×

Habari

Mtwara: Wanafunzi Wasomea Chini ya Mkorosho

WANAFUNZI  wa Shule ya Msingi Namalombe wilaya ya Nanyumbu mkoa wa Mtwara pamoja na Mwalimu mkuu wao, Bwanaheri Akili, wameiomba...

READ MORE

Likwalile kuzikwa leo Mpiji-Magoe

MWILI wa katibu mkuu wa zamani wa wizara ya fedha na mipango nchini Tanzania, Dk. Servacius Likwelile, unazikwa leo Jumanne...

READ MORE

NMB Bonge la Mpango; Jishindie hadi Sh. Milioni 500/-

Benki ya NMB imeizindua kampeni inayojulikana kama ‘Bonge la Mpango’ ambayo itawawezesha wateja kushinda fedha taslimu, Pikipiki ya Miguu mitatu,...

READ MORE

Washindi 424 wa Kila wiki, Mwezi wazoa Zawadi za Mamilioni

KUELEKEA droo kuu ‘Grand Finale’ ya Kampeni ya NMB MastaBATA, Benki ya NMB imewataka wateja wake kuongeza kasi ya matumizi...

READ MORE

Itel Yawatoa Out ‘Valentine Dinner’ Wataje Wake

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Itel Tanzania imefanya droo yake ya kwanza hivi karibuni  katika promosheni inayoendelea kwa jina...

READ MORE

Rais JPM Kufanya Ziara ya Siku 2 Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli anatarajiwa kuanza ziara ya kikazi ya siku tatu Jijini...

READ MORE

Dk. Mollel: Wanadai Hatutoi Data za Corona ni Ujinga Mtupu – Video

  SERIKALi imesema matumizi ya data za magonjwa yote, ni kwa ajili ya kuchakata na kisha kuja na mbinu za...

READ MORE

Serikali Yatoa Kanuni 8 za Kujikinga na #COVID19

  Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imeendelea kusimamia na kusisitiza utekelezaji wa tahadhari ya magonjwa...

READ MORE

Holodomor Janga la Njaa, Watu Walikula Nyama za Watu

Mwaka 1932-1933 lilitokea janga la njaa hatari sana lililoikumba Ukraine, Janga ilo liliitwa Holodomor. Kukosekana kwa chakula kulipelekea watu kuanza kulana...

READ MORE

Mama Samia: JPM ni Baba wa Madini

MAKAMU wa Rais, Samia Suluhu Hassan, leo amefungua Kongamano la kimataifa la Uwekezaji katika Sekta ya Madini lenye lengo la...

READ MORE

Serikali Kutumia Ndege Kuua Nzige Simajiro, Longido

Waziri wa Kilimo, Prof. Adolf Mkenda amesema ndege itapuliza sumu kuua nzige katika Wilaya za Simanjiro na Longido leo. Amewataka...

READ MORE

Global Radio Yatunukiwa Tuzo ya Radio Bora Mtandaoni

HATIMAYE  ile tuzo ya Radio Namba Moja ya Mtandaoni Tanzania iliyotolewa na Tanzania Digital Awards  iliyobebwa ‘kibabe’ na +255 Global...

READ MORE

Balozi wa Italia nchini Congo Afariki Katika Shambulio

    BALOZI wa Italia katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Luca Attanasio,  na watu wengine wawili, wamefariki katika...

READ MORE

Wanne Mbaroni kwa Kuzusha Vifo vya Corona

  POLISI Mkoa wa Pwani inawashikilia watu wanne waliokamatwa ndani ya mkoa huo wakituhumiwa kutumia mitandao ya kijamii kueneza uvumi...

READ MORE

Ndege ya Marekani Yadondosha Mabaki ya Injini

  NDEGE ya Boeing ililazimika kudondosha mabaki ya injini yake katika eneo la makazi mjini Denver, Marekani, baada ya injini...

READ MORE

Meridian Bet Yadhamini Mafunzo ya Lishe Bora Dar

  KAMPUNI ya kubashiri matokeo ya Meridian Bet imepanua wigo katika kusaidia jamii na jana imesaidia kufanikisha mafunzo ya lishe...

READ MORE

RC Chalamila: Matangazo ya Vifo Mtaani, Tabia Hiyo Ife

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amepiga marufuku kufanyika kwa shughuli za mazishi kwa kutumia magari ya matangazo ya...

READ MORE

Maseneta Ufaransa Waipongeza Tanzania

WAJUMBE wa Bunge la juu la Ufaransa (Seneti) limeipongeza Tanzania kwa kuwa kinara wa masuala ya utulivu,amani,ulinzi na usalama katika...

READ MORE

Ajali: United Airlines Yasitisha Safari za Boeing 777

SHIRIKA la ndege la United Airlines la Marekani limesema linasitisha safari za ndege zake 24 aina ya Boeing 777 baada...

