×

Habari

Mbowe Agoma Kutoa Maelezo

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na wenzake watatu leo Agosti 23, 2021 wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar...

READ MORE

Watumishi TRA Waliofariki kwa Ajali Watajwa Majina Yao

Wafanyakazi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA wamefariki dunia kutokana na ajali ya gari aina ya Landcruiser yenye nambari za...

READ MORE

Simanzi! Mazishi ya Mwalimu Kashasha – Video

  MWILI wa aliyekuwa mchambuzi nguli wa soka Tanzania, Mwalimu Alex Kashasha (64) leo Jumatatu, Agosti 23, 2021, umepumzishwa kwenye...

READ MORE

Gwajima Agomea Kiti cha Kamati – Video

MBUNGE wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima amekataa kutumia kipaza sauti (MIC) na kiti kilichokuwa kimeandaliwa na Kamati ya Kudumu ya...

READ MORE

Basi la Sauli Lapata Ajali Kibaha, Wanne Wajeruhiwa

WATU wanne wamejeruhiwa na wengine 40 kunusurika baada ya kutokea ajali ya basi la kampuni ya Sauli eneo la Picha...

READ MORE

Kilichomuua Meya Shinyanga Chatajwa

Mazishi ya Mwili wa Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga David Mathew Nkulila (57) ambaye ni Diwani kata ya Ndembezi...

READ MORE

Gwajima Ashusha Maombi Mazito Kabla ya Kuhojiwa – Video

  Mbunge wa Kawe, Mhe. Josephat Gwajima ameshusha maombi mara baada ya kuwasili katika viwanja vya Bunge Jijini Dodoma kwa...

READ MORE

Gwajima Atinga Bungeni Chini ya Ulinzi Mkali – Video

MBUNGE wa Kawe, Askofu  Josephat Gwajima leo Agosti 23 ametii wito kufika mbele Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki,...

READ MORE

IGP Sirro, Ole Sabaya Kumtetea Mbowe

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na wenzake watatu wamesomewa maelezo ya mashtaka yanayowakabili leo Jumatatu,...

READ MORE

Prof Mkumbo Atangaza Fursa za Uwekezaji Katika Viwanda Vilivyokuwa Vimebinafsishwa

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Prof Kitila Mkumbo (Mb) ametangaza fursa za uwekezaji katika Viwanda 20 vilivyokuwa vimebinafsishwa na...

READ MORE

Pingamizi la Sabaya Lapigwa Chini Mahakamani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha imetupilia mbali pingamizi la mawakili wa upande wa utetezi katika kesi ya unyang’anyi wakutumia silaha...

READ MORE

Mbowe Afikishwa Mahakamani kwa Hati ya Dharura – Video

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na wenzake wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa...

READ MORE

Afariki kwa Kula Nyama ya Kuku Mgonjwa

Binti mwenye umri wa 7 kutoka kijiji cha Igumo wadi ya Marimanti katika Kaunti ya Tharaka Nithi nchini Kenya ameaga...

READ MORE

Breaking: Watumishi Watano wa TRA Wafariki kwa Ajali

Watumishi watano wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kikosi kazi cha Fast Track wamefariki kwa ajali katika eneo la Hanseketwa...

READ MORE

Simanzi Nzito Mazishi ya Basil Mramba

MAMIA ya wananchi wa Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro na kwingineko nchini wamejitokeza kuuaga mwili wa aliyekuwa mbunge wa Jimbo...

READ MORE

Polisi Amuua kwa Risasi Mwenzake Wakimkimbiza Dereva wa Lori

POLISI wa kike kutoka kituo cha Polisi cha Gilgil Weighbridge kwenye barabara ya Ngong-Suswa amempiga risasi kimakosa afisa mwenzake wakimkimbiza...

READ MORE

Mchungaji Aliyezikwa Akiwa Hai Akisema ‘Atafufuka Kama Yesu’ Afariki Dunia

MCHUNGAJI wa kanisa la Zion nchini Zambia, James Sakara (22), aliyewaomba baadhi ya waumini wake wamchimbie kaburi na kisha wamzike...

READ MORE

Mtoto Azaliwa na Sehemu Tatu za Uume – Video

WANASAYANSI wamezidi kushangazwa na kilichosababisha mtoto mmoja wa kiume aliyezaliwa na sehemu tatu za uume nchini Iraq miezi kadhaa baada...

READ MORE

Tanzia: Meya wa Shinyanga Afariki Dunia

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga David Mathew Nkulila ambaye ni Diwani kata ya Ndembezi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

READ MORE

Vodacom Foundation Yatambuliwa kwa Kuboresha Elimu Kupitia Teknolojia

  Dar es Salaam Jumapili 22 Agosti 2021… Mamlaka ya Elimu ya Tanzania (TEA) imetoa cheti cha kutambua mchango endelevu...

