×

Habari

Naibu Waziri wa Uchukuzi Kihenzile Akabidhi Kontena Lenye Vifaa vya Hospitali ya Wilaya ya Mufindi

Mbunge wa Mufindi Kusini ambeye pia ni Naibu Waziri wa Uchukuzi David Kihenzile amekabidhi kontena lenye shehene yenye vifaa mbalimbali...

READ MORE

Serikali yaijibu EU sakata la Ngorongoro kuilinda hifadhi

SERIKALI ya Tanzania, imesema haitumii nguvu katika kuwaondoa wananchi jamii ya kimasai wanaoishi Hifadhi ya Ngorongoro, bali inawaondoa kwa hiari...

READ MORE

Mwandishi Wa Al Jazeera, Samer Abu Daqqa, Afariki Gaza

Mwandishi wa habari na Mpiga picha wa Shirika la habari la Al Jazeera, Samer Abu Daqqa aliyejeruhiwa katika shambulio la...

READ MORE

Serikali: Hakuna Mtumishi Wa Taasisi Zilizounganishwa Au Kufutwa Atakayepoteza Ajira

Taarifa ya Ofisi ya Mipango na Uwekezaji imefafanua kuwa hakuna Mtumishi atakayepoteza ajira katika hatua za kuunganisha na kufuta baadhi...

READ MORE

Video: Kijana Aliyemuua Mama Yake Na Kumtupa Kwenye Shimo La Choo Arusha Akutwa Na Hatia Ahukumiwa

Kijana Patrick Mmasi(19) Mkazi wa Njiro, anayetuhumiwa kumuua mama yake na kumtupa kwenye shimo la choo amekutwa na hatia.

READ MORE

Wabunge wa Marekani wanaweka wazi uwezekano kufikia msaada kwa Ukraine

Wabunge wa Marekani wanaweka wazi uwezekano wa kufikia makubaliano ya msaada kwa Ukraine, kabla ya kuondoka mjini Washington kwa likizo...

READ MORE

Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao Yawatembelea Waathirika wa Maporomoko Hanang

Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao ikiongozwa na mwenyekiti wake, Steve Mengele @stevenyerere2 leo Desemba 15, 2023 imeanza rasmi ziara yake mkoani...

READ MORE

Rita Na Nida Zaunganishwa Kuwa Taasisi Ya Utambuzi Wa Matukio Muhimu Maishani

Ofisi ya Mipango na Uwekezaji imetoa tangazo la kuunganishwa kwa Mashirika ya kadhaa yakiwemo Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)...

READ MORE

Mashirika, Taasisi 16 za Serikali Zaunganishwa, 4 Zafutwa

Serikali imeridhia mapendekezo ya timu ya wataalam walioteuliwa kufuatilia mienendo ya mashirika manne, ambapo mashirika manne yamefutwa huku mengine 16...

READ MORE

CPA. Mkama Azitaka Taasisi za Kifedha Kuchangamkia Fursa Zitokanazo na Masoko ya Mitaji

OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA) CPA Nicodemus Mkama, amezitaka kampuni za uwekezaji, zikiwemo...

READ MORE

#Exclusive Video: Mfanyabiashara Maarufu Wa Nguo Kariakoo Aangua Kilio Hadharani – Afunguka Mazito

Mfanyabiashara maarufu Kariakoo, Diana Zambi, @diana_international_ agent ameangua kilio cha uchungu kutokana na changamoto anazokutana nazo kwenye biashara yake, ambapo...

READ MORE

Rais Biden Asifia makubaliano yaliyotiwa saini kwenye mkutano wa COP 28 Dubai

Katika taarifa iliyotolewa Jumatano, Biden alipongeza makubaliano hayo ambayo kwa mara ya kwanza yamejikita katika kuondoka kwenye matumizi ya mafuta...

READ MORE

Kimzaamzaa, Jamaa Waula Mamilioni Ya Fedha Magifti Dabodabo Droo Ya Nne

Dar es Salaam, 15 Desemba 2023: Unachoweza kusema kiurahisi ni kwamba Jamaa wameula kimzaamzaa mamilioni ya Kampeni ya Magifti Badodabo....

