiza wadau wote katika masoko ya mitaji na dhamana wazingatie sheria na kanuni...

READ MORE

Mnyika Afichua Mapya Zuio la Chadema Mahakama ya Rufaa Dodoma

Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), John Mnyika, amesema mwenendo wa shauri la marejeo ya kesi ya...

READ MORE

Airtel Yafanikiwa Majaribio ya Huduma za Data na SMS kupitia Starlink

Dubai, Machi 2026: Airtel Africa kwa kushirikiana na SpaceX wametangaza kufanikiwa kwa majaribio ya huduma za data na ujumbe (SMS)...

READ MORE

Pakistan Yajitolea Kuandaa Mazungumzo Kati ya Iran na Marekani

Waziri Mkuu wa Pakistan, Shehbaz Sharif, ameonesha utayari wa nchi yake kuwa mwenyeji wa mazungumzo ya amani kati ya Marekani...

READ MORE

Ushirikiano wa Nmb na DarTU; Hatua Halisi Kujenga Kizazi Tayari Kwa Ajira

  Afisa Mkuu Rasilimali Watu wa Benki ya NMB, Bw. Emmanuel Akonaay (kushoto) pamoja na Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu...

READ MORE

Tantrade Inaongoza Mageuzi ya Sekta ya Biashara Nchini Kupitia Mpango wa Cart.is

TanTrade inaongoza mageuzi ya sekta ya biashara nchini Tanzania kupitia Mpango wa CART.IS, unaolenga kuimarisha biashara ya kidijitali kwa urahisi...

READ MORE

Real Admiral Hassan Awataka Wataalam Uokoaji Kufanya Kazi Kwa Weledi

Mkuu wa Kamandi ya Jeshi la Wanamaji, Real Admiral Ameir Ramadani Hassan, amewataka wataalam wa zimamoto na uokoaji wa Jeshi...

READ MORE

TBL Yashiriki Zoezi la Usafi Kulinda Mifumo ya Maji Taka Dar es salaam

Kampuni ya Tanzania Breweries Plc (TBL) imefanya zoezi la usafi katika Wilaya ya Ilala, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni...

READ MORE

Spika Zungu Akagua Ukumbi wa Bunge Kabla ya Mkutano wa Bajeti 2026/27 – (Picha + Video)

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, leo Machi 24, 2026 amekagua ukumbi wa Bunge...

READ MORE

Tukio la Kusikitisha Kigamboni: Mwanadada Auawa, Wakazi Wabaki na Maswali – Video

Hali ya huzuni na simanzi imetawala eneo la Kisota, Kigamboni, kufuatia kifo cha kusikitisha cha mwanadada Lina Kimaro, aliyedaiwa kuuawa...

READ MORE

Tanzania Mnufaika wa Mpango wa TEF wa Ujasiriamali Afrika 2026

Tanzania imepata uwakilishi miongoni mwa wanufaika wa Mpango wa Ujasiriamali wa Taasisi ya Tony Elumelu (TEF) wa mwaka 2026, huku...

READ MORE

Kongamano la Kiswahili Duniani Lafunguliwa Rasmi Jijini Arusha

  Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, ameungana na Waziri wa Habari,...

READ MORE

Video: Mlipuko Mkubwa Watikisa Kiwanda cha Mafuta Texas, Moto Wazuka

Mlipuko mkubwa na moto mkali umezuka katika kiwanda cha kusafisha mafuta cha Port Arthur, kinachomilikiwa na Valero Energy, kilichopo katika...

READ MORE

Chuck Norris Aacha Urithi Mkubwa Mke na Watoto Watano Kunufaika

Gwiji wa sanaa za mapigano na filamu, Chuck Norris, ameacha urithi mkubwa wenye thamani ya takriban dola milioni 70 sawa...

READ MORE

Ajali ya Ndege ya Jeshi Colombia Yaua 66, Wengine 80+ Wajeruhiwa

Ndege ya Jeshi iliyokuwa imebeba takribani watu 125, wengi wao wakiwa wanajeshi, imeanguka muda mfupi baada ya kupaa katika mji...

READ MORE