×

Habari

Maua Ataja Sababu za Kuachana na Mzungu

Maua Sama alichagua muziki mbele ya penzi la mzungu ambaye alimtaka mwimbaji huyo aache muziki na ahamie nchini Italia ili...

READ MORE

ECOWAS Yafunga Mipaka na Mali

VIONGOZI wa Afrika Magharibi wameiwekea Mali vikwazo baada ya serikali ya kijeshi ya nchi hiyo kutangaza kuchelewesha kwa muda mrefu...

READ MORE

Mpango Kumuwakilisha Rais Samia Mkutano wa SADC

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango hii leo tarehe 10 Januari 2022 anaondoka...

READ MORE

Kilimanjaro: Binti Adaiwa Kumuua Mama Yake Kwa Tamaa Ya Mali

Katika Manispaa ya Moshi binti mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Wendy amemuua mama yake mzazi (Mama Ipepu) ambaye ni...

READ MORE

CCM Yaanza Kumsaka Mrithi wa Ndugai – Video

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza kuanza mchakato wa kumsaka mrithi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya...

READ MORE

Kanali Ilonda: “JWTZ Haijihusishi na Siasa”

Kaimu Mkurugenzi wa Habari na Uhusiano wa JWTZ, Luteni Kanali Gaudentius Gervas Ilonda amewataka Watanzania kupuuzia taarifa zinazosambaa katika mitandao...

READ MORE

Video: DC Mwaisumbe Awapa Shule Lisu Na Mbatia Sakata La Ndugai Kujiuzulu

 Baada ya kujiuzulu kwa aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai, Januari 06, 2022 kumekuwa na maneno kutoka...

READ MORE

Rais Samia Ateua Makatibu na Manaibu Katibu Wakuu

Rais Samia Suluhu Hassan Jumamosi Januari 8, 2022 ameteua makatibu na manaibu katibu wakuu.

READ MORE

Rais Samia Atangaza Baraza Jipya la Mawaziri, Tazama Mkeka Hapa – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Akitangaza mabadiliko hayo Jumamosi Januari 8, 2021 Ikulu jijini...

READ MORE

Shisha Kirusi Kipya Hatari kwa Mastaa

PAMOJA na kupigwa marufuku nchini Tanzania, lakini kasi ya uvutaji wa kilevi aina ya shisha, imerejea upya na kusababisha hatari...

READ MORE

Maafisa wa Polisi Wauawa kwa Kuviziwa

Maafisa wanne wa polisi wa Kenya wameuawa katika shambulizi la kuvizia katika eneo la pwani linalopakana na Somalia. Shambulizi hilo...

READ MORE

Phiri Asaini Yanga

UKISIKIA jeuri ni hii ambayo wameifanya mabosi wa Yanga ambapo kwa sasa wanasubiria muda tu kwa ajili ya kumtambulisha kiungo...

READ MORE

Aweka Mabango Makubwa Kusaka Mke

  Mwanaume mmoja ambaye hajaoa anatumia mabango makubwa yenye ujumbe mwingi-ndani katika harakati zake za kupata mke. Muhammad Malik, 29,...

READ MORE

Achomwa Moto na Rafiki Yake Kisa Mke

Daud Emanuel (27) mkazi wa Chamwino Manispaa ya Morogoro, amenusurika kifo baada ya kumwagiwa mafuta ya petroli kisha kuchomwa moto...

READ MORE

Vigogo Waliotemwa Baraza la Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Jumamosi, Januari 8, 2022 amefanya mabadiliko ya Baraza...

READ MORE

Nape Waziri Mpya wa Habari, Ridhiwani Naibu Waziri Ardhi

Rais Samia Suluhu Hassan amefanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri na Makatibu Wakuu na Manaibu Makatibu Wakuu.   Akitangaza...

READ MORE

Aunt: Tunaowachekea Ndio Vivuruge Wakubwa Mjini

MWANAMAMA wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel anasema kuwa, watu wengi ambao ni wabaya ndiyo ambao wanamzunguka mtu na kila wakati...

READ MORE

Barabara Ndefu Zaidi Duniani Chini ya Ziwa Yaanza Kufanya Kazi

IKIWA ni takriban miaka minne ya ujenzi, barabara ndefu zaidi ya chini ya maji nchini China, hatimaye barabara hiyo imeanza...

READ MORE

Rais Achafukwa, Aaamuru: Wauweni Bila Onyo

Rais wa Kazakhstan, Kassym-Jomart Tokayev amewaamuru Jeshi la Polisi na Wanajeshi wa nchi hiyo “kuua watu bila onyo” ili kukomesha...

READ MORE

Mavunde: Juni Umeme Uwashwe

MBUNGE wa Dodoma Mjini, Anthony Mavunde ameridhishwa na kasi ya usimikaji nguzo katika Kata hiyo na kumtaka Mkandarasi kukamilisha maeneo...

READ MORE

Shinyanga: Mzee Akutwa Amejinyonga

Mwanaume aliyefahamika kwa jina la Magesa Mahona anayekadiriwa kuwa na umri wa kati ya miaka 60 na 65 mkazi wa...