READ MORE

Miujiza Ya Nabii Jackson Ibrahim Kutoka Arusha Yaibua Mazito Dar, Umati Wafichuliwa Yanayowatesa

Dar es Salaam 14 Desemba 2023: Nabii Ibrahim Jackson wa Kanisa la Power Of Perfection lililopo Mtaa wa Tanzanite Kwa...

READ MORE

Serikali ya Israel Yaijulisha Tanzania kuwa Joshua Mollel Aliuawa na Hamas

Serikali ya Israel imeijulisha Tanzania kuwa Mtanzania Joshua Mollel aliyekuwa anasoma nchini Israel aliuawa mara tu baada ya kutekwa na...

READ MORE

Meja Jenerali Mbaraka Naziad Mkeremy Atunikiwa Shahada ya Uzamivu ya Udaktari wa Falsafa

Meja Jenerali Mbaraka Naziad Mkeremy leo Desemba 14, 2023 ametunikiwa Shahada ya Uzamivu ya Udaktari wa Falsafa (Doctor of Philosophy-PhD)...

READ MORE

Kocha wa Yanga Hataki Masikhara Kupanga kikosi cha CAF dhidi ya Mtibwa Sugar

KOCHA Mkuu wa Yanga Muargentina, Miguel Gamondi hataki masikhara amepanga kuendelea kikosi alichokuwa anakitumia katika hatua ya Makundi Ligi ya...

READ MORE

Knauf Gypsum Yatoa Msaada wa Vifaa vya Ujenzi kwa Wakazi wa Hanang

Kampuni ya uzalishaji wa vifaa vya ujenzi ya Knauf Gypsum Tanzania imeungana na Kituo Cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kutoa msaada...

READ MORE

Kimasihara Tu, Mama Lishe Dar Aondoka Na Milioni 10 Ya Magifti Dabodabo

Disemba 14, 2023 Ni kama masihara lakini ukweli ni kwamba Bi . Rehema Makunganya Mkazi wa Mbezi Kimara anayefanya biashara...

READ MORE

#Breaking: Rais Samia Afanya Uteuzi Na Uhamisho Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi, Makatibu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Desemba 14, 2023 ameteua na kufanya mabadiliko ya uteuzi kwa...

READ MORE

Rais Samia Amteua Jaji Mshibe Ali Bakari kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TMA

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Jaji Mshibe Ali Bakari kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Hali ya...

READ MORE

Rais Samia Ateua M/Kiti, Makamu Wa Bodi Ya Tume Ya Ulinzi Wa Taarifa Binafsi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amemteua Balozi Adadi Mohamed Rajab kuwa Mwenyekiti wa Bodi...

READ MORE

Habari Kubwa Za Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi, Decemba 14, 2023

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Dec 14, 2023 CHOTA MAPENE ndiyo...

READ MORE

Kitengo Kipya Cha Ufuatiliaji Wa Usalama Wa Safari Nchini Tanzania Chazinduliwa Na Bolt

Dar es Salaam, tarehe 13 Desemba 2023- Kampuni inayoongoza kwa uhitaji wa usafiri barani Afrika Bolt, imezindua vitengo vipya vya...

READ MORE

A Brave Woman Rises: Celebrating The Success Of The Mwanamke Shujaa Campaign In Tanzania

In the bustling streets of Tanzania, from Dar es Salaam to the Tanga Region, a revolution is stirring. The protagonists...

READ MORE

Sekta Binafsi Kushirikishwa Masuala ya Maji

Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amewataka Watendaji wa Wizara ya Maji kutekeleza miradi kwa weledi, viwango na kuzingatia...

READ MORE

Cheza Kasino ya Mtandaoni Leo Uingie kwenye Mgao wa Tsh Bil 2

Kama wewe ni mchezaji wa kasino ya mtandaoni basi msimu huu wa Sikukuu Meridianbet haitakua kinyonge, ni lazima ufunge mwaka...

