×

Habari

Wafaransa Waandamana Kupinga Mipango ya Kurekebisha Mfumo wa Pensheni

Polisi walijotokeza mitaani kote nchini Ufaransa Jumamosi wakati waandamanaji wakifanya duru ya nne ya maandamano ya kitaifa kupinga mipango ya...

READ MORE

Gari Lenye Abiria Latumbukia Kwenye Korongo, Watu 20 Wajeruhiwa Vibaya, Mmoja Afariki… Video

Mtu mmoja (Dereva) amefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa katika Kata ya Sigino Wilayani Babati Mkoani Manyara baada ya gari...

READ MORE

Namna Unavyoweza Kuwavutia Wateja Katika Biashara Yako na Kufanikiwa

KILA mfanyabiashara lengo lake kuu ni kufanya mauzo makubwa na kutengeneza faida na baadaye kutanua wigo wa biashara yake, kinyume...

READ MORE

Rais Samia Aongeza Kiwango cha Mkopo kwa Wanafunzi wa Elimu ya Juu – (Video+Picha)

Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kuongeza kiwango cha mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya Juu maarufu kama ‘boom’ hadi kufikia...

READ MORE

Engen And Vivo Energy To Combine To Create A Pan-African Energy Champion

Cape Town, South Africa. 9 February 2023: Engen and Vivo Energy are pleased to announce a combination of their respective...

READ MORE

Pilsner Ya ‘Kapu La Wana’ Yafanya Droo Ya Kwanza

Dar es Salaam, Jumatatu Februari 13, 2023: Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Pilsner Lager imefanya...

READ MORE

Shafa Mills Yapania Kuwakomboa Wafugaji Nchini, Yazindua Lishe Bora Ya Mifugo

Dar es Salaam 11 Februari 2023: Kampuni ya Shafa Mills inayojishughulisha na kilimo na ufugaji imedhamiria kuikomboa sekta ya ufugaji...

READ MORE

Tigo Pesa Wamwaga Zawadi Na Mamilioni Ya Pesa Kwa Mawakala Wake Wakishua

Kampuni namba moja nchini kwa utoaji wa huduma za Kidigitali Tigo Tanzania kupitia Huduma yake ya mfumo wa pesa Kidigitali...

READ MORE

Msanii Maarufu nchini Afrika kusini, Kiernan Jarryd Forbes ‘AKA’ Afariki Dunia

Msanii maarufu kutokea nchini Afrika Kusini, Kiernan Jarryd Forbes ‘AKA’ ameripotiwa kufariki dunia kwa kupigwa risasi tano yeye pamoja na...

READ MORE

Walimu, Wazazi Wakutana Kupongezana Mafanikio Ya Sekondari Ya Wasichana Ya John The Baptist

Dar es Salaam 11 Februari 2023: Wazazi na walezi waaswa kuwekeza kwenye elimu ili kuvuna matunda mazuri kwenye elimu kwa...

READ MORE

GGML, Geita Wajivunia Nyankumbu Sekondari Kung’ara Matokeo Kidato cha Nne

  WAKATI wakuu wa mikoa na wilaya wakihaha kuhamasisha wazazi wawapeleke watoto wao shule kujiunga na kidato cha kwanza, kwa...

READ MORE

Mtoto Mchanga na Mama Waokolewa Baada ya Siku nne chini ya Vifusi

Mtoto mchanga na mama yake wameokolewa kutoka kwenye vifusi nchini Uturuki, karibu saa 90 baada ya tetemeko la ardhi la...

READ MORE

Meridianbet Yagawa Nguo Kwa Bodaboda Jiji la Dar Es Salaam

Bodaboda ni moja ya usafiri unaotumiwa sana na wakazi wa Jiji la Dar Es Salaam, Mkoa wenye idadi kubwa ya...

READ MORE

Tundu Lissu Atinga Kituo Cha Polisi Dodoma Kufuatilia Gari Lake – “Nataka Kulipeleka Makumbusho”-Video

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ametinga katika Ofisi ya Jeshi la Polisi mkoani Dodoma,...

