×

Habari

Mnangagwa Afunguka “Wanaopinga Uchaguzi Wapeleke Kesi Mahakamani”

Rais aliyechaguliwa tena wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa amesema siku ya Jumapili kwamba watu wanaohoji matokeo ya uchaguzi wa wiki iliyopita...

READ MORE

Chamisa Adai Kushinda Uchaguzi Wa Zimbabwe, Aishutumu Tume Kutoa ‘Matokeo Ya Uongo’

Mshindi wa pili katika uchaguzi wa rais wa Zimbabwe, Nelson Chamisa, amedai kushinda baada ya kukataa matokeo rasmi ambayo yalimtangaza...

READ MORE

Waziri wa mambo ya kigeni wa Libya asimamishwa kazi kutokana na kukutana na mwenzake wa Israel

Waziri mkuu wa Libya amemsimamisha kazi waziri wa mambo ya kigeni Najla Mangoush na kuamuru achunguzwe baada ya Israel kusema...

READ MORE

Wanafunzi Bora Shule ya Brilliant Kutesa na iphone Macho Matatu

MKURUGENZI wa shule ya Brilliant Dk. Jasson Rweikiza, amesema hakuna mwanafunzi wa shule hiyo atakayefukuzwa kwa kukosa ada baada ya...

READ MORE

STAMICO yapaa kimageuzi, mapato yaongezeka

Shirika la Madini la Taifa – STAMICO, limefanya mageuzi makubwa ambayo yameliwezesha shirika hilo kuongeza mapato kutoka shilingi bilioni 1.3...

READ MORE

TECNO CAMON 20 Mr Doodle Yapatikana Rasmi Tanzania, Wateja 1000 Wa Kwanza Kukopeshwa Bila Riba

Mfululizo wa TECNO CAMON 20 Toleo la Mr Doodle huleta pamoja mchoro wa aina ya “tambi ya grafiti” ya Mr...

READ MORE

Bolt Tanzania Yaweka Rekodi Ya Zaidi Ya Safari Milioni 50

Dar es Salaam, Agosti: Bolt Tanzania inasherehekea kuweka rekodi ya zaidi ya safari milioni 50 zilizohudumiwa kwenye mtandao wao, huku...

READ MORE

TADB, Self Microfinance Fund Kutoa Bilioni 6 Kuwawezesha Wakulima Wadogo

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kupitia Mfuko wake wa Dhamana kwa Wakulima Wadogo (SCGS) imeingia mkataba wa Tshs. Bilioni...

READ MORE

GF Trucks & Equipment Yaibuka Mshindi Maonyesho Ya Madini Ruangwa

Kampuni ya GF Trucks & Equipment’s Ltd ya jijini Dar es Salam imeibuka mshindi wa Pili wa Banda Bora kwa...

READ MORE

Rasimu ya Sera ya Elimu Itakapopitishwa Kukutanisha Wadau Wote wa Elimu na Taasisi zote za Dini

Serikali imesema Rasimu ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 na mabadiliko ya Mitaala ya...

READ MORE

Yanga Yapewa Ufalme Mpya ligi kuu Baada ya Kupata Ushindi wa Mabao 5-0

  YANGA kwa sasa ni kama wamepewa ufalme wao kwenye ligi kuu baada ya kutabiriwa kufanya makubwa msimu huu, huku...

READ MORE

Putin Awaamuru Wapiganaji Wa Wagner Kutia Saini Kiapo Cha Kuitii Serikali Ya Russia

Rais wa Russia Vladimir Putin amewaamuru wapiganaji wa kundi la Wagner kutia saini kiapo cha kuitii serikali ya Russia baada...

READ MORE

Baada ya Kuhangaika Sana Kupata Ujauzito, Hatimaye Sasa Nina Watoto Wawili

  Katika maisha yangu niliangaika kwa miaka mingi kutafuta ujauzito, nilienda kila Hospitali, nilitumia kila aina ya dawa hasa za...

