×

Habari

Rais Samia Amjulia Hali Mufti wa Tanzania Abubakar Bin Zubeir

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akimjulia hali Sheikh Mkuu wa Tanzania Mufti Abubakar Bin...

READ MORE

Rais Samia Kuteua Mawaziri na Wakuu Wapya wa Mikoa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema hivi karibuni atafanya mabadiliko ya viongozi mbalimbali wakiwemo...

READ MORE

Rais Samia: Anayesumbua ni ‘CCM’ Mwenzio Sio Upinzani – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonyesha kukerwa na na kile alichokisema Spika wa Bunge,...

READ MORE

Mwigulu Afafanua Matumizi ya Tsh Tril 1.3 – Video

Waziri wa Fedha na Mipango Dk Mwigulu Nchemba ametolea ufafanuzi ugawanyo wa fedha Sh trilioni 1.3 zilizokopwa na Serikali kutoka...

READ MORE

Rais Samia: Wapiga Kelele Hao… Lazima Tukope – Video

Rais Samia Suluhu Hassan amesema lazima nchi ikope kwaajili ya kutekeleza miradi mbalimbali ikiwamo ujenzi wa madarasa kwa kuwa fedha...

READ MORE

Rais Samia Ampa Makavu Spika Ndugai “Ni Stress za 2025” – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan ameonyesha kukerwa na na kile alichokisema Spika wa Bunge,...

READ MORE

Hakuna Atakayegongewa Mlango Kudaiwa Deni la Taifa – Video

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Nchemba, amesisitiza kuwa deni la taifa ni himilivu na kwamba hakuna Mtanzania yeyote...

READ MORE

Aua Watoto Wake Naye Kujiua Kisa Mumewe Kuchepuka

MWANAMKE mmoja, Hellen Vuyanzi (35) amejichoma moto yeye na watoto wake wawili kwa kinachodaiwa kuwa ni kutofautiana na mumewe kutokana...

READ MORE

Serikali Yatangaza Kushuka kwa Bei za Mafuta

Mamlaka ya Huduma za Udhibiti wa Nishati na Maji (EURA) imetangaza kushuka kwa bei za mafuta kwa mwezi Januari 2022...

READ MORE

Rais wa Msumbiji & Mkewe Wakutwa na Uviko-19

Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi na mkewe Isaura Nyusi wamekutwa na maambukizi ya virusi vya Uviko-19. Taarifa iliyotolewa na ofisi ya...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Haiti Anusurika Jaribio la Mauaji

WATU wenye silaha walijaribu kumuua Waziri Mkuu wa Haiti Ariel Henry wakati wa sherehe ya kuadhimisha kumbukumbu ya uhuru wa...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dk. Baghayo Abdallah Saqware kuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA).  ...

READ MORE

Wagonga Lori kwa Nyuma, Wafariki

WATU wawili wamefariki dunia baada ya pikipiki waliyokuwa wakisafiria kugonga lori kwa nyuma lililokuwa limeegeshwa pembezoni mwa barabara kutokana na...

READ MORE

Mtoto Afa kwa Kunywa Dawa ya Mifugo

MTOTO mwenye umri wa miaka mitano amefariki dunia huku mwingine akinusurika baada ya kunywa dawa ya chanjo ya ng’ombe katika...

READ MORE

Ratiba ya Mazishi ya Katibu wa Kikwete, Adam Issara

Ratiba ya Mazishi ya Ndugu Adam Issara, Katibu wa Rais Mstaafu Dkt Jakaya Kikwete Leo Tarehe 04-01-22.

READ MORE

Mgonjwa Anaswa kwa Kuiba Gari la Wagonjwa

Mgonjwa mwenye umri wa miaka 40, aliyejulikana kwa jina la Saminu Sa’idu, amezua mjadala kwenye mitandao ya kijamii kwa kutuhumiwa...

READ MORE

Mwanajeshi wa Zamani Anashikiliwa kwa Mauaji ya Rais

MAMLAKA za nchi ya Panama zimemkamata na kumshikilia mtu mmoja aliewahi kuhudumu kama mwanajeshi nchini Colombia akitakiwa kuhojiwa kwa kuhusika...

READ MORE

Barabara ya Kimara – Kibaha Kukamilika Kabla ya June 2022

NAIBU Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Mhandisi Godfrey Kasekenya ameuagiza Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Mkoa wa Dar es Salaam...

READ MORE

Moto Waibuka Tena Kwenye Jengo la Bunge Afrika Kusini

MOTO mkubwa ambao uliwaka katika jengo la bunge la Afrika Kusini mjini Cape Town umeibuka tena saa chache baada ya...

READ MORE

🔴#Live: Rasmi Mashine Mbili Zatua Simba, Kisa Yacouba, Nabi Awavaa Mabosi Yanga | Krosi Dongo..