READ MORE

Rais Ramaphosa Atangaza Janga la Kitaifa Kufuatia Uhaba Mkubwa wa Umeme nchini Afrika Kusini

Rais wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa Alhamisi alitangaza janga la kitaifa katika hatua ya kuharakisha juhudi za kukabiliana na rekodi...

READ MORE

MBUNGE David Kihenzile Ashinda Tena Kwa Kishindo Kuongoza Kamati ya Kudumu ya Bunge

MBUNGE wa Mufindi Kusini, David Kihenzile ameshinda kwa kishindo kwa mara ya pili kuongoza Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...

READ MORE

Maelfu Wataka Kumuasili Mtoto Mchanga Aliyezaliwa chini ya Vifusi vya Tetemeko la Ardhi Uturuki

Maelfu ya watu wamejitokeza kutaka kumuasili mtoto wa kike aliyezaliwa chini ya vifusi vya jengo lililoporomoka kaskazini-magharibi mwa Syria, kufuatia...

READ MORE

Mfumuko wa Bei kwa Mwezi Desemba/Januari 2023 Kwa Baadhi ya Nchi:

Kenya 9.0% Rwanda 21.6% Uganda 10.4% Nigeria 21.3% Misri 25.8% Ghana 54.1% Uturuki 64.7% Sudan 88.8% Argentina 94.8% Zimbabwe 244%...

READ MORE

Kilimanjaro International Marathon Yatangaza Kufungwa Kwa Usajili

Zikiwa zimesalia wiki chache kabla ya kufanyika mashindano ya Kilimanjaro International Marathon, wandaaji wa mbio wa mbio hizo maarufu kama...

READ MORE

Wadau Wa Elimu Tanga, Waungana Na SBL Kulinda Ndoto Za Wanafunzi

Dar es Salaam, Februari10, 20233    –  Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeungana na wadau wa elimu wa mkoani Tanga,...

READ MORE

Watu 12 Wafariki Dunia, 50 Wajeruhiwa katika Ajali ya Basi la Frester Kugongana na Lori Dodoma Likitokea Bukoba-Video

WATU 12 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 50 wamejeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha basi la abiria la kampuni...

READ MORE

Mbunge Shigongo Atoa Shukrani Baada Ya Global Tv Kushika Namba 1 Tanzania, Afichua Ilivyoanza…

MBUNGE wa Buchosha Mkoani Mwanza na Mkurugenzi Mtendaji wa Makampuni ya Global Publishers na Global TV, Erick Shigongo ametoa shukrani...

READ MORE

Msanii Albino Flani Afariki Akiwa Marekani, Wasanii Wenzake Wamlilia – Video

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na mwanaharakati wa kutetea haki za watu wenye ulemavu wa ngozi, Babu Sikare almaarufu...

READ MORE

Tetemeko la ardhi Uturuki: Juhudi za Uokoaji Zinaendelea huku idadi ya Waliokufa Ikiwa ni zaidi ya 12,000

Idadi ya vifo kutoka nchi zote mbili ilitarajiwa kuongezeka kwani mamia ya majengo yaliyoporomoka katika miji mingi yamekuwa makaburi ya...

READ MORE

Safiri Bure siku ya Valentine na Umpendaye! Download Application ya CHAPRIDE Kwenye Simu Yako

Chapride itakusafirisha wewe na umpendaye BURE kwenda sehemu yoyote ndani ya Jiji la Dar es Salaam. Mpeleke umpendaye popote unapopataka...

READ MORE

Expanse Studios na Meridianbet Kuja na Sloti Mpya

Expanse Studios, mtengeneza programu anayekua kwa kasi zaidi katika michezo ya kasino mtandaoni ambayo mingi unaipata Meridianbet Kasino ya Mtandaoni,...

READ MORE

Ramaphosa Akiri Tatizo la Umeme Afrika Kusini Limeathiri Sekta ya Madini

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa anasema tatizo la umeme limeathiri kwa kiwango kikubwa sekta ya madini, nguzo muhimu ya...

