×

Habari

Spika Tulia Ayaonya Nipashe na The Guardian Upotoshaji Suala la Bandari

Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amekanusha habari zilizochapishwa na magazeti ya Nipashe na The Guardian vikieleza kuwa...

READ MORE

Vodacom Yarudisha Kwa Jamii Ikiwa Ni Sehemu Ya Kusaidia Yatima Na Watoto Wenye Mazingira Magumu

Kampuni ya Vodacom Tanzania imetoa vitu mbalimbali katika kituo cha kulelea watoto yatima na waishio kwenye mazingira magumu kiitwacho KIWALANI...

READ MORE

Chongolo Awaambia Vijana wa Afrika Kuwa Wazalendo Kwa Nchi Zao

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo, amewataka vijana wa Afrika, hususan kutoka Kusini mwa Afrika, kujitambua...

READ MORE

Kauli ya Mbowe Kuhusu Uzanzibari Yakemewa Vikali na Wadau Mbalimbali

Wananchi katika maeneo mbalimbali wameonesha kuchukizwa na kauli iliyotolewa na mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe...

READ MORE

Mike Pence Aanza Rasmi Kampeni za Kuwania urais Marekani Kupitia Republican

Hivi sasa kuna wagombea 12 katika chama cha Republican wanaotaka kugombania nafasi ya kukiwakilisha chama chao katika uchaguzi mkuu wa...

READ MORE

Artificial Intelligence Inavyotishia Uelewa wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Kenya

Maendeleo ya Sayansi na Teknolojia, yameleta kitu kiitwacho Artificial Intelligence au kwa kifupi AI. Hii ni teknolojia ambayo programu maalum...

READ MORE

Rais wa Uganda Yoweri Museveni Apatikana na Covid

Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema ameambukizwa Covid-19 baada ya moja ya vipimo vitatu vilivyofanyiwa uchunguzi kubainika kuwa na virusi....

READ MORE

Infinix Waja Na #Gusanisha Tsh.1,000,000 Hii Hapa Mjulishe Na Mwenzako

Upo tayari kupokea kitita cha Sh. 1,000,0000 na zawadi nyengine kedekede kutoka Infinix Mobile Tanzania? https://www.instagram.com/p/CtMBe3hNYuq/ Kampuni ya simu Infinix...

READ MORE

Jero Yampa Mil 26 TZS Meridianbet

  Dunia hii kuna watu wana bahati nyie, unaambiwa ukiomba riziki omba na bahati ya kuipata usichoke. Meridianbet kwa furaha...

READ MORE

Wanaotaka Ubunge, Udiwani CCM Kabla ya Muda Sengerema Waonywa

  Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Sengerema Marco Makoye amewaonya wanaCCM wanaopita kwenye majimbo kutaka madaraka ya...

READ MORE

Wanafunzi wa St Joseph Dar Wabuni Satellite

Itarushwa Kimolita 400 angani hivi karibuni Itakuwa msaada mkubwa kwa wakulima Watafiti kuitumia kupata taarifa mbalimbali WANAFUNZI na wahadhiri wa...

READ MORE

Mume Wangu Ametembea na Hausigeli Wetu na Kunitelekeza na Mtoto

  Jina langu naitwa Farida mkazi wa mkoa wa Katavi, umri wangu ni miaka 38, nipo kwenye maisha ya ndoa...

READ MORE

Benki Ya NBC Yazindua Kombe Jipya La Ligi Kuu Tanzania Bara

Dar es Salaam Juni 7, 2023: Mdhamini mkuu wa ligi ya NBC, Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) leo imezindua...

READ MORE

Wananchi Mwanza walia na adha ya Ukosefu wa Stendi ya Igombe

Picha ikionyesha magari ya Abiria watokao Airpoti  kwenda Usagara kupitia Buhongwa wakiwa wameegesha magari yao pembezoni mwa Barabara ya Kenyatta...

READ MORE

Rais Kagame Awafuta Kazi Wanajeshi Zaidi ya 200 Wakiwemo Majenerali

Rais wa Rwanda Paul Kagame amewafuta kazi Meja Jenerali Aloys Muganga, Brigedia Jenerali Francis Mutiganda na maafisa 14 wa Jeshi...

READ MORE

Mkaguzi Mkuu wa Ndani Msaidizi Awataka Wakaguzi Kutoa Ushauri Wenye Serikalini

Mkaguzi Mkuu wa Ndani Msaidizi-Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Ndani wa Serikali, Paison Mwamnyasi amewataka Wakaguzi wa Ndani kuzingatia sheria,...

READ MORE

TRA: Kila Mtanzania Mwenye Miaka 18+ Lazima Awe na TIN

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesisitiza kuwa hadi kufikia Desemba 31, mwaka huu kila Mtanzania mwenye umri wa miaka 18...

READ MORE

Puuzeni Upotoshaji Mitandaoni Kuhusu Bandari ya Dar es Salaam

Mnamo Juni 5, 2023, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilitoa Taarifa kwa Umma kuhusu mwaliko wa Wadau wote...

READ MORE

Rais Samia Ateua Na Kuhamisha Wakurugenzi 184 Na Makatibu Tawala 139 Wa Wilaya

Taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa Rais amefanya mabadiliko hayo ambapo kati ya waliotajwa ni pamoja na Ruth John Magufuli anayekuwa...

READ MORE

Ukweli Kuhusu Ukodishwaji wa Bandari ya Dar Huu Hapa..

UONGO #1: Serikali imekodisha Bandari ya Dar es Salaam kwa DP World kwa miaka 100 Ukweli: Hakuna mkataba wowote wa...

