×

Habari

Prof. Mkenda Akutana na Vigogo Wa Uwekezaji Arusha

  Serikali kupitia Wizara ya Kilimo imepitisha mbinu ya kukuza uwekezaji unaolengwa kuelekea mnyororo wa maalum wa thamani hususani katika...

READ MORE

Vivuko Viwili Vyasimamishwa

SERIKALI  imesitisha utoaji huduma za usafiri kwa vivuko viwili vya MV Athor na MV Orion vinavyofanya kazi kutoka Mwanza mjini...

READ MORE

Amuua Mumewe, Amkata Nyeti, Azikaanga

Kuna visa ukivisikia, lazima ujiulize mambo mengi sana. Dayane Machado (33); mdada wa nchini Brazil anaripotiwa kumuua mumewe kisha kumkata...

READ MORE

Mwalimu Achomwa Msumari Kichwani na Mwanafunzi

MAKACHERO wa kaunti ya Kericho nchini Kenya wanamsaka mwanafunzi wa kidato cha tatu aliyemshambulia mwalimu mkuu wake kwa kumchoma msumari...

READ MORE

Video: Afisa Wa Serikali Aiba Milioni 36 Na Kuacha Kazi Ghafla

 Inaelezwa kuwa kwenye halimashauri ya meru kuna upotevu wa pesa ya serikali zaidi ya million 48 ambapo mtumishi mmoja...

READ MORE

DCI Mpya Wambura Atoa Onyo Kali Kwa Wahalifu

  Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai nchini (DCI) Camilius Wambura amesema Jeshi la Polisi halitamvumilia mtu yeyote atakayeendelea ...

READ MORE

Chalamila Akabidhi Ofisi Kwa RC Mpya Mwanza -Picha

Aliyekuwa Mkoa wa Mwanza, Albert Chalamila leo Juni 11, 2021 amemkabidhi rasmi majukumu ya ofisi hiyo kwa Mkuu mpya wa...

READ MORE

Mahakama Yaridhia Herbinder Seth Kuletwa Kisutu Jumatatu

  Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeridhia ombi la upande wa Jamhuri la kumpeleka Mkurugenzi wa Kampuni ya Kufua Umeme...

READ MORE

Nikiharibu Aulizwe Makinda- Ndugai

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Job Ndugai amesema kuwa endapo ikitokea ameharibu katika kazi zake basi...

READ MORE

Mama Maria Nyerere Amtembelea Mama Janeth Magufuli

MJANE wa Baba wa Taifa, Mama Maria Nyerere amemtembelea Mjane wa aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, awamu ya...

READ MORE

Mwanajeshi Ajiua Juu Ya Kaburi La Mkewe

ASKARI  wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Reginald Ruta amekutwa amekufa huku mwili wake ukiwa juu ya kaburi la...

READ MORE

Video: Kamanda Mpya DSM, Jumanne Murilo Azungumza

 KAMANDA mpya wa kanda maalum Dar, Jumanne Murilo, leo Juni 11, amezungumza na waandishi wa habari ikiwa ndio mara...

READ MORE

Mechi Za EUR0 2020 Kutimua Vumbi Rasmi Wikiendi Hii

Baada ya kuahirishwa kwa mwaka mmoja kutokana na Covid-19, sasa ni rasmi michuano hiyo kuanza wikiendi hii. Nchi Zaidi ya...

READ MORE

SportPesa Wazindua Promosheni ya Mshiko Deilee

 KAMPUNI ya ya michezo na burudani SportPesa wamezindua kampeni maalum kwa ajili ya mechi za mwezi huu. Promosheni hiyo ilizinduliwa...

READ MORE

Ndugai Atamani Mkutano wa Wanaume na Rais Samia

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amesema kuwa atamuomba Rais Samia Suluhu Hassan, aitishe pia...

READ MORE

Bajeti 2021/2022: Bodaboda, Bajaji Faini 10,000 Kutoka Sh30,000

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba leo Juni 10, 2021 akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya serikali...

READ MORE

Serikali Kusamehe Kodi Kwenye Simu Janja -Video

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya serikali ya Tanzania kwa mwaka...

READ MORE

Waliochaguliwa JKT Watakiwa Kuripoti Makambini

  Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Brigedia Jenerali  Rajabu Mabele amewataka  vijana wote waliochaguliwa kujiunga na mafunzo ya...

READ MORE

Rais Samia Akutana Na Rais Botswana Ikulu Dar (Picha +Video)

Rais Samia Suluhu Hassan leo tarehe 10 Juni, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Botswana Dkt....

READ MORE

Madiwani wa Buchosa Watembelea Bungeni, Shigongo Awapokea

Madiwani mbalimbali wa kata zilizopo Jimbo la Buchosa, Sengerema mkoani Mwanza, leo Alhamisi Juni 10, 2021 wametembelea Bunge la Jamhuri...

