×

Habari

Serikali Yakiri Kukosa Fedha Ujenzi Barabara ya Morogoro – Tanga

Serikali ya Tanzania imekiri kukosa bajeti ya ujenzi wa kiwango cha lami barabara ya Kilindi-Iyogwe hadi Gairo yenye urefu wa...

READ MORE

Bango la Wananchi Kuondoka na Mkurugenzi, DC – Video

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema viongozi wa kitaifa wakikutana na mabango katika ziara zao, atawaondoa kazini mkurugenzi wa...

READ MORE

Rais Samia: Vyombo vya Habari Mlivyovifungia, Vifungulieni – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameitaka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kuvifungulia...

READ MORE

Rais Samia Kuunda Tume ya Covid-19 – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu amesema anatarajia kuunda kamati ya wataalamu ambayo itamshauri kuhusu...

READ MORE

Siku 21 Maombolezo Kifo cha Magufuli Kumalizika Leo

LEO Jumanne Aprili 6, 2021 ndio siku ya mwisho ya maombolezo ya siku 21 za kifo cha rais wa awamu...

READ MORE

Live: Rais Samia Akiwaapisha Makatibu Wakuu, Manaibu na Wakurugenzi

  RAIS Samia Suluhu Hassan, leo Aprili 06, anawaapisha Makatibu Wakuu, Manaibu wao pamoja na wakurugenzi aliowateua hivi karibuni juzi...

READ MORE

Putin Asaini Sheria Kubaki Madarakani Hadi 2036

Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amesaini #Sheria inayomruhusu kugombea kwa mihula mingine miwili baada ya muhula wake unaomalizika mwaka 2024....

READ MORE

Watu 20 Wafariki kwa Corona Kenya, Vifo Vyafikia 2,244

Watu 20 zaidi wamefariki ndani ya saa 24 kutokana na kupata Virusi vya Corona na kufanya idadi ya watu waliofariki...

READ MORE

Putin Ndie Mwanaume Mwenye Mvuto Urusi

Rais wa Urusi, Vladimir Putin amepigiwa kura kwa mara nyingine tena mwaka huu kuwa ndie Mwanaume mwenye mvuto zaidi nchini...

READ MORE

Harusi Yafanyika Bila Chakula

  Imezoeleka kwenye kila sherehe nyingi lazima kuwe na vinogesho kama chakula, vinywaji, muziki na ‘surprise’ zingine lakini hiyo imekuwa...

READ MORE

DC Muro Anasa Mtandao wa Wizi wa Mifugo

MTANDAO wa wizi wa mifugo umenaswa wilayani Arumeru baada ya vijana wawili ambao wanatajwa kuongoza mtandao huo kutiwa mbaroni.  ...

READ MORE

Mwanamke Amshambulia Polisi na Kumng’oa Sikio

  Afisa mmoja wa Polisi huko nchini Kenya ameshambuliwa na mwanamke kutoka eneo la Lang’ata Jijini Nariobi, kwa kung’atwa hadi...

READ MORE

Baraza la Ulamaa Lateua Masheikh 19 wa Mikoa

Baraza Kuu la Ulamaa la Baraza la Waislam Tanzania (Bakwata) chini ya mwenyekiti wake, Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Zubeir...

READ MORE

Dkt. Mpango Awafariji Watoto, Wazee, Wenye Mahitaji Maalum

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango amelishukuru Shirika la Teresia wa Mtoto...

READ MORE

Nabii Joshua: Mungu Ameweka Kusudi Jema kwa Rais Samia

WATANZANIA wametakiwa kumuunga mkono, kumtia moyo na kumuombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kuwa...

READ MORE

Rais Magufuli Alivyoagiza Mkurugenzi TPDC Arejeshwe Kazini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli (wakati huo) aliagiza Dkt. James Mataragio arejeshwe katika nafasi yake...

READ MORE

Kamanda Mambosasa Awaita Wanaume Wanaonyanyaswa Kijinsia

KAMANDA wa Polisi wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amewataka wanaume wanaofanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia...

READ MORE

Bernard Tapie: Mmiliki wa Adidas Avamiwa

Mfanyabiashara nguli aliyekuwa na kashfa na mmiliki wa zamani wa Adidas Bernard Tapie na mkewe washambuliwa baada ya kuvamiwa katika...

READ MORE

Kenya Yaijibu Uingereza

SERIKALI ya Kenya imejibu marufuku ya Uingereza kwa kuwawekea raia wa nchi hiyo watakaowasili sharti la kuwa karantini kwa siku...

READ MORE

Tanzia: Paroko Mbiku UDSM Afariki Dunia

Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo.   Kwa masikitiko makubwa napenda kuwataarifu juu ya kifo cha...

