×

Habari

Video: Mufti Zuberi Atoa Maagizo Kwa Masheikh

MUFTI wa Tanzania, Sheikh Abubakari Zuberi leo Aprili 28, 2021 amewataka Masheikh wote nchini pamoja na wananchi kufanya ibada ya...

READ MORE

Serikali Yaandaa Muswada wa Uvunaji, Upandikizaji Figo za Binadamu

SERIKALI imesema kuwa hadi Aprili 2021 hospitali ya Benjamin Mkapa na Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) zimeshapandikiza figo kwa watu...

READ MORE

Polisi Mbeya Wataja Chanzo Vifo Vya Watu Wawili Ruaha -Video

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Urlich Matei amesema uchunguzi wa kidaktari wa miili ya watu wawili pamoja na kichwa...

READ MORE

Atupwa Jela kwa Kuwapiga Picha Polisi Wakikata Roho

Mwanaume mmoja nchini Australia amehukumiwa kifungo cha miezi 10 gerezani kwa kosa la kuwadhihaki na kuwapiga picha maafisa wa polisi...

READ MORE

Rais Asitisha Mpango Wake Kuongeza Muda Madarakani

Rais wa Somalia, Mohamed Abdullahi Farmajo, ameachana na mpango wake wa kuongeza muda wa kukaa madarakani kwa miaka miwili zaidi...

READ MORE

PSG Nyumbani Kuwavaa City Leo

MICHUANO ya Ligi ya Mabingwa Ulaya inaendelea tena leo ambapo matajiri Manchester City wanatarajiwa kuvaana na PSG. Huu ni mchezo...

READ MORE

Shigongo: Mh. Spika Umewaletea Wagogo Heshima

MBUNGE wa jimbo la Buchosa mkoani Mwanza, Eric Shigongo, amempongeza kwa nafasi aliyonayo Spika wa Bunge Job Ndugai, kwa kuleta...

READ MORE

Video: Mdee, Wenzake Kibao Chageuka, Mbatia Na Katiba | Front Page

KARIBU Utazame ‘255 FRONT PAGE’ Kipindi bora cha Asubuhi kutoka Global Radio, ujipatie uchambuzi wa masuala mbalimbali ya kisiasa pamoja...

READ MORE

Wawili Wafikishwa Kortini kwa Tuhuma za Mauaji

Watu wawili wakazi wa Msakuzi Wilaya ya Ubungo jijini Dar es Salaam wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kinondoni wakikabiliwa...

READ MORE

Hali ya Mzee King Kikii Bado ni Tete “Nisaidieni” – Video

GLOBAL TV imemtembelea msanii Mkongwe wa muziki wa dansi nchini aliyetamba zaidi na kibao chake cha ‘KITAMBAA CHEUPE’, Mzee King...

READ MORE

Hayati Magufuli Atimiza 40, Afanyiwa Ibada – Video

Misa maalum ya kumuombea Hayati Dk. John Pombe Magufuli, imefanyika leo katika Kanisa la Mtakatifu Petro, Oysterbay jijini Dar es...

READ MORE

Miili ya Watu Wawili na Kichwa Kimoja Vyakutwa Hifadhi ya Ruaha

Miili ya watu wawili na kichwa cha mtu mmoja vimekutwa kwenye eneo la Hifadhi ya Taifa ya Ruaha Wilayani Mbarali...

READ MORE

Tume ya Madini Yafanya Makubwa

Tume ya Madini imefikia lengo kukusanya maduhuli kwa zaidi ya asilimia 100. Katika 2018/19 ilikusanya maduhuli ya sh bilioni 346.78...

READ MORE

Baadhi ya Hoteli za Ngurdoto Kupigwa Mnada Kulipa Madeni

MAHAKAMA kuu kanda ya Arusha masjala ndogo ya kazi imeamuru baadhi ya mali za Hotel ya Kitalii ya Ngurdoto Mountain...

READ MORE

Waziri Jafo Serikali Kudhibiti wa Athari za Zebaki Kwa Afya ya Binadamu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Selemani Jafo  amesema Serikali kwa kushirikiana na mamlaka husika...

READ MORE

Gekul Atawaka Wasanii Kutotumia Mitandao kwa Mambo Binafsi

NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni,Sanaa na Michezo, Mhe. Pauline Gekul amewataka Wasanii nchini kuitumia vizuri mitandao ya kijamii kwa kutangaza...

READ MORE

Waziri Kalemani Avunja Bodi ya Manunuzi TANESCO

Serikali imeagiza kuvunjwa kwa bodi ya manunuzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), kutokana na kutoridhishwa na utendaji kazi wake....

READ MORE

Waziri Aweso Atoa Maagizo Mazito Sengerema

WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amewataka mameneja wa Mamlaka za Maji nchini kuwaeleza Mameneja Masoko wenu wasiwape wasoma mita malengo...

READ MORE

Rais Samia Asamahe Wafungwa 5,001

Katika kuadhimisha miaka 57 ya Muungano wa Tanzania, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa msamaha kwa wafungwa 5,001 waliokuwa...