READ MORE

Tetemeko la Ardhi Uturuki na Syria: Idadi ya Waliofariki ni Zaidi ya 8,700

Zaidi ya watu 8,700 wanadaiwa kufariki nchini Uturuki na Syria kufuatia tetemeko la ardhi la Jumatatu. Idadi ya vifo nchini...

READ MORE

Tetemeko Uturuki: Golikipa wa Malatyaspor Ahmet Turkaslan Afariki Dunia

Mlinda mlango wa Uturuki Ahmet Eyup Turkaslan amefariki dunia kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea Jumatatu nchini kwao, klabu yake ya...

READ MORE

Fursa hii hapa… Je, wewe ni Mwalimu wa Shule ya Msingi au Sekondari Unayeishi Dar?

Ukijiunga na Chapride Tanzania, kampuni ya usafirishaji abiria na huduma nyingine kwa njia ya mtandao, utapata fursa ya KUPATA MKOPO...

READ MORE

Baada ya Kuhangaika Sana, Hivi Ndivyo Nilivyofanikiwa Kupata Mchumba na Kumuoa

Vijana wengi huwa tunapitia changamoto mbalimbali katika kipindi cha kutafuta wenzi (mke au mume) maisha kutokea na baadhi ya wenzetu...

READ MORE

Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana Kuendesha Mafunzo Maalum ya Leseni Jijini Dar

  Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana Nchini (CMSA), kwa kushirikiana na Taasisi ya Charted Institute for Security and...

READ MORE

Watu Saba Kusepa Dubai Kula Raha, Ni Kupitia Kampeni ya NMB MastaBata ‘Kote Kote’

  Kampeni ya kuhamasisha matumizi ya NMB mastercard na QR Code ‘Lipa Mkononi’ iitwayo NMB MastaBata ‘Kote Kote’, imefikia ukomo...

READ MORE

Wahandisi GGML Wafanya Ziara ya Mafunzo Daraja la Kigongo – Busisi

      KUNDI la wahandisi 40 kutoka kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wametembelea daraja la Kigongo-Busisi linalounganisha...

READ MORE

Airtel Kutoa Gawio La Faida Ya Tzs 1.6 Bilioni Kwa Wateja Na Mawakala Wa Airtel Money

Dar es Salaam, Jumatano 8 Februari 2023:  Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imetangaza kutoa faida ya...

READ MORE

Sheikh Alhad Mussa Alivyokabidhi Ofisi Kwa Sheikh Mkuu Mpya Wa Dar – Video

Aliyekuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa leo amekutana uso kwa uso na Sheikh Mpya wa Dar...

READ MORE

Mbatia Akwaa Kigingi, Mahakama Yawatambua Wajumbe Wapya wa Bodi NCCR-Mageuzi

MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, Februari 6, 2023 imetoa uamuzi wa kuwatambua wajumbe wapya wa Bodi ya...

READ MORE

TBA Yadaiwa Kubadili Bei Za Nyumba Magomeni Kota, Wakazi 644 Wagomea Mkataba Mpya

Wakazi 644 wanaoishi Magomeni Kota wamegoma kusaini Mkataba wa Manunuzi ya Nyumba hizo kwa madai bei mpya walizopewa ni kubwa...

READ MORE

Tetemeko la Ardhi Uturuki: Mvua Kubwa Yakatiza Juhudi za Uokoaji huku Watu zaidi ya 4000 Wamefariki

Waokoaji wanapambana na mvua kubwa na theluji huku wakipambana na muda kutafuta manusura wa tetemeko kubwa la ardhi lililotokea kusini-mashariki...

READ MORE

GGML Yakabidhi Madarasa 2 kwa Shule ya Msingi Kiziba

KATIKA kuunga mkono juhudi za serikali za kuboresha elimu na kulea kizazi kijacho ambacho kitasaidia Taifa kufikia malengo ya kiuchumi...

READ MORE