READ MORE

Ni Kidijitali Zaidi, Infinix Note 30 Yaja Kuipaisha Infinix

Dar-es-Salaam Juni 5,2023: Infinix Tanzania yazindua matoleo mapya katika series ya NOTE 30,uzinduzi wa Infinix NOTE 30, NOTE 30 PRO...

READ MORE

GGML yaadhimisha siku ya mazingira duniani kwa kutoa elimu kuhusu taka za plastiki

  NA MWANDISHI WETU KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML), moja ya migodi maarufu ya AngloGold Ashanti nchini Tanzania,...

READ MORE

Zaidi Ya Vijana 2500 Kukutanishwa Na UVCCM Ulanga Moro

Morogoro, 6 Juni 2023:Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Ulanga unatarajia kufanya tamasha la kumpongeza Rais wa Jamhuri...

READ MORE

DP World Kuleta Mageuzi Makubwa Bandari ya Dar es Salaam

SERIKALI ya Tanzania inatarajia kuingia makubaliano na kampuni ya Dubai ya DP World ya kuweka uwekezaji binafsi kwenye bandari ya...

READ MORE

Makamu wa Rais Kufungua Mashindano ya UMITASHUMTA na UMISSETA leo

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Philip Mpango amewasili Tabora leo Juni 6, 2023. Makamu wa Rais...

READ MORE

Polisi Watumia Mabomu ya Machozi Kutawanya Maandamano ya Kupinga Kodi na tozo Kenya

Polisi nchini Kenya wamelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji katika mji mkuu wa Nairobi wanaopinga baadhi ya hatua zinazopendekezwa...

READ MORE

Waziri Pindi Chana Akiwasilisha Bajeti ya Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Pindi Chana leo Juni 06, 2023 anawasilisha bungeni Bajeti ya Mwaka wa Fedha 2023/2024...

READ MORE

Mastaa Kibao Watinga Bungeni Kufuatilia Bajeti ya Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo

  Wasanii mbalimbali ni miongoni mwa wageni waliohudhurika katika kikao cha 41 cha mkutano wa 11 wa Bunge la 12...

READ MORE

TRA Yawajengea Uwezo Waandishi Wa Habari Kuhusu Masuala Ya Kodi

Dar es Salaam 6 Juni 2023:Mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) imefanya semina ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari kupitia Chama...

READ MORE

Hizi Hapa Njia za Kupiga Hela Unapobeti Meridianbet

  Mtu mmoja ambaye jina lake limehifadhiwa, amefanikiwa kujikusanyia kitita cha mamilioni ya pesa kwa kubashiri soka kupitia kampuni ya...

READ MORE

Shilingi 250 Zampatia Mamilioni ya Meridianbet

  Hakuhitaji kutumia nguvu kubwa kufanya kazi ngumu, hakuhitaji kutembea na vyeti vyake kusaka michingo mjini, wala hakuhitaji awe na...

READ MORE

Sitasahau Jinsi Mume Wangu Alivyorudi Nyumbani Akiwa na Lipstick Kwenye Shati

  Tuliishi kwa upendo na mume wangu na hakuna lolote ambalo lingetutenganisha kama jinsi ambavyo tulikubaliana kwenye kiapo chetu cha...

READ MORE

Mwalimu Aliyemfundisha Diamond Kiingereza Afunguka Jinsi Ilivyo Rahisi Kujifunza Lugha Hiyo

Mwalimu aliyepata umaarufu kwa kumfundisha staa wa Bongofleva, Diamond Platnumz Kiingereza, Allen Ngonyani almaarufu Teacher Allen amefunguka kuwa ni rahisi kwa...

READ MORE

Mwanza watakiwa kutunza mazingira ili kulinda vyanzo vya maji.

WAKAZI pamoja na taasisi mbalimbali zinazoendesha shughuli zake za kimaendeleo kando ya Ziwa Victoria wametakiwa kutunza na kulinda chanzo hicho...

READ MORE

Wanahabari Wanolewa Kuripoti Habari Za Soko La Hisa

Dar es Salaam, 3 Juni 2023: Wanahabari nchini wamepata elimu ya uandishi wa habari za Soko la Hisa na kupata...

READ MORE

Asilimia 87% Huduma Za WCF Zinafanyika Kwa Njia Ya Mtandao

Akiongea kwenye mafunzo kwa maafisa Rasilimali Watu, Utawala na Usalama na Afya mahali Pa kazi kutoka taasisi za Binafsi na...

READ MORE

Serikali Yatumia Zaidi ya Mil 334 Kuwezesha Upatikanaji Vifaa vya Kufundishia Wanafunzi Wenye Mahitaji Maalumu

  Serikali imetumia zaidi ya Shilingi milioni 334 kuwezesha upatikanaji wa vifaa vya kufundishia, kujifunzia, vifaa saidizi na kujenga mabweni...

READ MORE

Hizi Ndiyo Sababu Zinazofanya Wanafunzi Wanaosoma Nje ya Nchi Kuongezeka

  WAKALA wa Elimu Nje ya Nchi, Global Education Link (GEL), umesema idadi ya wanafunzi wanaokwenda kusoma nje ya nchi...

READ MORE

Wanasheria Wameipotosha Serikali, Mawaziri Kuhusu Mchakato Wa Kampuni Ya Saruji Ya Twiga Kununua Hisa Za Tanga Cement – Jaji Mihayo

HATIMAYE Jaji Mstaafu Thomas Mihayo  ameamua kuvunja ukimya kwa kueleza kuwa  wanasheria waliipotosha Serikali na Mawaziri kuhusu kuendelea na mchakato...

READ MORE

Waziri Mkenda Alipa Maelekezo Baraza Jipya La Chuo Cha DIT

Waziri Wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amezindua Baraza jipya la Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) na...

READ MORE