READ MORE

Mwigulu Azindua Ofisi za Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania Kanda ya Kaskazini

Waziri wa Fedha, Mhe Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba leo amezindua Ofisi ya Kanda ya Kaskazini ya Benki ya Maendeleo ya...

READ MORE

Mtoto Mwenye Ndoto Za Kuwa Rais Afunguka ”Mimi Sio Mlemavu, Nipelekeni Shule” – Video

Mtoto Johnson Noel, amezaliwa akiwa na ulemavu lakini licha ya changamoto hiyo na umri wake mdogo, Mungu amemjaalia upeo mkubwa...

READ MORE

Chid Benz Amilila Director Nisher, “Mmenishtua Sina Taarifa Yoyote” – Video

  Kufuatia kifo cha Mtayarishaji wa video za muziki mahiri, Nic Davie almaarufu Director Nisher, Global Tv imefanya mahojiano na...

READ MORE

Naibu Waziri Dugange: Idadi Majeruhi wa Mafuriko Hanang Wanaoendelea na Matibabu Yapungua

Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI anayeshughulikia Afya Dkt. Festo Dugange amesema idadi majeruhi wa mafuriko ya tope Hanang...

READ MORE

Wafanyabiashara Songwe Watakiwa kuwachukua Askari kuwasindikiza (Escort) kwenda kuuza madini

Wafanyabiashara wakubwa wilayani Songwe wametakiwa kuwachukua askari kwa ajili ya kuwasindikiza (Escort) wanapokuwa kwenye shughuli zao za kwenda kuuza madini...

READ MORE

Mitandao ya Kijamii Inavyoweza Kutibua Mapenzi

NI Ijumaa nyingine ninapokukaribisha mpenzi msomaji wa kona hii nzuri, mahali tunapoelekezana mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Leo napenda...

READ MORE

SBL Yaungana na Kampuni Tanzu ya Umoja wa Mataifa Kwenye Malengo Endelevu

  Kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Limited leo imetia saini makubaliano ya kuwa mwanachama wa UN Global Compact (UNGCT)...

READ MORE

Mwimbaji nyota Zahara wa Afrika aagwa

Familia ya mshindi wa tuzo ya uimbaji Zahara, iliongoza utoaji wa heshima za mwisho kwa mwimbaji huyo nyota ambaye amefariki...

READ MORE

Prof Tibaijuka Aiangukia Serikali Ya Rais Samia – “Tunaomba Mtusaidie Kuiondoa Sheli Mtaani Kwetu”- Video

Mwanasiasa mkongwe nchini, Profesa Anna Tibaijuka, amewasha moto mbele ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila akipinga...

READ MORE

Waziri Ulega amewataka madaktari wa mifugo kuhakikisha wanasimamia ipasavyo shughuli za sekta ya mifugo

Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Abdallah Ulega amewataka madaktari na wataalamu wa mifugo kuhakikisha wanasimamia ipasavyo shughuli za sekta ya...

READ MORE

Benki Ya NBC  Yazindua Kampeni Ya”Tabasamu Tukupe Mashavu’’ Kumwaga Zawadi Kwa Wateja Msimu Wa Sikukuu

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua kampeni yake ya msimu wa Sikukuu za mwisho wa mwaka  inayofahamika kama “Tabasamu...

READ MORE

Cheza Ushinde Yakabidhi Zawadi Ya Pikipiki Kwa Mshindi

 Mchezo mpya wa CHEZAUSHINDE, unaoendeshwa na Airtel Money kwa kushirikiana na Whiteball leo wamemkabidhi rasmi mshindi wa kwanza wa Jackpot...

READ MORE

Droo Ya Nane Ya Washindi Wa Serengeti Maokoto Ndani Ya Kizibo Watajwa

Wawakilishi kutoka SBL wakitangaza washindi 8 Raundi ya 8 katika droo ya camping ya Maokoto ndani ya Kizibo chini ya...

READ MORE