×

Habari

Kisa Mke, Mstaafu wa Polisi Ajinyongea Waya wa Pasi

MSTAAFU wa Jeshi la Polisi wilayani Mwanga mkoa wa Kilimanjaro bwana Omary Msangi amejinyonga hadi kufa bafuni kwake kwa kutumia...

READ MORE

Roketi ya Elon Musk Kugongana na Mwezi

Roketi iliyorushwa na kampuni ya uvumbuzi wa anga za juu ya bilionea Elon Musk inakaribia kugonga ndani ya mwezi na...

READ MORE

Mauaji Yamchefua Rais Samia, Dkt. Mpango Amtumia Salam IGP Sirro

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema amesikitishwa na kuumizwa kutokana na matukio ya mauaji yanayotokea nchini, na kuliagiza Jeshi la Polisi...

READ MORE

Amuua Mjamzito na Watoto 2 kwa Deni la Gunia 2 za Mahindi

JESHI la Polisi mkoani Rukwa limemkamata Philipo Vincent (22) kwa tuhuma za kumuua kwa kumkata mapanga mjamzito na watoto wake...

READ MORE

Mtalii Akanyagwa na Tembo Hadi Kufa

  MTALII  mmoja amekanyagwa hadi kuuawa na Tembo katika mbuga ya wanyama nchini Uganda, baada ya mtalii huyo kutoka kwenye...

READ MORE

Waziri Nape Atembelea TTCL, Atoa Maagizo

  WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mh. Nape Nnauye amefanya ziara ndani ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL...

READ MORE

Airtel na Benki ya Letshego Wakabidhi Zawadi Washindi wa Weka Akiba Ushinde na Timiza Akiba

    KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo kwa kushirikiana na benki ya Letshego wamekabidhi zawadi kwa...

READ MORE

Mahojiano ya Rais Samia na TBC1, Maisha Yake Tangu Kuzaliwa Hadi Sasa-Video

RAIS Samia Suluhu Hassan, leo Januari 27, amefanyiwa mahojiano maalum na kituo cha runinga cha TBC kwenye kipindi cha Jambo...

READ MORE

SBL Yaweka Wazi Mkakati Mkubwa wa Kuwasaidia Wakulima

      KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL), imesema itaendelea kusaidia kutatua changamoto mbalimbali zinazowakabili wakulima wa ndani ikiwa...

READ MORE

Kutoka Uturuki: Paula Kutua Bongo na Mbwa Wake

PAULA Kajala, mtoto wa mwigizaji mkubwa wa Bongo Movies, Kajala Masanja au Frida na prodyuza mkubwa wa Bongo Records, P...

READ MORE

Mwanamke Arekodi Tangazo Juu ya Ghorofa Refu Zaidi Duniani

Picha na video zinazomuonesha mwanamke akirekodi tangazo la Shirika la Ndege la Fly Emirates la Dubai, zimezusha gumzo kubwa kwenye...

READ MORE

Mrembo Atemwa na Mpenzi Wake Baada ya Kumpa Figo yake

MWANADADA Colleen Le aliyempa mpenzi wake figo yake amedai kuwa jamaa huyo alitwaye Christian amempiga chini miezi saba tu kadhaa...

READ MORE

Sita Mbaroni kwa Tuhuma za Mauaji ya Bibi Kizee

JESI la Polisi mkoani Mara linawashikilia watu sita kwa tuhuma za mauaji ya bikizee mkazi wa kijiji cha Rigicha wilayani...

READ MORE

Kortini kwa Kuiba Mbwa wa Jamaa Yake na Kumuuza Tsh Mil 2

MWANAUME mmoja kutoka Kaunti ya Nairobi, aliyefahamika kwa jina la Ian Kinuthia ana hadi Februari 7, mwaka huu kujua hatima...

READ MORE

Mume Amuua Mkewe, Amkata Vipande, Mwili Auwekwa Kwenye Mkoba

BINTI mrembo Esther Wambui, mwenye umri wa miaka 18 aliyepatikana akiwa ameuawa kinyama mtaani Ruiru amezikwa nyumbani kwao katika Kijiji...

READ MORE

Tanzania Yapokea Dozi 800,000 za Chanjo

Waziri wa Afya, Ummy leo Januari 26, 2022 amepokea dozi 800,000 za chanjo ya UVIKO-19 aina ya Sinopharm kutoka Serikali...

READ MORE

Mama wa Watoto 10: Mume Wangu Anataka Nizae Watoto 22

MAMA mmoja mwenye jumla ya watoto 10 kutoka kaunti ya Kakamega nchini Kenya aliyejitambulisha kwa jina la Gentrix Wekesa ameeleza...

READ MORE

Aua Mke, Watoto Wake Kisha Kuteketeza Nyumba

MWANAMME mmoja mwenye umri wa miaka 45 amemuua mke wake na wanawe watatu kabla ya kuteketeza kwa kuichoma moto nyumba...

