×

Habari

Mume, Mke Wafariki Pamoja Katika Mazingira Tofauti

GIZA  nene limetanda katika kijiji cha Wari, Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, baada ya mme na mke kufariki siku moja...

READ MORE

Papa Ateua Mwanamke wa Kwanza Sinodi ya Maaskofu

KIONGOZI  wa kanisa katoliki duniani,  Papa Francis,  amemchagua mwanamke wa kwanza kuwa katibu katika baraza la mkutano wa maaskofu.  ...

READ MORE

Tanzania Yapaa Nafasi 23 Mapambano ya Rushwa Duniani

TANZANIA imeendelea kufanya vizuri katika mapambano dhidi ya rushwa ambapo kwa mujibu wa taarifa ya taasisi ya utafiti ya kimataifa,...

READ MORE

Waziri Kalemani Asimamisha Vigogo Wawili Tanesco

WAZIRI wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani amewasimisha kazi vigogo wawili wanaosimamia vituo vya kuzalisha umeme vya Ubungo 1 na Kinyerezi...

READ MORE

Meridian Bet Yamsaidia Mchimba Madini Aliyepata Ulemavu Kimaajabu

KAMPUNI ya michezo ya kubashiri Tanzania MERIDIAN BET imejitokeza kumsaidia Kijana Shabani Salum (34) Mkazi wa Chanika Jijini Dar es...

READ MORE

Vijana Think Tank Yatoa Hamasa Wanafunzi wa Sayansi Kusoma kwa Vitendo

Kuelekea siku ya Kimataifa ya Wanawake na Wasichana katika Sayansi Taasisi ya VIJANA THINK TANK (VTT) limetoa hamasa kwa wanafunzi...

READ MORE

Wenyeviti wa Mabaraza ya Ardhi Watakiwa Kutoa Hukumu kwa Kiswahili

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewaagiza Wenyeviti wa Mabaraza ya ardhi na Nyumba ya wilaya...

READ MORE

Serengeti Music Festival Yafana Dodoma

USIKU wa kuamkia leo Februari 7, 2021, limefanyika bonge moja la tamasha pale makao makuu ya nchi, kwenye uwanja wa...

READ MORE

Msisherekee Tambwe Kulipwa, Angalieni Msingi Wa Tatizo, Mjiulize…

UMEWASIKIA Yanga, wamesema watalilipa lile deni wanalodaiwa na mshambuliaji wao wa zamani, Amissi Tambwe raia wa Burundi. Wanatakiwa kulipa zaidi...

READ MORE

Sarah Asepa na Kila Kitu Chake Kwa Harmo

IMEVUJA! Aliyekuwa mpenzi wa staa wa Bongo Fleva, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ Sarah ametimkia nchini kwao Italy na kuchukua kila kilichokuwa...

READ MORE

Chunya: Wananchi Wakumbwa na Ugonjwa wa Kutapika Damu – Video

Diwani wa Ifumbo wilayani Chunya Mkoa wa Mbeya, Weston Mpyila ameiomba Serikali kuwasaidia kupata ufumbuzi kutokana na kuzuka kwa ugonjwa...

READ MORE

Simba vs Azam FC Kesho Kitawaka Kwa Mkapa

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Bara, Simba kesho saa moja kamili usiku wanatarajiwa kuwakaribisha wapinzani wao Azam FC kwenye Uwanja...

READ MORE

Yamkuta Baada ya Kurithi Mke wa Jamaa Aliyezushiwa Kufa

SEKESEKE limezuka katika nyumba moja eneo la Aboloi Teso, nchini Kenya, baada ya jamaa kurejea nyumbani kwake na kumshambulia jirani...

READ MORE

Serikali: Hakuna Mgonjwa wa Corona Bugando, Sekou-Toure

SERIKALI imesema hakuna wagonjwa wa corona katika hospitali ya Kanda ya Bugando na ile ya rufaa ya Sekou-Toure za jijini...

READ MORE

Biden Awaondoa Wahouthi Kwenye Orodha ya Magaidi

SERIKALI ya Marekani inadhamiria kuliondoa kundi la waasi wa Kihouthi nchini Yemen kutoka kwenye orodha ya makundi ya kigaidi.  ...

READ MORE

Serikali: Si Kila Tatizo la Kupumua ni Corona

KATIBU Mkuu8 Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Prof. Mabula Mchembe, amewatoa hofu wananchi kwamba matatizo...

READ MORE

Simanzi: Mwili wa RAS Kwitega Waagwa Arusha – Video

MWILI wa aliyekuwa Katibu Tawala wa Mkoa (RAS) wa Arusha, marehemu Richard Kwitega, umeagwa jana Feb 5, 2021, katika viwanja...

READ MORE

Himid Mao Atua Entag El Harby

KIUNGO wa kimataifa wa Tanzania, Himid Mao ‘Ninja’ amekamilisha dili la kujiunga na Entag El Harby FC inayoshiriki Ligi Kuu...

READ MORE

Shigongo: Tufanye Maamuzi Kutekeleza Ndoto za Rais – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, amewasihi wabunge wote kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, ...

READ MORE

Swali la Kwanza la Shigongo Bungeni – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, leo Februari 5, 2021, ameuliza swali kwa mara ya kwanza bungeni jijini Dodoma kwa...

