×

Habari

Watu 9 Mikononi mwa Polisi kwa Kuuza viungo vya binadamu

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tabora limekamata mtandao wa watu 9 ambao wametajwa kuhusika na tuhuma za mauaji pamoja na...

READ MORE

Maamuzi Kesi ya Mbowe Ijumaa Hii

NI siku 6 mfululizo za uchovu, hasira, vicheko na afya kutokuwa imara kwa shahidi wa 13 kutoka upande wa Jamhuri,...

READ MORE

Bodaboda Aliyepotea Akutwa Amekufa porini

MATUKIO ya mauaji yanaendelea kutikisa nchini! Madereva wa pikipiki maarufu bodaboda kwa kushirikiana na polisi katika Manispaa ya Mtwara Mikindani,...

READ MORE

Avaa sare za jeshi, aingia mtaani na kupora kwa nguvu

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Hussein Ramadhani (30) Mkazi wa Sinza, kwa tuhuma za kuvaa...

READ MORE

Sakata la ‘Amka Umeze P2’, Waziri Ummy Atoa Tamko

Kufuatia kuwepo kwa maneno yanayosambaa ‘Amka umeze P2’, Waziri wa ya Afya, Ummy Mwalimu ameeleza kuwa wao kama Serikali wasingependa...

READ MORE

Bibi ajitolea kupambana na Urusi

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, bibi mmoja aliyefahamika kwa jina la Valentyna Konstantynovska (79) raia wa Ukraine amejitokeza kupata mafunzo...

READ MORE

Mbunge ataka ajira za walimu

MBUNGE wa Nanyamba, Abdallah Chikota (CCM) ameishauri serikali kutoa kibali maalum cha ajira ya watumishi wa sekta ya elimu na...

READ MORE

Rais Samia Awasili Nchini Ubelgiji Leo

Rais Samia Suluhu Hassan amewasili nchini Ubelgiji ambapo amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Baraza la Umoja wa Ulaya,...

READ MORE

Mamia Wajitokeza Kufungwa Gereza Jipya Kwa Hiyari Yao

Waswahili wanasema jela jeraha, ubaya ubayani! Kwa nchi nyingi za Kiafrika, jela ni mahali ambapo hakuna ambaye yupo tayari kuingia...

READ MORE

Ajinyonga Akituhumu Ndugu Wajomba Zake Kuua Ndugu Zake 16 Kishirikina

Williamu Mwalugelo (46) mkazi wa Kawajense Manispaa ya Mpanda amejinyonga kwa kutumia kamba ya manila kwa kujining’iniza kwenye dari chumbani...

READ MORE

SGA Yadokeza Wanawake Juu ya Uongozi na Kukabili Hisia

    Wanawake wamedokezwa juu ya umuhimu wa kukuza vipaji vyao vya uongozi katika zama hizi za kampuni kubwa na...

READ MORE

TAMISEMI Yaomba Kibali Kwa Rais Kuajiri Walimu 7000

Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imeomba kibali kwa Rais Samia Suluhu Hassan cha kuajiri...

READ MORE

Uncle Shamte: Natamani Nishuhudie Diamond Akioa

MUME wa mama mzazi wa Diamond Platnumz, Mama Dangote ambaye anajulikana zaidi kwa jina la Uncle Shamte anasema amekuwa akiulizwa...

READ MORE

Jux Afunguka Tatizo la Kupata Mtoto

  KWA mara ya kwanza, supastaa wa Bongo Felva, Juma Mussa Mkambala almaarufu Jux amefunguka juu ya madai kwamba ana...

READ MORE

Video: Mbowe Alia Njaa Gerezani, Tulia Amaliza Utata Wakina Mdee | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Waziri Nape Afanya Uteuzi Bodi ya TSN

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Nape Nnauye amefanya uteuzi wa Wajumbe sita wa Bodi ya Kampuni ya...

READ MORE

Majaliwa Atua Ngorongoro

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema serikali inaangalia utaratibu utakaofaa kuhusu suala la uhifadhi katika eneo la Loliondo lililopo kwenye Wilaya...

READ MORE

Rais Samia Atua Ikulu ya Ufaransa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akiwa na Mwenyeji wake Rais wa Ufaransa Mhe. Emmanuel Macron...

READ MORE

Auawa Kisa Kuchoma Qur-an

Mtu mmoja ameuawa na kundi la watu kwa madai ya kuchoma kurasa za Koran katikati mwa Pakistan, Khanewal, polisi wanasema,...