READ MORE

Waziri Ummy: Wazembe Watupishe

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) , Ummy Mwalimu, amesema atazifumua Sekretariet...

READ MORE

Rais Samia Atoa Msamaha kwa Wafungwa 5001

KATIKA kuadhimisha miaka 57 ya Muungano Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ametoa msamaha kwa wafungwa...

READ MORE

Rais Samia Aagiza Pesa za Muungano Zigawanywe Bara na Zanzibar

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameelekeza fedha zilizotakiwa kutumika katika shughuli za Maadhimisho ya miaka 57 ya Muungano zigawanywe...

READ MORE

Akamatwa kwa Kuambukiza Watu Corona

POLISI wamemkamata mwanaume wa miaka 40 aliyeambukiza watu 22 virusi vya corona (Covid-19) kwenye kisiwa cha utalii cha Majorca. Ilibainika...

READ MORE

Marekani Yataka Kuulipua Mwezi

Umbo la mwezi hubadilika na hata rangi yake, lakini tangu jadi binadamu amekuwa akivutiwa na maumbile yake. Kuna Mwezi Mpevu,...

READ MORE

Wagonjwa wa Covid 19 Wafurika Hospitali, Watibiwa Nyumbani

Hospitali nyingi katika jiji la Delhi pamoja na majiji mengine mengi zimezidiwa na wagonjwa wa mlipuko wa corona, hali inayowalazimu...

READ MORE

Kifo cha Rais, Jeshi Lagoma Kufanya Mazungumzo na Waasi

Baraza la utawala wa kijeshi nchini Chad limekataa ombi la mazungumzo ya kusitisha vita na waasi ambao imekuwa ikipigana nao...

READ MORE

Nyambizi ya Indonesia Iliyopotea Yapatikana Vipande

Nyambizi ya jeshi la wanamaji nchini Indonesia iliyotoweka katika pwani ya mji wa Bali siku ya Jumatano imepatikana ikiwa imekatika...

READ MORE

Baba Matatani kwa Kuwachoma kwa Makalio Watoto Wake

  Mkazi wa Kata ya Marangu Mashariki wilayani Moshi, Baltazari Mtui anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kuwaunguza makalio kwa...

READ MORE

NMB Yazindua Kampeni ya ‘NMB Mastaboda- Miliki Chombo’

BENKI ya NMB imezindua Kampeni ya NMB MastaBoda ‘Miliki Chombo,’ inayotoa mikopo ya pikipiki za miguu miwili na mitatu kwa...

READ MORE

Fahamu Historia ya Sanamu ya Askari, Dar

Sanamu ya Askari au Askari Monument ni sanamu iliyopo kwenye kitovu cha jiji la Dar es salaam kwenye mahali ambapo...

READ MORE

Wasauz Waingilia Dili la Yanga Kwa Tshabalala

HERRY Mzozo ambaye ni meneja wa beki wa kushoto wa Simba, Mohammed Hussein ‘Tshabalala’, amesema kuwa mchezaji huyo anawindwa vikali...

READ MORE

Simba Waibuka, Wafungukia Sakata la Kufungiwa Fifa

UONGOZI wa Simba umeibuka na kufungukia sakata la wao kufungiwa kufanya usajili kwa kipindi cha msimu mmoja na Shirikisho la...

READ MORE

Aweso Aagiza Bosi wa Maji Mwanza Kuwekwa Ndani

Waziri wa Maji Jumaa Aweso wakati akiendelea na ziara yake Mkoani Mwanza leo Aprili 25, amemtaka Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Rc Kunenge Atuma Salamu kwa Wezi wa Vifaa vya Magari

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Aboubakar Kunenge ametoa onyo kwa watu wote wanajihusisha na wizi wa magari, vifaa...

READ MORE

Chadema Kukutana na Rais Samia

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema ombi lao la kukutana na Rais Samia Suluhu limekubaliwa na wakati wowote watakutana...

READ MORE

Mwakalebela Abadili Maamuzi, Akata Rufaa TFF

IMEFAHAMIKA kuwa Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, Frederick Mwakalebela, juzi Jumatatu aliwasilisha barua ya kukata rufaa kwenye Shirikisho la...

READ MORE

Senzo Naye Aibuka, Amfungukia Kocha

MSHAURI wa masuala ya mabadiliko ndani ya Klabu ya Yanga, Senzo Masingiza amesema kuwa wanaimani na kocha mpya Nasreddine Nabi...

READ MORE

Mwendesha Mashtaka Anaswa Na Takukuru Akipokea Rushwa

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Manyara imemkamata Mwendesha Mashitaka Mkoa wa Manyara, Mutalemwa Kishenyi kwa...

READ MORE

Waziri Dk.Ndumbaro Atoa Agizo Kwa Taasisi Zake Kushirikia Tamasha La Majimaji Selebuka

Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro ameziagiza Taasisi zote za Wizara ya Maliasili na Utalii ambazo zinatangaza Utalii na...

READ MORE