GAVANA wa Kajiado, Joseph Lenku, amefunga kabisa uuzaji wa ng’ombe katika kaunti hiyo kutoka Tanzania kutokana na visa vya maambukizi...
READ MOREWIZARA ya Afya nchini Kenya imetangaza ongezeko la visa 25 vya #COVID19 baada ya sampuli 1,012 kufanyiwa vipimo na kufanya...
READ MOREMWANASIASA na mwanasheria mkongwe, Dkt. Masumbuko Lamwai amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Mei 5, 2020. Dkt. Lamwai aliwahi...
READ MORESpika wa Bunge, Job Ndugai amesema Mbunge aliyetangazwa kuwa na maambukizi ya #CoronaVirus mwezi uliopita anaendelea vizuri na anasubiri vipimo...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda leo Mei 3, 2020 amewataka wakazi wa Dar es Salaam ambao...
READ MOREMKURUGENZI Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga amemaliza bifu lililokuwepo kati ya chombo hicho cha habari pamoja na msanii...
READ MOREWABUNGE watatu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wapo bungeni leo wakiendelea na kazi ya kuwakilisha wananchi wao bungeni...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda leo ametangaza vita na wafanyabiashara wanaouza sukari kwa bei ghali...
READ MOREKUFUATIA hotuba ya Rais John Magufuli aliyoitoa jana Mei 03, 2020, Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amemwagiza Katibu Mkuu wa...
READ MOREMAAMBUKIZI ya virusi vya Corona duniani yamefikia watu milioni 3.5 leo Jumatatu, Mei 4, 2020, wakati idadi ya vifo vinavyosababishwa...
READ MOREWIZARA ya Afya nchini Uganda imesema kuna ongezeko la mgonjwa mmoja wa corona na kufanya jumla ya maambukizi kufikia 89...
READ MOREDar es Salaam, Tanzania-5/5/2020: Kupitia kurasa zao pendwa za mitandao ya kijamii @infinixmobiletz kampuni ya simu ya Infinix imezindua rasmi...
READ MOREPOLISI katika Kaunti ya Nairobi wanachunguza kisa ambapo mama mmoja mwenye umri wa miaka 24 aliwadunga kisu na kuwaua wanawe...
READ MOREWANANCHI nchini Hispania, wameruhusiwa kuanza kutoka nje baada ya kukaa ndani kwa siku 48 kufuatia mlipuko wa virusi ya Corona...
READ MORESERIKALI ya Korea Kusini imesema jana wanajeshi wake wamefyatuliana risasi na wanajeshi wa Korea Kaskazini katika eneo lisilo na shughuli...
READ MOREJamii nchini imeshauriwa kutumia fursa ya wasaidizi wa kisheria ambao wapo nchi nzima ili kupata msaada na ushauri wa kisheria...
READ MOREWIZARA ya afya nchini Kenya imethibitisha maambukizi mapya 30 ya virusi vya corona baada ya sampuli 883 kufanyiwa vipimo katika...
READ MOREMBUNGE wa Jimbo la Kibaha Mjini, Slyvestry Koka, amekabidhi Baiskeli 95 zenye thamani ya Shilingi Milioni 25 kwa Viongozi wa...
READ MOREMchungaji Dkt. Peter Mitimingi amefariki usiku wa kuamkia leo Mei 4, 2020 jijini Aruaha alikuwa ni kiongozi wa Kanisa la...
READ MOREHali inaonesha kwamba, nchi nyingi duniani zimeathirika na homa ya kirusi cha korona na athari hizi huenda zikabaki katika maisha...
READ MOREWizara ya Afya, Maendeleo Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto imesema hakuna haja ya maiti iliyofariki kwa Ugonjwa wowote ule...
READ MORERais Magufuli amemteua Brig.Jen Dkt.Gabriel Sauli Mhidize kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Bohari ya Dawa (MSD) kuanzia leo Mai 03l 2020...
READ MOREDAR: NI mateso na maumivu makali anayopitia Amina Mohamedi Mwiru (32) mkazi wa Mbagala Kiburugwa ambaye amepatwa na tatizo la...
READ MORERais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli leo Mei 3, 2020 amuapisha Dkt. Mwigulu Lameck...
READ MORE Rais Dk John Magufuli haamini usahihi wa majibu ya vipimo katika Maabara Kuu ya Serikali kuhusu ugonjwa wa corona....
READ MORE Rais Dkt. John Magufuli leo Mei 3, 2020 amesema amefanya mawasiliano na nchi ya Madagascar ambayo imegundua dawa ya...
READ MORERais Dkt. John Magufuli amemteua Dkt. Mwigulu Nchemba kuwa Waziri wa Katiba na Sheria kujaza nafasi iliyoachwa wazi na aliyekuwa...
READ MOREBAADA ya Zuchu kusajiliwa kwenye lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), msanii wa Bongo Fleva, Maua Sama ameibuka na kummwagia...
READ MOREDAR: Licha ya kuwa ni bidhaa adimu yenye matumizi mengi kwa binadamu katika maisha ya kila siku, sukari imeendelea kuwa...
READ MORESTRAIKA wa Horoya AC ya Guinea, Mkongomani, Heritier Makambo, amefunguka kuwa beki Kelvin Yondani na straika Ibrahim Ajibu ni watu...
READ MOREMAREKANI leo Mei 2, 2020 imeidhinisha majaribio ya dawa ya dharura itakayotumika kwa wenye virusi vya corona, wakati majimbo zaidi...
READ MOREHospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) na Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma (RRH) leo wamepokea msaada wa magari...
READ MOREMAMLAKA ya Dawa na Chakula (FDA) nchini Marekani imeidhinisha matumizi ya dharura ya dawa ya Ebola, remdesivir, ianze kutumika kutibu...
READ MOREMGOMBEA urais nchini Marekani katika tiketi ya chama cha Democratic, Joe Biden, amekanusha vikali madai ya kumdhalilisha kingono Tara Reade...
READ MOREMwili wa aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Augustine Mahiga, umefikishwa nyumbani kwake Gangilonga mjini Iringa kwa ajili...
READ MOREWAZIRI Mkuu wa Russia Mikhail Mishustin amesema amekutwa na maambukizi ya virusi vya Corona. Taarifa iliyotolewa na Makao Makuu ya...
READ MOREKWA mujibu wa vyombo vya habari nchini Korea Kusini, Kim Jong-un, ameonekana hadharani kwa mara ya kwanza baada ya siku...
READ MOREDAR: MCHEKESHAJI kwenye mitandao ya kijamii Bongo, John Mollel ‘Pierre Liquid’ amesimulia jinsi alivyonusurika kifo baada ya kushambuliwa na Ugonjwa...
READ MOREMtaalam wa Tiba Asili Tanzania, Dk Maneno Tamba amefariki dunia leo Mei Mosi, jiji Dar es salaam, mdogo wake Sultan...
READ MORE