×

Habari

Mama Awapa Sumu Wanaye Watano, Wawili Wafariki Dunia

Jeshi la Polisi mkoani Geita, linamshikilia mwanamke mmoja, Veronica Gabriel (30), mkulima wa Kijiji cha Mwabagaru, Kata ya Buseresere mkoani...

READ MORE

Mume Amuua Mkewe, Watoto Wanne Kwa Shoka

Mwanaume mmoja, Paul Murage Njuki (35), mkazi wa Kijiji cha Kathata, Gichugu, Kaunti ya Kirinyaga nchini Kenya, anashikiliwa na jeshi...

READ MORE

Ng’ombe 17 Wafa Kimaajabu Monduli

Serikali mkoani Arusha imechukua Sampuli 17 ya Ng’ombe waliokufa Kiutata katika kijiji cha Popo Migungani A eneo la Mto wa...

READ MORE

Waasi Wateka Vijana Msumbiji

Watu wenye silaha wamewateka nyara zaidi ya vijana 100 kutoka kijiji cha Naulala katika Mkoa wa Niassa kaskazini mwa Msumbiji,...

READ MORE

Wanaume Wakodiwa Kusindikiza Wajawazito Kliniki

INADAIWA kuwa wajawazito katika kijiji cha Makoga wilaya ya Wanging’ombe mkoani Njombe,hulazimika kuwakodi wanaume kutoka katika vijiji jirani ili kuwasindikiza...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wafunga Ushahidi

Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar ea Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa kesi ndogo...

READ MORE

Wauza Madini Feki Wanaswa Sikonge

Mwanamke mmoja mkazi wa mkoani wa Arusha amekamatwa na Jeshi la Polisi katika stendi ya mabasi wilayani Sikonge Mkoani Tabora...

READ MORE

Jela Miaka 30 Kwa Kubaka, Kumpa Mwanafunzi Ujauzito

MAHAKAMA ya wilaya ya Njombe imemuhukumu Bright Peter Dismas (25) mkazi wa Kitisi halmashauri ya mji wa Makambako kifungo cha...

READ MORE

Mke wa El Chapo Ahukumiwa Jela

Emma Coronel Aispuro amehukumiwa adhabu ya kutumikia jela miaka mitatu kwa makosa ya ulanguzi wa dawa za kulevya na utakatishaji...

READ MORE

Video: Rekodi Mpya Bei Ya Mafuta, Mapya Yaibuka Kesi Ya Sabaya | FRONT PAGE

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Familia Yakataa Ofa Ya Travis Scott

Familia ya mtoto mdogo wa miaka 9 aliyefariki kwenye tamasha la Travis Scott linalojulikana kama Astroworld, imekataa ofa ya msanii...

READ MORE

Trump Aiomba Mahakama, Bunge Lisipewe Taarifa Zake

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, ameiomba Mahakama ya rufaa kuwazuwia wabunge wanaofanya uchunguzi wa ushiriki wake kwenye ghasia...

READ MORE

Mangula: Tulikubaliana Kujenga Gati Bagamoyo, Sio Bandari

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula amewataka Watanzania kutohangaika na upotoshaji unaofanywa na baadhi ya watu...

READ MORE

Mstaafu JWTZ Aliyefutiwa Kesi ya Kina Mbowe Atoa Ushahidi

MMOJA wa walioshtakiwa na baadaye kufutiwa mashtaka katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake...

READ MORE

Ujenzi Bandari ya Bagamoyo, Mangula, Nape Joto Lafukuta

UJENZI wa bandari ya Bagamoyo umewaibua makada wa CCM ambao kila mmoja amekuja na mtazamo wake. Makamu Mwenyekiti wa CCM...

READ MORE

Mwezi Mmoja Tu, Bei ya Mafuta Yapanda Tena

Mamlaka ya Udhibiti wa Maji na Nishati (Ewura) imetangaza kupanda kwa bei ya rejareja ya mafuta kwa Sh71 kwa lita...

READ MORE

Shahidi Adai Kesi ya Kina Mbowe ni ya ‘Mchongo’

Shahidi wa pili wa utetezi katika kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

READ MORE

Milionea Mdogo wa New Zealand Afia Kenya

MILIONEA mwenye umri mdogo wa miaka 26, Raia wa New Zealand Jake Millar amefariki Duniani akiwa nchini Kenya katika kifo...

READ MORE

Waziri Gwajima: Viongozi Wasiochanja Waachie Ngazi

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk. Dorothy Gwajima amesema msimamo wa Tanzania chanjo ni hiari...