READ MORE

Breaking: Joyce Kiria Akamatwa na Polisi

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kushirikiana na jeshi la Polisi wanamshikilia mwanaharakati Joyce Kiria kwa kosa la kuendesha mtandao...

READ MORE

Upandikizaji wa Kwanza wa Uso na Mikono

MMAREKANI Joe DiMeo (22), alifanyiwa upasuaji wa kwanza wa uso na mikono wa saa 23 huko New York, NYU Langone,...

READ MORE

Familia Inayoamini Kusomesha Watoto, Kumiliki Simu, TV ni Dhambi

FAMILIA ya Merchades Buberwa, mkazi wa Kasarani, Bukoba mkoani Kagera, imeeleza haina mpango wa kuwapeleka watoto wao shule, lakini pia...

READ MORE

Dereva Aliyekimbia Ajali Iliyomuua RAS Kwitega Asakwa na Polisi

  DEREVA wa basi la kampuni ya Makara lililogongana uso kwa uso na gari la aliyekuwa Katibu Tawala Mkoa wa...

READ MORE

Tanzia: Aliyepiga Picha ya Muungano wa Tanganyika na Zaznibar Afariki

  MWANDISHI wa habari mkongwe, William Mbunga, aliyepiga picha tukio maarufu la Baba Wa Taifa, Hayati Mwl. JK Nyerere akichanganya...

READ MORE

Ndoa ya Kajala, Harmonize Yanukia

Siku zote wanasema kuwa lisemwalo lipo kama halipo basi litakuja! hivi ndivyo ilivyo kwenye uhusiano tata kati ya msanii wa...

READ MORE

Jaji Yamkuta, DNA Yabaini Watoto 3 wa Ndoa si Wake

JAJI mmoja kutoka jimbo la Delta, Nigeria, kwa jina Anthony Okorodas, amefichua kuwa si baba halisi wa watoto watatu kutoka...

READ MORE

Tanzia: Profesa Mpangala Afariki Dunia

PROFESA wa Chuo Kikuu Katoliki Ruaha (RUCU) mkoani Iringa, Gaudence Mpangala, amefariki dunia jijini Dodoma leo asubuhi Alhamisi, Februari 4,...

READ MORE

Sakata la Baba Diamond Laibuka Upya, Familia ya Nyange Yafunguka – Video

  MDOGO wake marehemu Salum Idd Nyange, Abdul Kambaya, ameibuka na kuanika mapya kuhusu familia hiyo ya marehemu ambayo imekuwa...

READ MORE

Majaliwa: Halmashauri Zikamilishe Madarasa kwa Mapato Yao

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameagiza halmashauri zote nchini kutenga bajeti kwa kutumia mapato yao ya ndani kwa ajili ya...

READ MORE

WHO Yainyima Tanzania, Burundi Chanjo ya Corona

Shirika la afya duniani WHO limetangaza mpango wa muda kuhusu jinsi nchi zitakavyopewa chanjo za corona mwaka huu, huku Tanzania...

READ MORE

Wasafi TV Yalegezewa Kitanzi

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekiruhusu kituo cha televisheni, Wasafi TV, kuanza tena kurusha matangazo kuanzia Machi Mosi 2021, baada...

READ MORE

Watu 32 Wafariki Katika Ajali ya Magari Matano

WATU 32 wamepoteza maisha na wengine watano kujeruhiwa vibaya, baada ya ajali kutokea usiku wa kuamkia leo ikihusisha magari matano...

READ MORE

JPM: Mumeo Aliyefukuzwa Akatafute Kazi Nyingine – Video

RAIS John Magufuli, amemshauri mwanamke aliyedai kuwa mume wake alikuwa ni askari magereza na alifukuzwa kazi baada ya kusingiziwa kwamba...

READ MORE

Mbunge Amkomalia Magufuli Aongezewe Muda Madarakani

MBUNGE wa Makambako (CCM), Deo Sanga, jana Jumatano Februari 3, 2021, amerudia kauli yake ya kutaka Rais John Magufuli aongezewe...

READ MORE

JPM: Mkuu Wenu Alimtumia Mkewe Kutengeneza Sare za Askari

Rais Dkt. John Pombe amesema amefurahishwa na Jeshi la Magereza ambalo alikuwa amezoea kila siku kukuta mambo ya kukuudhi lakini...

READ MORE

Majaliwa Atoa Maagizo kwa Wakuu wa Mikoa, Wilaya – Video

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ametoa agizo kwa wakuu wa mikoa na makatibu tawala wa mikoa kuhakikisha watumishi waliopaswa kuhamia katika...

READ MORE

Mbunge CHADEMA Amuomba JPM Kufuta Kesi Zote za Uchaguzi 2020

Mbunge wa viti maalum wa kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Nusrat Hanje amemuomba Rais Dkt. John Magufuli kuzifuta...

READ MORE

EWURA Yatangaza Kupanda kwa Bei ya Mafuta

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza ongezeko la bei ya mafuta ya Petroli na Dizeli...

READ MORE

Breaking: Katibu Tawala wa Arusha Afariki Ajalini

KATIBU tawala Mkoa wa Arusha, Richard Kwitega amefariki katika ajali ya gari leo Jumatano Februari 3, 2021 wakati akitoka mkoani...

READ MORE