READ MORE

Watu 6 Watuhumiwa kwa Uvamizi wa Bunge Marekani

WATU sita wa kundi la Oath Keepers nchini Marekani wamefunguliwa mashtaka kwa kupanga uvamizi kwenye jengo la Bunge la nchi...

READ MORE

Majaliwa Akabidhi Magari ya Polisi Lindi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, amekabidhi magari mawili kwa ajili ya matumizi ya Jeshi la Polisi mkoa wa Lindi yatakayowezesha askari...

READ MORE

Wilaya Ya Ulanga Na TADB Kuwekeza Kilimo Cha Karanga Mti

MKUU wa wilaya ya Ulanga Mhe. Ngollo Malenya amepokea ujumbe kutoka Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania TADB uliongozwa na...

READ MORE

Wafanyakazi 27 Ikulu Wakutwa na Corona

MAOFISA 27 wa Ikulu ya Sudan Kusini wamethibitika kuambukizwa #CoronaVirus ambapo wamelazimika kuwekwa karantini.   Msemaji wa Ikulu, Ateny Wek...

READ MORE

Apigwa faini kwa kumkashifu mkongwe wa vita vya pili vya dunia

Mahakma nchini Urusi imetoa uamuzi wa kesi ya pili iliyokuwa ikimkabili kiongozi wa upinzani Alexei Navalny.   Navalny, alipatikana na...

READ MORE

Moto Wateketeza Mabweni Shule ya Sangiti

WANAFUNZI 180 katika shule ya sekondari ya wasichana Sangiti iliopo kata ya Kirima Kibosho wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamenusurika...

READ MORE

WHO Yaomba Takwimu za Corona Tanzania

  MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Tedros Adhanom Ghebreyesus, amesema shirika lake halijapokea taarifa kutoka #Tanzania kuhusu...

READ MORE

Breaking News: Profesa Benno Ndulu Afariki Dunia

  ALIYEWAHI kuwa Gavana Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Profesa Benno Ndulu (71), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu,...

READ MORE

Stendi Mbezi Luis Kuanza Kutumika Feb 25

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Abubakar Kunenge, jana Februari 21,  amesema  kuwa stendi kuu ya mabasi ya mikoani...

READ MORE

NMB Yatoa Vifaa vya Milioni 50 Morogoro, Dodoma na Singida

Benki ya NMB imetoa vifaa mbalimbali katika sekta ya elimu na Afya kwenye Wilaya za Mpwapwa mkoani Dodoma, Manyoni na...

READ MORE

Ndege ya Kijeshi Yaanguka, Yaua Wawili

Marubani wawili wamefariki kutokana na ajali ya ndege ya kijeshi katika jimbo la Alabama huko Marekani.   Jeshi la Anga...

READ MORE

Rais JPM: Hatujazuia Kuvaa Barakoa

Rais John Magufuli amesema Serikali haijazuia matumizi ya barakoa na amewataka wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya COVID19 kama wanavyoshauri wataalamu...

READ MORE

Silinde Amsimamisha Mkuu wa Shule Mtwara

NAIBU waziri wa ofisi ya Rais TAMISEMI David Silinde amemsimamisha kazi mkuu wa shule ya sekondari ya Naliendele Halidi Mchanga...

READ MORE

Rais Magufuli Awaondoa Hofu Watanzania -Video

Rais Dk John Magufuli amewataka watanzania kutokuwa na hofu na ugonjwa wa corona na badala yake wanatakiwa kumtanguliza Mungu mbele...

READ MORE

Laini za Simu Kuwekwa ‘Password’ Kuanzia Julai Mosi

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), imesema ifikapo Julai mosi, laini zote zitakazotolewa zitakuwa na neno la siri ambalo mteja atatakiwa...

READ MORE

JPM Awataka Watanzania Kuchukua Tahadhari ya Corona

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli, amewataka watanzania kuchukua tahadhari ya ugonjwa wa Korona kama zinaelekezwa na...

READ MORE

JPM Ashiriki Ibada Ya Dominika Ya Kwanza Ya Kwaresima Oystrerbay Dar

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli  leo Februari 21, 2021 ameshiriki katika Ibada ya Dominika...

READ MORE

Jinsi ya Kuongeza Kinga ya Mwili Kupambana na Corona Mpya

Wakati wimbi jipya la maambukizi ya virusi vya Corona yakizidi kuwa tishio duniani kote, utafiti wa Kisayansi umeendelea kuonesha kwamba...

READ MORE

Kaze Aja na Gia Nyingine Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mrundi, Cedric Kaze amefunguka kuwa licha ya kupata matokeo ya sare katika mechi mbili mfululizo lakini...

READ MORE

Majaliwa: Tujiridhishe na Barakoa, Tuliombee Taifa – Video

  Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewashukuru viongozi wa dini kwa kuendelea na maombi ya...

READ MORE

Amuua Mama’ake Mzazi kwa Kumkata Shingoni Kisa Utajiri

  Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia Fredius Philibart Kibengo mkazi wa Omurushaka wilayani Karagwe kwa tuhuma za kumuua mama...

READ MORE