×

Habari

Wanaliowafumania Wapenzi na Kusambaza Picha za Utupu Wanaswa

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia watu sita kwa tuhuma za kuwashambulia na kuwarekodi video za...

READ MORE

Video: Samia: Kesi Ya Mbowe Si Ya Kisiasa, Demokrasia Si Fujo | Front Page

 KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa...

READ MORE

Shahidi Aeleza Alivyotishiwa Bastola na Sabaya

SHAHIDI wa nane wa Jamuhuri katika kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai...

READ MORE

Wanafunzi Wawili Wafariki kwa Kugongwa na Gari Dar

WATU wawili ambao ni wanafunzi wamefariki dunia baada ya kugongwa na gari aina ya Scania wakiwa stendi maeneo ya Afrikana...

READ MORE

Simanzi! Safari ya Mwisho ya Waziri Kwandikwa

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali  itatekeleza mipango yote iliyoachwa na aliyekuwa Waziri wa...

READ MORE

Ajinyonga Baada ya Kuachwa na Mkewe

Mwanaume aliyejulikana kwa jina la Philemon Tandu (50) Mkazi wa Kijiji cha Ng’wandakw kata ya Haydom wilaya ya Mbulu Mkoani...

READ MORE

Ngoma Nzito! Mbowe Awashtaki DPP, IGP na AG

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imekubali ombi la Mawakili wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe kuhudhuria...

READ MORE

Rais Samia Ahojiwa Kuhusu Mashtaka ya Mbowe

RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman...

READ MORE

Marekani Yakabidhi Masanduku ya Kuhifadhia Baridi ya Susafirisha Sampuli

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Serikali ya Marekani yakabidhi masanduku ya kuhifadhi baridi ya kusafirisha sampuli na Baiskeli kwa ajili...

READ MORE

Hukumu Kesi ya Mataka na Wenzake Agosti 20

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam imeahirisha kutoa hukumu ya kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la...

READ MORE

Global Yakabidhi Meza kwa Wakala

KAMPUNI ya Global Publishers ambao ni wachapishaji wa magazeti ya Championi, Spoti Xtra, Ijumaa, Ijumaa Wikienda, Risasi, Uwazi na Amani...

READ MORE

Teleza Anayewaingilia Wanawake Azua Taharuki Arusha

MTU mmoja ambae amepewa jina la ‘Teleza’ kutokana na jina lake halisi kutofahamika hadi sasa, amezua hofu katika mtaa wa...

READ MORE

Mabinti Wanapimwa Bikra Ndipo Wanajiunga Jeshini

JESHI la Indonesia limedokeza kuwa litakomesha vipimo vya lazima vya “ubikira” kwa makurutu wa kike, katika hatua ambayo imepokelewa vyema...

READ MORE

Tanzia: Mmiliki wa Mabasi ya Sumry Afariki Dunia

Mfanyabiashara mkubwa aliyekuwa mmoja wa wamiliki wa mabasi ya Sumry, Humud Sumry, amefariki dunia alfajiri ya leo Jumatatu Agosti 09,...

READ MORE

Binti Aliyetekwa na Chibok Mwaka 2014 Arejea na Watoto

MMOJA wa wasichana wa shule nchini Nigeria waliokamatwa na wanamgambo wa Kiislamu Boko Haram kutoka mji wa Chibok mnamo mwaka...

READ MORE

Wanajeshi 12 Wauawa

Wanajeshi 12 wa Burkina Faso wameuawa baada ya kushambuliwa Kaskazini Magharibi mwa nchi hiyo hapo jana, huku wengine saba wakitoweka....

READ MORE

Waasi Wakinukisha Zambia Kabla ya Uchaguzi

Zambia iko katika hali ya sintofahamu siku nne kabla ya uchaguzi mkuu Alhamisi, Agosti 12, 2021. Takribani watu watatu wameuawa...

READ MORE

Zijue Sifa Mpya ya TECNO Spark 7

 TECNO Spark 7 kutokaKampuniyasimu TECNO ni kati ya simu bora iliyozingatia zaidi mahitaji ya mtumiaji. TECNO Spark 7 pamoja yakuwa...

READ MORE

Wafanyabiashara Geita Waanza Kustawi Kupitia GGML

IMEELEZWA kuwa marekebisho ya Sheria ya Madini ya mwaka 2010 yaliyofanywa na Bunge mwaka 2018 na 2019, yameanza kuwanufaisha wafanyabiashara...

READ MORE

Mtoto Aliyezaliwa na Miezi 5 Arejea Nyumbani

MTOTO anayedhaniwa kuwa mdogo zaidi ulimwenguni wakati wa kuzaliwa ameruhusiwa kutoka hospitali ya Singapore baada ya matibabu ya miezi 13....

READ MORE

Vodacom Tanzania Yasambaza Mtandao 4G Kwenye Vituo Zaidi ya 1800

    Kampuni ya Mtandao wa Vodacom Tanzania mpaka Sasa umeshapeleka mtandao wa 4G kwenye vituo zaidi ya 1800 na...