READ MORE

Waziri Wa Uchukuzi Amfuta Kazi Mkuu Wa Mamlaka Ya Viwanja Vya Ndege Kenya Baada Ya Kukatika Kwa Umeme

Waziri wa Uchukuzi wa Kenya, Kipchumba Murkomen, amewafukuza kazi Mkuu wa Mamlaka ya Viwanja vya Ndege (KAA), Alex Gitari na...

READ MORE

Uchaguzi ya Zimbabwe: Emmerson Mnangagwa Atangazwa Kushinda Tena Urais

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ya Zimbabwe (ZEC) imetangaza, Emmerson Mnangagwa kuwa ametetea Kiti chake kwa 53% ya Kura zilizopigwa....

READ MORE

EWURA Yaridhishwa Na Kazi Ya Utengenezaji Wa Matela Ya Kusafirisha Mabomba Ya Mradi Wa EACOP

Bodi ya Wakurugenzi  wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji nchini (Ewura), imesema kuwa imeridhishwa na utekelezaji...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Atoa Onyo Kwa Watoa Leseni Za Uchimbaji – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa onyo kwa maafisa wanaohusika na utoaji wa leseni za madini kuacha tabia ya kuwazunguka wananchi...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa: Serikali Itaendelea Kumuenzi Marehemu Bernard Membe

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Agosti 26, 2023 ameshiriki kwenye ibada ya kumbukumbu ya Marehemu Bernard Membe iliyofanyika katika kijiji cha...

READ MORE

Rais Dkt. Hussein Mwinyi Apongeza Absa Tanzania Kusaidia Juhudi za Kupunguza Vifo vya Mama wajawazito

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mheshimiwa Dk Hussein Ali Mwinyi ameipongeza Benki ya Absa Tanzania, kwa...

READ MORE

Washindi Wa Kampeni ya Tigo Chawote Wapewa Chao

Ikiwa ni mwendelezo wa kampeni ya chawote ya Tigo  imekabidhi washindi sita hundi ya milioni moja moja  ofisini kwao Jijini...

READ MORE

Waziri wa Elimu Awakumbusha Wathibiti Ubora wa Shule Kulinda Viwango Vya Utoaji Elimu

Wathibiti Ubora wa Shule nchini wametakiwa kuhakikisha shule zinakuwa na viwango vilivyowekwa na Serikali katika miundombinu, ufundishaji, vitendea kazi na...

READ MORE

Serikali Kuhimiza Ujenzi Kampasi ya Chuo Kikuu cha Agha Khan Arusha

Serikali itaendelea kufuatilia na kuhimiza ujenzi wa kampasi ya Chuo Kikuu cha Agha Khan mkoani Arusha Hayo yamesemwa na Waziri...

READ MORE

ECOWAS Yawaambia Viongozi Wa Mapinduzi Niger Kufikiria Msimamo Wao

Majenerali waliomuondoa madarakani Rais Mohamed Bazoum katika uasi wa Julai 26 wametaja kipindi cha mpito cha miaka mitatu huku Jumuiya...

READ MORE

Rais wa zamani wa Ufaransa Kufikishwa Mahakamani kwa Tuhuma za Rushwa

Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy atasimama mahakamani mwaka 2025 kwa tuhuma za rushwa na ufadhili haramu unaohusishwa na...

READ MORE

Dk. Alex Malasusa Achaguliwa Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT)

Askofu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Alex Malasusa, amechaguliwa Mkuu...

READ MORE

Nchi Sita, Ikiwemo Ethiopia, Zakubaliwa Kujiunga Na Jumuiya Ya BRICS

Jumuiya ya BRICS ya mataifa yanayoendelea kiuchumi ulikubaliana siku ya Alhamisi kuzikaribisha Saudi Arabia, Iran, Ethiopia, Misri, Argentina na Umoja...

READ MORE

TARURA Yaweka Wazi Vipaumbele Vyake Kwa Mwaka wa Fedha wa 2023/24

#Jukumu kubwa la TARURA ni kusimamia ujenzi, ukarabati na matengenezo ya mtandao wa barabara za Wilaya. Serikali ya Awamu ya...