READ MORE

Watu Milioni 1.3 Waitwa Kuchukua Vitambulisho vya NIDA

MAMLAKA ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) nchini Tanzania imetoa vitambulisho vya uraia milioni 9.4 tangu ianze kuzalisha vitambulisho hivyo huku...

READ MORE

Akamatwa Akimuuza Mtoto wa Miaka 10 Ili Anunue Pikipiki

Jeshi la Polisi nchini Liberia limemkamata na kumfungulia mashtaka mwanaume wa Sierra Leone mwenye umri wa miaka 29 kwa madai...

READ MORE

ITAKULIZA: Msanii Bambucha Akatwa Mguu, Asimulia Mateso Aliyopitia – “Wasanii Wenzangu Wamenitenga”

Msanii wa kitambo, Bambucha amesimulia mateso aliyopitia hadi kufikia hatua ya kukatwa mguu. 

READ MORE

TAKUKURU: Achana na Mil 90, Sabaya Ana Kesi Nyingine ya Kujibu

AFISA wa Takukuru anayetoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Lengai Ole Sabaya na wenzake sita ameiambia Mahakama kuwa...

READ MORE

Muigizaji wa Kwanza Mweusi Kushinda Tuzo ya Oscar Afariki

Sidney Poitier, ambaye alivuka vikwazo vya rangi kama mshindi wa kwanza Mweusi wa mwigizaji bora Oscar kwa jukumu lake katika...

READ MORE

Mwalimu Mstaafu Afia Gesti Baada ya Kujiburudisha na Mrembo

Polisi kaunti ya Nakuru nchini Kenya wanachunguza kisa ambapo mwalimu aliyekuwa amestaafu aliaga dunia kwa njia ya kutatanisha baada ya...

READ MORE

Mgeja: Genge la Ndugai Lijitathmini, Mabango ya Ndugai Yaondolewe

KADA mkongwe wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Khamis Mgeja amewapongeza Watanzania kuandika Historia ya pekee kumlinda Rais Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Mbatia Kwenda Mahakamani Kupinga Ndugai Kujiuzulu

Chama Cha NCCR-Mageuzi kimesema kinakusudia kwenda mahakamani kupinga iwapo kutakuwa na mchakato wowote wa kumpata Spika mpya wa Bunge la...

READ MORE

Wabongo Kumshuhudia D’Banj Dubai

WATANZANIA wameanza kuchomoza katika shindano la kuwania tiketi za bure kuelekea nchini Dubai kutembelea maonesho ya kibiashara ‘Dubai Expo 2020’,...

READ MORE

Ripoti ya Jaji Zondo Yammaliza Zuma

RIPOTI ya kursa 874 ya Tume iliyounda kuchunguza tuhuma za ufisadi wa Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Jacob Zuma,...

READ MORE

Mgeja Ataka Soko Kuu la Dodoma Lisiitwe Job Ndugai

KANDA wa Chama Cha Mapinduzi na Mwenyekiti wa Taasisi ya Mzalendo Foundation inayojihusisha na masuala ya haki, utawala bora na...

READ MORE

Malaika Anaswa Na Camera Kanisani

  Pastor Ekuma Uche Philips wa Jamuhuri ya kidemokrasia ya Congo amedai yakua malaika amenaswa na camera za kanisani kama...

READ MORE

Vijana Msitumike Kupasua Chama – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amewataka vijana wa chama cha Mapinduzi kutokubali kutumiwa kusababisha mpasuko...

READ MORE

Vijana Tafuteni Kazi Sio Ajira – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amewataka Vijana nchini kujikita zaidi katika kutafuta fursa za kazi badala ya fursa za ajira. Rais...

READ MORE

Watu 11 Wafariki, Wanne Wapofuka kwa Kunywa Pombe ya Ndizi

WATU 11 wameripotiwa kufariki nchini Rwanda tangu sikukuu ya Krismasi baada ya kunywa pombe ya kienyeji inayotengezwa kutumia ndizi katika...

READ MORE

Breaking: Wabunge Waitwa Bungeni Dodoma

Katibu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Nenelwa Mwihambi leo Ijumaa, Januari 7, 2022 amesema baada ya Job...

READ MORE

Wanne Watiwa Mbaroni kwa Kutaka Kumuibia Rais

HII nayo kali! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia jamaa wanne kukamatwa kwa njama ya kujaribu kumuibia Rais wa Kenya, Mhe....

READ MORE

Mrembo Anaekusanya Ushuzi na Kuuza, Yamkuta!

MREMBO Stephanie Matto (31) aliyejiajiri kwa kujamba, kuufunga ushuzi na kuuza kwenye chupa na majagi aamua kustaafu baada ya kukumbwa...

READ MORE

Katiba Inasemaje Kuhusu Kiti cha Spika Kikiwa Wazi

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amejiuzulu nafasi hiyo kuanzia jana Januari 6, 2022 kwa hiari yake mwenyewe kwa...

READ MORE