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi.. 

READ MORE

Msaidizi wa Rais Kikwete Afariki Dunia

Ofisi Binafsi ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete imethibitisha kutokea kwa kifo cha Katibu wa...

READ MORE

Mzee Kambaulaya Afariki Dunia

MSANII maarufu ambaye pia ni mwanahabari mkongwe, Mzee Barnabas Maro maarufu kama Mzee Kambaulaya au Baba Bishanga amefariki dunia. Taarifa...

READ MORE

🔴#Live: Ndugai: Nimekosa Mimi, Amuomba Radhi Rais, Jaji Warioba Atoa Dira Katiba Mpya | Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘Front Page’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE

Nmb Yahitimisha Promosheni Ya Bonge La Mpango

    Kampeni ya Benki ya NMB ya kuwahamasisha wateja wake kuweka akiba ya Bonge la Mpango II ilifungwa rasmi...

READ MORE

Airtel Tanzania Yatoa Msaada Kituo cha Watoto Yatima Katavi

Katavi Jumanne 4 Januari 2022…Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kupitia kampeini maalum ya kusaidia jamii kwa kipindi...

READ MORE

Ombi la Sabaya Lakubaliwa Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imekubali ombi la mawakili upande wa utetezi kuondoa ushahidi wa picha za CCTV zilizokuwa ziwasilishwe...

READ MORE

Ishu ya Madawa ya Kulevya, Kamanda Shilla Awaonya Polisi Airport

KAMANDA wa Polisi wa Viwanja vya Ndege nchini, Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Jeremiah Shilla amewaagiza Polisi katika Uwanja wa...

READ MORE

Mchungaji Awaogesha Wanawake

HAYA ni maajabu ya fungua mwaka! Mchungaji wa kanisa moja nchini Ghana katika mitandao ya kijamii akiwavua nguo wanawake tena...

READ MORE

Rais Amtumbua Mkurugenzi Mkuu Shirika la Utangazaji

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika...

READ MORE

Uamuzi Mdogo Kesi ya Sabaya Leo

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha leo Jumatatu Januari 3, 2022 imepanga kutoa uamuzi mdogo wa pingamizi lililowasilishwa na mawakili wa...

READ MORE

Waziri Mkuu wa Sudan Ajiuzulu

Waziri Mkuu wa Sudan, Abdallah Hamdok ametangaza kujiuzulu wadhifa huo jana Jumapili Januari 2, 2022. Hamdok ameachia wadhifa huo jana...

READ MORE

Spika Ndugai Amuomba Radhi Rais Samia – Video

Spika wa Bunge, Job Ndugai amemuomba radhi Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Watanzania wote kwa...

READ MORE

Kenya: Al Shabaab Wavamia Kijiji, Waua Sita

Takriban watu sita wameuawa na vijiji kuchomwa moto na watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa Al Shabab katika mji wa pwani...

READ MORE

Rais Samia Awalilia 14 Waliokufa Ajalini Mtwara

RAIS Samia Suluhu ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti kufuatiwa vifo...

READ MORE

Ndugai: Ile Clip Imetengenezwa – Video

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amesema katika hotuba yake aliyoitoa hivi karibuni hakukuwa na hapakuwa na jambo la...

READ MORE

🔴#LIVE: Simba Yashusha Mashine 5, Mukoko Rasmi Kuondoka Yanga, Familia Yamuondoa Mayele | Krosi Dongo….

KARIBU katika ‘KROSI DONGO’ upate stori za kuaminika za michezo ndani na nje ya nchi.. 

READ MORE

Hatimaye Meli ya Starehe Yaondoka Lisbon

Meli ya safari za starehe inayoendeshwa na kampuni ya Ujerumani, ambayo ilikuwa imekwama katika bandari ya Lisbon baada ya kuzuka...

READ MORE

Marekani Yazuia Mtandao wa 5G

SERIKALI ya Marekani imetoa wito wa kutaka kucheleweshwa kwa shughuli ya usambazaji wa mtandao wa kasi ya 5G kwenye simu...

READ MORE

Aliyemuua George Floyd Yamkuta Gerezani

ASKARI wa Jeshi la Polisi nchini Marekani, Derek Chauvin aliyemuua George Floyd kwa sasa anayaishi matokeo ya matendo yake, akipitia...

READ MORE

🔴#Live: CCM Yajiweka Kando Sakata la Ndugai, Mfumo Dume, Ubaguzi Upuuzwe Nchini.. Front Page

Karibu kutazama kipindi bora cha asubuhi ‘Front Page’ Hapa utapata kujua habari zilizojiri kutoka kwenye magazeti pamoja na uchambuzi makini…....

READ MORE