Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania, Tanil Kumar Chandulal Somaiya amefariki dunia jana Jumatano, Agosti 11, 2021 jijini Dar es Salaam. Baadhi...
READ MOREMshindi promosheni ya Vodacom wa zawadi kubwa ya Tusua Mapene Tsh 179,000,000, Ramadhani Ismail Bwaniki akikabidhiwa zawadi yake kutoka kwa...
READ MOREUmoja wa Afrika umeitengea Tanzania dozi milioni 17 za chanjo za UVIKO- 19 kupitia mpango wa Umoja huo wa kuzisaidia...
READ MOREHUU sasa ni uchokozi… Eti Ibraah naye anataka kujipumzisha kwa mzazi mwenza wa Rayvanny, Fahyma ili tu kuendeleza ligi kati...
READ MOREKOCHA Mkuu wa Yanga raia wa Tunisia, Nasreddine Nabi ashindwe mwenyewe katika msimu ujao ni kutokana na usajili ambao umefanywa...
READ MOREFabian Shao (32) anasema kuwa baada ya kuacha kazi ya udereva katika shirika moja la kimataifa na kuamua kujiajiri na...
READ MOREKampuni inayoongoza kwa maisha ya dijitali nchini Tanzania, Tigo, leo imezindua shindano la Tigo Kandanda. Washindi wa shindano...
READ MOREJESHI la Polisi mkoani Geita linawashikilia viongozi watatu wa kamati ya jumuiya ya maji inayosimamia mradi wa maji wa Mharamba...
READ MORESerikali imesitisha leseni ya Gazeti la Uhuru kwa siku 14 kuanzia Agosti 12, 2021. Mkurugenzi wa Habari-MAELEZO, Gerson Msigwa amesema...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Rais wa Chama cha Wanasheria...
READ MOREKATIBU Mkuu wa Chama Cha mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo ametangaza kusitishwa kwa uchapaji wa gazeti linalomilikiwa na chama hicho, gazeti...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imewakuta na kesi ya kujibu, aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson...
READ MOREWATU 24 wa familia moja wamefariki baada ya kula chakula kinachoshukiwa kuwa na sumu kaskazini magharibi mwa Nigeria. Tukio hilo...
READ MOREJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linawashikilia watu sita kwa tuhuma za kuwashambulia na kuwarekodi video za...
READ MOREWAZIRI wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amesema Magereza ya Tanzania yana viashiria vya ukoloni na kwamba kuna safari ndefu...
READ MOREChama cha Mapinduzi kimesikitishwa na upotoshwaji mkubwa uliyofanywa na gazeti la Uhuru toleo Namba 24084 la leo Jumatano 11 Agosti,...
READ MOREJESHI la Polisi mkoa wa Tanga linawashikilia watu 11 kwa tuhuma za kumshambulia na kumuua mtu mmoja aliyetuhumiwa kuiba pikipiki...
READ MOREWANAWAKE wanaonyonyesha wilayani Handeni mkoani Tanga, wamemuomba Mkuu wa wilaya hiyo, Siriel Mchembe kuwasaidia kupaza sauti na kukemea wanaume wao...
READ MOREKampuni ya Unilever Tanzania imekabidhi hundi yenye thamani Tsh milioni 20 kwa waandaaji wa mbio za Rock City...
READ MOREMAMLAKA ya Bandari Tanzania ( TPA) imeandika historia baada ya meli kubwa ya kubeba magari kutia nanga katika Bandari ya...
READ MOREDkt. Ngiana Mtui (28), shahidi wa 10 wa Jamhuri katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa mkuu wa...
READ MOREMAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud amepasua jibu la uchaguzi wa marudio wa Konde na sababu zilizomfanya...
READ MORERais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa leo Jumatano, Agosti 11, 2021, anatarajiwa kufika mbele ya jopo la uchunguzi kwa madai...
READ MORERASMI aliyekuwa nahodha wa timu ya Barcelona Lionel Messi sasa ni mali ya PSG ya Ufaransa 🇫🇷. Nyota huyo ambaye...
READ MOREKampuni ya simu TECNO hivi karibuni imezindua TECNO Spark 7 moja ya toleo la TECNO lenye kuaminiwa zaidi na vijana...
READ MOREThis International Youth Day, Africa needs to think about how it can embrace its large youth population for the...
READ MOREDar es Salaam, Agost 11, 2021. Kampuni inayoongoza kwa maisha ya kidijitali, Tigo Tanzania, imeshirikiana na kampuni ya Sanlam,...
READ MOREBunda, Mara. Siku ya Tarehe 8/8/2021 Kundi la wadau wa maendeleo mkoa wa Mara wanaoishi na kufanya kazi...
READ MOREKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Daniel Chongolo ameagiza ndani ya siku 14 vingozi wote wa Chama hicho na kamati...
READ MOREJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaama linamtaka dereva wa gari aina ya Scania ambaye hajajulikana jina lake...
READ MOREJARIBIO la Mabingwa wa Klabu Bingwa Barani Afrika, Al Ahly ya Misri 🇪🇬 kupata saini ya Luis Miquissone wa Simba...
READ MOREMkuu wa Wilaya ya Mbeya ,Dkt. Rashid Chuachua amepiga marufuku magari ya matangazo ya misiba jijini humo, baada ya kuchukua...
READ MORESHAMSA Yusuph (9) ambaye kwa umri wake anapaswa kuwa shule, amejikuta akikosa fursa hiyo baada ya kulazimika kubeba jukumu la...
READ MORELEO AGOSTI 10, 2021 ni siku muhimu kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Group LTD na Mbunge wa Buchosa, ...
READ MOREHABARI mpya ni kwamba, aliyekuwa Kocha wa Simba, Sven Vandenbroeck, ameushinikiza uongozi wa timu yake ya FAR Rabat ya nchini...
READ MOREASKARI wa jeshi Polisi, Eliud Msangi anayedaiwa kuhusika na mauaji ya mtoto Justine James (14), ameibuka na kudai mtoto huyo...
READ MORERais Samia Suluhu Hassan amesema alitaka kukutana na viongozi wa vyama vya siasa, lakini si wakiwa wamechambuka chambuka, kwa sababu...
READ MOREWakati Rais Samia Suluhu Hassan akisema, uchunguzi wa tuhuma zinazomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ulianza Septemba mwaka jana, lakini...
READ MOREJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu sita kwa tuhuma za kuwashambulia na kuwarekodi video za...
READ MORE