READ MORE

Trump Ajisalimisha Katika Jela ya Kaunti ya Fulton, Aachiliwa kwa Dhamana

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, Alhamisi jioni aliwasili katika jela ya kaunti ya Fulton katika mji wa Atlanta,...

READ MORE

Jwtz Watangaza Kiama – ”Salimisheni Sare Za Jeshi Ndani Ya Siku 7 Kwenye Vituo Vya Polisi”- Video

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetoa ufafanuzi kwa jamii kuhusiana na kadhia inayokinzana na katazo la kisheria...

READ MORE

Sapphire Glass Ltd Yaanza Kuwasha Mitambo ya Uzalishaji wa Vioo Nchini

Ujenzi wa kiwanda cha kisasa cha kutengeneza vioo kilichopo Kijiji cha Mkiu, Wilaya ya Mkuranga, Mkoa wa Pwani umefikia asilimia...

READ MORE

Phiri Aliamsha Kambini Simba Atangaza Vita Kurejee Kikosi cha Kwanza

MSHAMBULIAJI wa Simba Mzambia, Moses Phiri amesema kuwa sasa malengo ni kuhakikisha anapambana ili arejee katika kikosi cha kwanza cha...

READ MORE

Mabaki Yachunguzwa Baada Ya Ajali Ya Ndege Inayohusishwa Na Kifo Cha Yevgeny Prigozhin – Picha

PICHA mpya kutoka eneo la Tver nchini Urusi, ambako wataalamu wa masuala ya dharura na polisi wanachunguza mabaki ya ndege...

READ MORE

Zimbabwe: Serikali Yaongeza Siku Moja Kwenye Zoezi La Kupiga Kura

Utaratibu huo ambao si wa kawaida umefanyika kutokana na baadhi ya Kata zilizopangiwa kukamilisha zoezi hilo kwa siku moja, kuchelewa...

READ MORE

Warepublikan wakabiliana katika mdahalo wa kwanza kwelekea uchaguzi wa rais, Trump aususia

Wanasiasa wanaowania nafasi ya kugombea urais wa Marekani kwa tikiti ya chama cha Republikan walikabiliana kwa maneno makali wakati wa...

READ MORE

Mamlaka ya Urusi: Miili yote ya Abiria wa Ndege Iliyoanguka Yapatikana

HUDUMA za dharura za Urusi zimesema kuwa miili ya abiria wote kumi kwenye ndege ya Embraer Legacy sasa imepatikana. Kiongozi...

READ MORE

Mbunge wa Ngorongoro Aachiwa kwa Dhamana, Ashangaa Kukamatwa Bila Kibali Cha Spika – Video

HATIMAYE Mbunge wa Ngorongoro, Emmanuel Ole Shangai (CCM) ambaye alidaiwa kushikiliwa na polisi tangu ta Agosti 21, 2023 ameachiwa huru...

READ MORE

Urusi: Ndege Anayodaiwa Kupanda Bosi Wa Wagner Group Yapata Ajali Na Kuua Abiria Wote

KIONGOZI wa kundi la Wagner ambaye ni mpinzani mkubwa wa Rais Vladimir Putin wa Urusi anahofiwa kufariki katika ajali ya...

READ MORE

Vodacom Yazindua Mikopo Ya Kidijitali Kupitia Kampeni Ya ‘Maisha Ni Kujiongeza na M-Pesa’

Kampuni ya teknolojia na mawasiliano, Vodacom Tanzania PLC, kupitia huduma yake ya M-Pesa, imezindua kampeni ijulikanayo kama ‘Maisha ni Kujiongeza...

READ MORE

Tigo Wampa Milioni Tano Mteja Wao Wa Kampeni Ya “Chawote”

Lovenes Conrad Malias Mkazi wa Mbezi Kibanda Cha Mkaa Jijini Dar Es Salaam ni miongoni mwa washindi wa Milioni TANO...

READ MORE