READ MORE

Maporomoko ya Matope Yaua Watu 50

Flores Mashariki mwa Indonesia ni miiongoni mwa maeneo yaliyoathiriwa zaidi na mafuriko hayo Watu wapatao 50 wamefariki kufuatia mafuriko na...

READ MORE

Samia Atengua Uteuzi Mkurugenzi TPDC Kabla ya Kumwapisha

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametengua uteuzi wa Thobias Mwesiga Richard kuwa Mkurugenzi mpya wa Shirika la Maendeleo...

READ MORE

Muhimbili Wamjibu Kigwangalla ‘Hatuondoi Nyungu’

Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema haitaondoa huduma ya kujifukiza Hospitalini hapo kama ilivyoshauriwa na Mbunge wa Nzega Vijijini, Hamisi...

READ MORE

Dotto James Ang’olewa Wizara ya Fedha, Msigwa Ahamishwa Ikulu

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Jumapili Aprili 4, 2021 amefanya uteuzi wa makatibu wakuu wa wizara, naibu makatibu wakuu...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Aprili 5, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Aprili 4, 2021. Usipitwe na Matukio, Install App...

READ MORE

Kigwangalla Ataka ‘Nyungu’ ya Muhimbili Ivunjwe

  Mbunge wa Nzega Mjini, Dkt. Hamis Kigwangalla ameshauri mashine ya kujifukizia iliyowekwa Hospitali ya Muhimbili ivunjwe na watu wafauate...

READ MORE

Mameneja Wa Tanesco Wanaokatakata Umeme Kubebeshwa Virago

WAZIRI wa Nishati, Dk. Medard Kalemani, amesema mameneja wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) ambao hawatawaunganishia umeme kwa wateja waliolipia...

READ MORE

TCRA: Vifurushi Vinaweza Kutumia Siku Nne Kurejea

MENEJA wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA, James Kilaba amesema vifurushi vilivyokuwa vinatumika awali vinaweza kutumia hadi siku nne kurejea....

READ MORE

Makamu Wa Rais Mpango Ahudhuria Ibada Ya Pasaka

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, amezungumza na Waumini wa Dini ya Kikristo...

READ MORE

Wasanii Mjipange Kwa Mama Samia

WASANII wengi wa kike kwenye kurasa zenu mmefurahi taifa kupata rais mwanamke.Mmechekelea sana kumpata, Mama Samia Suluhu Hassan kuongoza usukani...

READ MORE

Rais Samia Awatakia Pasaka Njema Watanzania Wote

Leo Aprili 4 Wakristo ulimweguni kote wanaadhimisha kufufuka kwa Yesu Kristo (sikukuu ya Pasaka ,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Rais Samia Atua Dar Akitokea Dodoma – (Picha +Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Aprili 3, 2021 amepokelewa na Mkuu wa mkoa wa...

READ MORE

Mwigulu: Mlioficha Pesa Nyumbani Ziwekeni Benki, Zitaliwa na Panya

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba amewataka wafanyabiashara wanaoficha fedha majumbani kuacha kufanya hivyo na badala yake wahifadhi...

READ MORE

Kocha Simba Awazidi Ujanja AS Vita

ACHANA na ile ya kila pasi tano bao, sasa hivi Kocha Mkuu wa Simba, Mfaransa Didier Gomes amekuja na kila...

READ MORE

Wanafunzi Wanne UDOM Wafariki Ajalini

Wanafunzi wanne wa Chuo Kikuu Dodoma (Udom) wamefariki dunia katika ajali ya basi la kampuni ya Machame iliyotokea Machi 30,...

READ MORE

AS Vita Walikataa Gari la Simba Uwanja wa Ndege

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, viongozi wa Klabu ya AS Vita juzi Alhamisi walikataa basi ambalo waliandaliwa na wenyeji wao...

READ MORE

Ofisa Chanjo Hanang’ Anusurika Kwenda Jela kwa Kughushi

MRATIBU chanjo wa Halmashauri ya Wilaya ya Hanang’ Mkoani Manyara, Mkojera Philemon Mkojera amenusurika kwenda jela miezi 12 baada ya...

READ MORE

Serikali Yasitisha Bei Mpya za Vifurushi vya Intaneti

SERIKALI YASITISHA BEI MPYA ZA MATUMIZI YA VIFURUSHI VYA INTANETI zilizoanza kutumika leo Aprili 2, 2021 na mitandao yote ya...

READ MORE

Gwajima Amshukuru Rais Samia Kuimulika Sekta ya Maendeleo ya Jamii

WAZIRI wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...

READ MORE

Hayati JPM na Maajabu ya Namba 5

TAIFA la Tanzania bado lipo kwenye maombelezo ya siku 21 kufuatia kifo cha aliyekuwa Rais, Hayati John Pombe Joseph Magufuli....

READ MORE