READ MORE

Maiti Nyingine Zaopolewa Mto Yala

Sakata la maiti kuopolewa katika Mto Yala nchini Kenya limechukua sura mpya baada ya maiti nyingine mbili kuopolewa hapo jana...

READ MORE

Mtoto Auawa kwa Kuchomwa Kisu Shingoni

MTOTO anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 13 hadi 16 amefariki dunia baada ya kuchomwa kisu shingoni wakati akigombana...

READ MORE

Askari Polisi Aliyekamatwa kwa Tuhuma za Mauaji Ajinyonga Mahabusu

Ofisa mmoja wa Jeshi la Polisi Mkoani Mtwara, Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Greyson Mahembe ambaye ni miongoni mwa maofisa saba...

READ MORE

Mapya Sakata La Mauaji Mfanyabiashara, Kesi Ya Kujiuzulu Ndugai Front Page-Video

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Maofisa 7 wa Polisi Kizimbani kwa Tuhuma za Mauji

Jeshi la Polisi Mkoani Mtwara limewakamata na kuwafikisha mahakamani Maafisa wa Polisi saba kwa tuhuma za kufanya mauaji ya Mussa...

READ MORE

Mwili wa Baba wa Balozi Emmanuel Nchimbi Wazikwa Kijeshi..

  Mwili wa mzee John Alfonso Nchimbi ambaye ni baba wa Balozi Emmanuel Nchimbi aliyefariki dunia Januari 23, 2022 katika...

READ MORE

Aliyegombana na Mkewe Ajiua kwa Mkanda

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, Daud Samwel (30) mkazi wa Kitongoji cha Burunga Wilaya ya Serengeti mkoani Mara amejinyonga kwa...

READ MORE

Rais Samia: Soko Jipya Kujengwa Karume

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itajenga Soko jipya la Karume ambapo...

READ MORE

Askari Polisi Afia Gesti Akijiburudisha na Mrembo

JESHI la Polisi nchini Kenya linafanya uchunguzi kufuatia mwanaume mmoja, ambaye ni askari wa Jeshi hilo mwenye umri wa miaka...

READ MORE

Rais Samia: Poleni Wamachinga

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan amewapa pole wamachinga kufuatia kuteketea kwa soko lao...

READ MORE

Baba wa Ngusa Samike Azikwa Kahama

Leo Januari 25, 2022, baba wa Katibu Tawala wa Mkoa wa Mwanza, Ngusa Samike, Mzee Fredrick Shija Samike amezikwa katika...

READ MORE

Waliomuua Mwanamke Gesti Wakiri Kupewa Mil 1.7

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam linawashikilia Watu wawili wanaodaiwa kula njama na baadaye kumuua Mwanamke mmoja...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Wamachinga Ikulu Dar – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi wa Mkoa wa Dar es Salaam...

READ MORE

“Show Love” Tule Shangwe ya Vodaocm Yatoa Zawadi Kemkem Mjini Kahama

Mshindi wa promosheni ya Vodacom “Show Love, Tule Shangwe”, Veronica Kalamu (wa pili kulia) mkazi wa Runzewe akipokea mfano wa...

READ MORE

Msongamano Waua Watu Sita AFCON Cameroon

WATU sita wameripotiwa kufariki na makumi kadhaa kujeruhiwa katika msongamano uliotokea nje ya uwanja unaopokea mechi za Kombe la Mataifa...

READ MORE

Bilionea wa Dunia Aanzisha Kampuni ya Kuzuia Kifo

BILIONEA namba tatu Duniani ambaye pia ni mmiliki na Mwazilishi wa Kampuni ya Amazon, Jeff Bezos amekusanya jopo la wataalam...

READ MORE

Mjamzito na Watoto Wake Wachinjwa Kinyama

MATUKIO ya mauaji yameendelea kwa kasi baada ya watu wasiojulikana kuua kwa kuchinga. Kutokana na tukio hilo lililotokea Januari 17,...

READ MORE

Jeshi la Burkina Faso Lamshikilia Rais

Ripoti kutoka nchini Burkina Faso zinaeeleza kuwa wanajeshi walioasi wanamshikilia Rais wa nchi hiyo Roch Kaboré. Wanajeshi hao wametaka kufutwa...

READ MORE

Mradi wa Akili Bandia Wazinduliwa Tanzania

Serikali ya Tanzania imezindua mradi wa maabara ya akili bandia (artificial intelligence) utakaosaidia kurahisisha shughuli za maendeleo nchini. Hayo yamesemwa...

READ MORE

Video: Kesi Kupinga Ndugai Kujiuzulu Kuunguruma, Maofisa 7 Mbaroni | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘FRONT PAGE’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Ridhiwani Aitaka NHC Kuwa na Mipango Ya Muda Mrefu

  Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Ridhiwani Kikwete amelitaka Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuwa...

READ MORE