READ MORE

Ajiua Chumbani kwa Mpenzi Wake Baada ya Kufukua Kaburi la Mama Yake

Mkazi wa Mpanda Hotel Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi Wille Mwakapimba amekutwa akiwa amejinyonga chumbani kwa mpenzi wake Hawa...

READ MORE

Sakata Ngorongoro Lawagawa Wabunge

MVUTANO mkali umetokea kati ya pande mbili za wabunge wanaounga mkono hatua ya kupunguza watu ndani ya Mamlaka ya Hifadhi...

READ MORE

Mbowe, Wenzake: Tummenyimwa Chakula Miezi 5

KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, Freeman Mbowe ameibuka malalamiko mahakamani ya kunyimwa chakula kwa zaidi ya miezi...

READ MORE

Dkt Tulia: Mdee na Wenzake Wapo Bungeni Kihalali

Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson amesema wabunge 19 wa Viti Maalum wa Chadema waliopo bungeni wapo kihalali. Hata hivyo...

READ MORE

Balozi Edwin Rutageruka Afariki Dunia

Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasia ya Uchumi wa Wizara ya Mambo ya Nje, Balozi Edwin Rutageruka amefariki dunia jana Jumapili,...

READ MORE

Kontena Lamwangukia Dereva Bodaboda na Kufa

MTU mmoja ambaye ni Dereva Bodaboda anasadikiwa kufariki dunia baada ya kuangukiwa na kontena lenye nafaka katika eneo la Tabata...

READ MORE

Mfungwa na Mahabusu Wapigwa Risasi Wakijaribu Kutoroka

Mfungwa mmoja aliyekuwa akitumikia kifungo cha miaka 30 gerezani na mahabusu aliyekuwa na tuhuma za mauaji, wameuawa kwa kupigwa risasi...

READ MORE

Wafanyakazi wa Azam Media Waliopata Ajali Wafikishwa Muhimbili

MAJERUHI wa ajali iliyotokea jana huko Kitonga ambapo miongoni mwao walikuwemo wafanyakazi 12 wa Azam Media wamepokelewa Uwanja wa Ndege...

READ MORE

Live: Vilio Zaidi Kwa Polisi – Wawili Wauawa Kwa Kichapo, Sakata Ngorongoro Lawagawa Wabunge…Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Biashara Kufa na Kupona kwa Yanga

KOCHA Mkuu wa Biashara United ya Mara, Vibier Bahati ameweka wazi kuwa watacheza kwa kufa na kupona kwenye mechi yao...

READ MORE

Zari Athibitisha ni Mke Bora

MWANAMAMA mwenye pesa zake ambaye pia ni baby mama wa msanii Diamond Platnumz, Zari The Boss Lady ame thibitisha kuwa...

READ MORE

DC Jokate Aunda Kamati Moto Soko La Mbagala – Video

MKUU wa Wilaya ya Temeke jijini Dar, Jokate Mwegelo amesema tayari wameunda Kamati ya kuchunguza chanzo cha kuungua kwa Soko...

READ MORE

Wafanyakazi Wa Azam Media Wapata Ajali Kitonga

Watu kadhaa wakiwemo wafanyakazi 12 wa kampuni ya Azam Media wamejeruhiwa baada ya gari la kampuni hilo walilokuwa wakisafiria  kutokea...

READ MORE

Prof. Mkenda: Fedha Zimetengwa Kuboresha Elimu ya Juu

  Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema katika kuendelea kuboresha Elimu ya Juu na kuongeza nafasi...

READ MORE

ENGIE Mobisol Sasa Kuitwa MySol

  Kampuni inayoongoza katika sekta ya nishati ya umeme jua kupitia mpango wa mikopo ya huduma za nishati wa lipa...

READ MORE

Simanzi! Safari ya Mwisho ya Ally Mtoni Sonso

Hatimaye mwili wa aliyekuwa Mchezaji wa Ruvu Shooting, Ally Mtoni Sonso umepumzishwa katika makazi yake ya milele hii leo Februari...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Ziwa Lenye Maji ya Pinki

UNAAMBIWA haya ni maajabu ya dunia, nchini Australia kuna maziwa na mito yenye muonekano tofauti na ilivyozoeleka ambapo Ziwa hili...

READ MORE

Tanzania Kushirikiana na Ufaransa Kibiashara

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amezungumza na Mkurugenzi wa Kituo cha kuwezesha wajasiriamali cha Station...

READ MORE

Masauni: IGP Nataka Uniletee Majina ya Askari Wasio Waaminifu

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni amemuagiza Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Nyakoro...

READ MORE