READ MORE

Wahamiaji Haramu 53 Kurejeshwa Makwao

IDARA ya uhamiaji Mkoa wa katavi inawashikilia jumla ya wahamiaji haramu 58 kutoka nchi ya Afrika Kusini, Burundi na Zambia...

READ MORE

Rais Wa Botswana Awasili Nchini Kwa Ziara Ya Siku Mbili (Picha +Video)

  Rais wa Botswana, Dk. Mokgweetsi Masisi amewasili nchini leo Juni 10, 2021 kwa ziara ya kikazi ya siku mbili...

READ MORE

Ndugu Wawili Wakaa Baharini Siku 21, Waokotwa

RAIA wawili wa Comoro wameokotwa katika bahari ya Hindi ukanda wa Msuka Wilayani Micheweni mkoa wa Kaskazini Pemba wakiwa na...

READ MORE

Nafasi za Masomo Kidato cha Tano St. Marcus HGL, HGK na HKL

Uongozi wa Shule za Shule za St. Marcus zilizopo Iwambi jijini Mbeya unawatangazia nafasi za masomo kwa kidato cha cha...

READ MORE

Sarafu ya Dhahabu Yauzwa Kwa Dola Milioni 20

Sarafu ya dhahabu iliyoundwa nchini Marekani mwaka wa 1993 imeuzwa mnadani kwa takriban dola milioni 20 ,kiasi kikubwa sana kilichowahi...

READ MORE

Straika Kaizer Chiefs Afunguka Kutua Yanga

MSHAMBULIAJI wa Kaizer Chiefs, Mzambia, Lazarus Kambole, amefunguka kuwa hajui chochote juu ya kutakiwa na Yanga lakini amesisitiza kwa upande...

READ MORE

Mama Ajifungua Watoto 10 Avunja Rekodi Duniani -Video

Mwanamke aitwaye Gosiame Thamara raia wa Afrika Kusini amejifungua watoto 10 kwa mpigo na kuvunja rekodi ya dunia ambayo ilikuwa...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Amteua Jaffar Haniu Achukua Nafasi ya Msigwa Ikulu -Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua Jaffar Mohamed Haniu kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais (Ikulu), akichukua nafasi ya Gerson Msigwa...

READ MORE

Ndalichako : Elimu ya Watu Wazima Ipewe Kipaumbele

WAZIRI wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako, ametoa wito kwa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Viongozi Kuaga Mwili wa Mzindakaya

Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 9, 2021 ameongoza viongozi kuaga mwili wa Mwanasiasa mkongwe marehemu Chrisant Majiyatanga Mzindakaya katika...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Akutana na Viongozi Wa Dini Zanzibar

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk.Hussein Ali Mwinyi  leo Juni 9, 2021 amezungumza na Viongozi wa...

READ MORE

Rais wa Botswana Kufanya Ziara Nchini-Video

  WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula, amesema kuwa Rais wa Botswana Mokgweetsi...

READ MORE

Waziri Mhagama Ashiriki Mkutano wa 109 Wa Nchi Wanachama ILO

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Jenista...

READ MORE

Somo la Elimu kwa Michezo Kufundishwa kwa Wanafunzi Wote Nchini

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa ameelekeza somo la Elimu kwa Michezo lifundishwe kwa wanafunzi...

READ MORE

Rais Samia Amteua Mtendaji Mkuu wa NMB Kuchakata Haki za Wanawake Kiuchumi

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth...

READ MORE

Rais Samia Ateua Mwenyekiti wa Bodi ya CBE

Rais Samia leo Juni 8, 2021 amemteua Prof. Eleuther Alphonce Mwageni kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Elimu ya...

READ MORE

RC Makalla Atoa Masaa Mwanaume Aliyemtapeli Mpenzi Wake -Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Amos Makalla umempa masaa mwanamme mmoja anayedaiwa kumdhurumu mpenzi wake kiwanja na...

READ MORE

Majaliwa: Somo La Michezo Lifundishwe Kwa Wanafunzi Wote

Waziri Mkuu ameagiza ufundishaji  wa somo la Elimu kwa Michezo ufanyike kwa wanafunzi wote katika Shule za Msingi na kuhamasisha...

READ MORE

Mzindakaya Kuzikwa Sumbawanga Alhamisi

Mwili wa mwanasiasa mkongwe, Dk. Chrisant Mzindakaya aliyefariki jana katika Hospitali ya Muhimbili alikokuwa akitibiwa, unatarajiwa kuzikwa Alhamisi Juni 10,...

READ MORE

Rais Samia Ahimiza Wanawake Kufikia Hamsini Kwa Hamsini -Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewahimiza wanawake wote nchini kuhakikisha wanamuunga mkono kwa kufanya kazi...

READ MORE