READ MORE

Kodi ya Majengo Kwenye Luku ni ya Mwenye Nyumba Sio Mpangaji

SERIKALI imetoa ufafanuzi kuhusu kodi ya majengo ambayo imeanza kulipwa Agosti 20, 2021 kupitia makato wakati wa ununuzi wa LUKU...

READ MORE

Kitila Mkumbo Aitaka TANTRADE Kutoa Taarifa, Takwimu Sahihi -Video

Waziri wa Viwanda na Biashara Prof. Kitila Mkumbo (Mb) ameitaka Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE) kuwa kituo cha...

READ MORE

Askofu Gwajima, Slaa Waitwa Mbele ya Kamati

Spika Job Ndugai ameamuru wabunge wawili, Josephat Gwajima na Jerry Silaa kufika mbele ya Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka...

READ MORE

Naibu Mkuu wa Polisi Uganda, Paul Lokech afariki

JESHI la Polisi nchini Uganda UPDF limethibitisha kifo cha Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi, Meja Jenerali Paul Lokech. Msemaji...

READ MORE

Mwanajeshi Matatani kwa Kuwalisha Wenzake Keki ya Bangi

MWANAJESHI wa Canada ambaye alilisha wanajeshi wenzake keki yenye bangi wakati wa mazoezi ya kutumia silaha sasa anaweza kuhukumiwa kifungo...

READ MORE

Mapendekezo 7 Tume ya Uchaguzi – Video

WADAU wa Uchaguzi na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imependekeza mambo saba kwa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Wanaonunua Chapati Zaidi ya 5 Kukamatwa

JESHI la Polisi wilayani Moroto Kaskazini mwa Uganda, wameanza kuwakamata watu wanaonunua chapati tano au zaidi kwa madai ya kwamba...

READ MORE

Taliban Wapiga Msako Nyumba kwa Nyumba

Umoja wa mataifa umeeleza kuwa Taliban wako kwenye msako wa nyumba kwa nyumba kuwatafuta watu waliofanya kazi na vikosi vya...

READ MORE

Mwanasoka Afariki kwa Kudandia Ndege ya Afghan

Mamlaka ya Afghanistan imethibitisha kuwa mwanasoka kijana Zaki Anwari (19) alifariki dunia baada ya kujaribu kuondoka nchini humo kwa kudandia...

READ MORE

Gwajima Amtembelea Mtoto Alieacha Shule Kumuuguza Bibi Yake

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Dorothy Gwajima ameawata Maafisa Ustawi wa Jamii na...

READ MORE

Mwanafunzi Kidato cha Nne Abuni Kifaa cha Kukusanya Mapato

  MWANAFUNZI wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari ya Ufundi ya Iyunga ya Mkoani Mbeya,Yusuph Ng’umbi amebuni kifaa...

READ MORE

Mwalimu Afa kwa Shoti ya Umeme Akizungumza na Simu Kwenye Chaji

MWALIMU wa shule ya upili ya Kimugui kaunti ya Bungoma nchini Kenya  amefariki dunia chumbani kwake baada ya kupigwa na...

READ MORE

Rais Samia Asisitiza Diplomasia ya Uchumi – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amewaapisha mabalozi wateule watatu pamoja na Mtendaji Mkuu wa...

READ MORE

Rais Amuagiza Prof. Elisante Kusimamia Haki

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan amesema mmoja ya kazi ya Mtendaji Mkuu wa Mahakama...

READ MORE

Rais Samia Apokea Ripoti ya Uchaguzi Mkuu 2020 – Video

Rais wa Tanzania, Rais Samia Suluhu akiwa Ikulu, Dar anapokea ripoti ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Oktoba 2020 Katika Uchaguzi huo,...

READ MORE

Nabii Bendera Awachana Wanasiasa na Wachungaji

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Ufunuo, Bishop Paul Bendera amewashukia baadhi ya viongozi wa siasa wenye tabia za kuongea ongea...

READ MORE

Wakazi wa Razaba Bagamoyo Waomba Kurasimishiwa Maeneo Wanayoishi

      Wakazi wa eneo la Razaba Kata ya Makurunge, Bagamoyo mkoani Pwani wameiomba serikali iwarasimishie eneo lao wanaloishi...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Viongozi Aliyowateua – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwaapisha viongozi wateule wafuatao:- 1. Prof. Elisante Ole Gabriel...

READ MORE

Tanesco Yafafanua Wafanyakazi Wake Kufyeka Mahindi ya Mwananchi

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema litafanyia uchunguzi suala tukio la Wafanyakazi wa TANESCO kufyeka mazao katika shamba la Mkulima...

READ MORE