READ MORE

Pombe ya Banana Yapigwa ‘Stop’ kwa Kutokidhi Viwango

Serikali imesitisha uzalishaji wa pombe aina ya Banana inayozalishwa na kiwanda cha Tanbasi Investment kilichoko Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro...

READ MORE

GGML Yatoa Milioni 84 Mapambano Dhidi ya VVU

WAKATI leo tarehe 1 Disemba, 2021 ikiwa ni siku ya maadhimisho ya UKIMWI duniani ambayo kitaifa mwaka huu yanafanyika jijini...

READ MORE

Bi Leticia: Wanaume Wataalam Wa Kunena Kwa Lugha

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa Majaliwa,mapema leo amehudhuria maadhimisho ya siku ya UKIMWI...

READ MORE

RC Ataka Arodha ya Walioacha Shule Sababu ya Bangi

MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Antony Mtaka amemwagiza Katibu Tawala (DAS) wa Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma, Andrew Ng’hwani kuandaa...

READ MORE

Aliyeuza Senene Ndani ya Ndege Akamatwa

Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini Uganda Fred Enanga, amesema kwamba jeshi hilo linamshikilia mwanaume mmoja aitwaye Paul Mubiru, ambaye...

READ MORE

UNESCO Yajenga Kituo cha Malezi, Makuzi ya Watoto Sengerema

Sengerema. Shirika la Kimataifa UNESCO kwa ufadhili wa Shirika la Korea (KOICA) kupitia mradi wa kuwawezesha wasichana walio katika umri...

READ MORE

Treni ya Umeme Kutumia Umeme Wake Sio Unaokatika

MENEJA Mradi wa Treni ya SGR Mhandisi Machibya Masanja, amesema kuwa Treni ya umeme itakapoanza haitatumia umeme huu wa kawaida...

READ MORE

Vodacom, UNEP na UNICEF Waangalia Athari za Mabadiliko ya Tabianchi na Ongezeko la Watoto Njiti

Mratibu wa taasisi ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia mazingira (UNEP) Clara Makenya (kushoto) akipokea mti wa matunda kutoka kwa Mkurugenzi...

READ MORE

Historia Kuwekwa Tanzania, Mabasi 3650 Mwendokasi Kuletwa

Waziri wa TAMISEMI, Ummy Mwalimu amesema Serikali inapanga kuongeza mabasi ya Mwendokasi kwa awamu ya kwanza kutoka 210 yaliyopo sasa...

READ MORE

SGA Yashinda Tuzo ya Kampuni Bora ya Ulinzi

    KAMPUNI ya ulinzi ya SGA Security imechaguliwa kuwa kampuni bora katika kutoa huduma za ulinzi nchini Tanzania na...

READ MORE

Ruby Avunja Ukimya, Penzi la Mose Iyobo, Kumuita Kusah Takataka, Bifu la Aunt Ezekiel..

Mwanadada afunguka mengi juu ya maisha yake kwa sasa na nani ni msaada zaidi katika maisha yake . 

READ MORE

Dili la Kuuza Sura kwa Tsh Mil 460, Uko Tayari?

Kampuni ya kutengeneza roboti ya nchini Urusi inatafuta sura ya binadamu atakayekubali kulipwa ili kuitumia kwenye  bidhaa yake mpya ‘Promobot‘....

READ MORE

Wazee wa Kichaga Wamtaka Kimei Kufuta Kauli

BAADHI ya wazee wa kabila la Wachagga wamelaani kauli ya Mbunge wa jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei aliyoitoa hivi...

READ MORE

Kanye West Afuta Post Zote Instagram

  Rapa anayetikisa na albamu yake ya DONDA, Kanye West amefuta post zake  zote katika ukurasa wake wa mtandao wa...

READ MORE

Alpha Condé Aachiwa na Jeshi Guinea

  JESHI nchini Guinea ambalo limeshika madaraka nchini Guinea limetangaza kuwa Rais aliyeondolewa madarakani nchini humo, Alpha Condé (83) ameachiwa...

READ MORE

Rihanna Atangazwa Kuwa Shujaa wa Taifa

  Mwimbaji Staa Rihanna ambae ni mzaliwa wa Barbados na Balozi wa kuitangaza Nchi hiyo ametangazwa rasmi kuwa Shujaa wa...

READ MORE

Waziri Mhagama Aipongeza WCF Kwa Kuwapatia Computer Tume Ya Usuluhishi

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Uratibu, Bunge, Kazi, Ajira, Vijana na Wenye Ulemavu), Jenista Mhagama ameupongeza Mfuko...

READ MORE