READ MORE

Binti Aliyefia Kanisani Wakati Akijifungua, Aibua Ghadhabu Kali

Polisi nchini Zimbabwe wanachunguza kifo cha msichana mwenye umri wa miaka 14-kilichotokea wakati anajifungua, kesi hiyo imeibua hisia mbalimbali miongoni...

READ MORE

Sakata la Chanjo! CCM Yamuonya Polepole

KATIBU Mkuu wa Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM), Kenani Laban Kihongosi amesema wanasikitishwa na matendo yanayofanywa na...

READ MORE

Askofu Gwajima Akanusha Kulishwa Sumu

ASKOFU wa kanisa la Ufufuo na Uzima  Josephat Gwajima, amekanusha madai kuwa amelishwa sumu kutokana na msimamo wake kuhusu chanjo....

READ MORE

Mwili wa Waziri Kwandikwa Wawasili Nyumbani Kwao

MWILI wa aliyekuwa mbunge wa Ushetu Wilayani Kahama mkoa wa Shinyanga Elias Kwandikwa ,tayari umewasili nyumbani kwake kijijini Butibu_Kinamapula katika...

READ MORE

Zitto: Chanjo Dhidi Ya Corona Ni Salama

Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo Zitto Kabwe licha ya kuipongeza Serikali kwa hatua ya kuruhusu chanjo ya corona kuingizwa nchini,...

READ MORE

Wananchi Wachoma Gari ya Halmashauri na Pikipiki

Wananchi wa kijiji cha Melela mkoani Morogoro wavamia Maafisa Ardhi na viongozi wa vitongoji na vijiji na kuchoma moto gari...

READ MORE

Rais Samia Awasili Jijini Dodoma Akitokea Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Agosti 8, 2021 amewasili jijini Dodoma akitokea Jijini Dar...

READ MORE

Waliochanjwa Hadi Kufikia Agosti Wawekwa Wazi -Video

WATU 105,745 kati ya walengwa 164,500 waliojiandikishwa kwa hiari kupata chanjo wamechanjwa hadi kufikia Agosti 7, 2021 kwa mujibu wa...

READ MORE

Maiti Yagoma Kuingia Kwenye Jeneza Hadi Ivalishwe Viatu Vipya

Waombolezaji waliofika katika boma moja eneo la Kilingili, Vihiga nchini Kenya wameachwa midomo wazi baada ya mwili wa marehemu kukataa...

READ MORE

Wafanyakazi, Wanafunzi Wa DIT Watembelea Jimboni Kwa Ridhiwan Kikwete

  Mbunge wa Jimbo la Chalinze Mhe. Ridhiwani Kikwete amekutana na ujumbe wa Wanafunzi, Walimu na Wafanyakazi wa Chuo cha...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya Hanang Apokea Madawati ya Sekondari ya Katesh

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Janeth Mayanja leo amepokea meza 50 na viti 50 kwa ajili ya sekondari ya Katesh,...

READ MORE

Wallace Karia minne Tena

WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), wamemthibitisha Wallace Karia kuwa Rais wa TFF kwa kipindi kingine...

READ MORE

Tanzia: Juma Baragaza Afariki Dunia

TANZIA: Mtangazaji maarufu wa Radio Free Afrika na Star TV, Juma Ahmed Baragaza amefariki dunia leo Agosti 7, 2021. Atakumbukwa...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Agosti 07, 2021 ameongoza Kikao cha Baraza la Mawaziri kilichokutana ...

READ MORE

Mwambusi: Yanga SC Wabadilishe Kikosi Leo

ALIYEKUWA Kocha mkuu wa Yanga SC, Juma Mwambusi ameweka wazi kuwa katika mchezo wa leo timu ya Yanga inabidi iamke...

READ MORE

Breaking: Karia Aidhinishwa Kuiongoza Tena TFF Miaka Minne

Wallace Karia leo Agosti 7, 2021 amepitishwa na wajumbe wote 81 kuwa Rais mteule wa Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF)....

READ MORE

Ukiwa Kundi Hili Usichanje Mpaka Ushauri wa Daktari

JOPO la wataalamu wa afya wa mashirika ya Kimarekani nchini, limetaja makundi matatu ya watu ambao hawastahili kuchanjwa chanjo ya...

READ MORE

Majambazi Wanne Wauawa Lindi

  JESHI la Polisi mkoani Lindi, limefanikiwa kuwaua watu wanne kati ya sita wanaosadikika kuwa ni majambazi, kufuatia majibizano ya...

READ MORE

Ridhiwani Afanya Ziara Tarafa ya Miono, Asikiliza Kero za Wananchi

Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mhe. Ridhiwan Kikwete jana Agosti 6, 2021 ameendelea na ziara yake katika Tarafa ya Miono kwa...

READ MORE