×

Habari

Waziri Wa Katiba Na Sheria Mahiga Afariki Dunia -Video

Waziri wa Katiba na Sheria , Balozi Dkt Augustine Mahiga amefariki dunia alfajiri ya leo Mai 1, 2020 baada ya...

READ MORE

Bunge Lashauri Wanaofariki Wazikwe Katika Maeneo Yao

SPIKA wa Bunge la Tanzania, John Ndugai ameshauri watu kuzikwa kwenye maeneo yao wanakotoka pindi wanapofariki, kwani kwa kutokufanya hivyo...

READ MORE

Chuo Kikuu Ruco: Wafanyakazi Watalipwa Nusu Mshahara

CHUO Kikuu Katoliki Ruaha (Ruaha Catholic University) kimetoa taarifa ya kufunga shughuli zake zote isipokuwa za dharura na kutoa likizo...

READ MORE

Kisa Corona, Chadema Yasema: ‘Hatuingii Bungeni’

  MNADHIMU wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Ester Bulaya, ametangaza kuwa wabunge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

READ MORE

Rais Ateua Marehemu Kushika Wadhifa Serikalini

RAIS wa Nigeria, Muhammadu Buhari amemteua mtu aliyefariki kushika wadhifa serikalini, jambo ambalo limeibua mjadala nchini humo huku baadhi wakidai...

READ MORE

Corona: 92 Wawekwa Karantini Ruvuma

WATU 92 wakiwemo raia 10 wa Msumbiji walioingia nchini kupitia mpaka wa Mkenda, wilayani Songea wamewekwa karantini kwa siku 14...

READ MORE

Mei Mosi: Magufuli Apongeza Juhudi za Wafanyakazi

RAIS John Magufuli amewapongeza na kuwatakia heri wafanyakazi nchini  leo Mei 1, 2020, katika kuadhimisha Siku ya Wafanyakazi Duniani.

READ MORE

CORONA: Hospitali Ya Kanisa Yaanza Kutoa Matibabu Bure, Askofu Aeleza..

Kanisa la International Evangelism Cente lenye makao makuu yake eneo la Sakila Wilayani Arumeru mkoani Arusha,kupitia zahanati ya kanisa hilo...

READ MORE

Serikali Haitopanga Bei za Mazao Ya Wakulima -Mhe Mgumba

  Serikali imesisitiza kuwa haitopanga wala kuingilia bei za mazao ya wakulima nchini badala yake wakulima watajipangia bei na kuuza...

READ MORE

Wakili Msando Aachiwa kwa Dhamana, Gwandu Aitwa Polisi

WAKILI maarufu Albert Msando hatimaye ameachiwa huru kwa dhamana  baada ya kushikiliwa na polisi jijjni Arusha na kuhojiwa kwa saa...

READ MORE

Tanzia: Aliyewahi Kuwa Mbunge wa Vunjo Afariki Dunia

ALIYEWAHI kuwa Mbunge wa Vunjo mkoani Kilimanjaro kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Aloyce Kimaro,  amefariki dunia jana katika Hospitali ya...

READ MORE

Trump Aituhumu China: “Wanataka Nishindwe Uchaguzi”

RAIS wa Marekani Donald Trump amesema kwamba China inampango wa kutumia kila njia ili kumfanya asichaguliwe tena kwenye uchaguzi mkuu...

READ MORE

Rais al-Bashir Aomba Kuhamishwa Gereza

Rais wa zamani wa Sudan Omar al-Bashir ametaka kuhamishwa gereza kufuatia habari kwamba mmoja wa wasidizi wake wa zamani ameambukizwa...

READ MORE

Corona: Sauz Yaripoti Maambukizi Mapya 354, Jumla 5,350

IDADI ya maambukizi ya virusi vya Corona nchini Afrika Kusini imefika watu 5,350 baada ya visa vipya 354 kuthibitishwa, huku...

READ MORE

RC MAKONDA Atoa Msaada Wa Mabati Kwa Wajane Dar

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda ametoa msaada wa Mabati yenye Thamani ya shilingi Milioni 476...

READ MORE

Mfahamu Mgunduzi wa Sanitizer

KATIKA mapambano ya kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona, moja njia inayopendekezwa ni matumizi ya vipukusi (sanitizers) ambavyo huua...

READ MORE

Video: Rais Anamjibu Zitto Kuhusu Wataalam 8 Maabara ya Taifa

 Global TV imefanya mahojiano na Rais wa Chama cha Maabara Tanzania, Yusuph Rahisi, kuhusiana na kauli aliyoitoa Mbunge wa...

READ MORE

Taifa Tutenge Wiki Moja, Tupige ‘Nyungu’ Kwelikweli

SERIKALI imewataka wananchi wasisite kutumia njia mbadala ambazo zitaweza kuwasaidia katika janga hili la corona, ikiwemo kujifukiza, kwani utaratibu huo...

READ MORE

Jafo Atoa Maelekezo ya Ufundishaji Wanafunzi Online

WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais,Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo amelitaka Baraza la Mitihani Tanzania...

READ MORE

Mahakama Yaamuru Zitto Akamatwe

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jana Jumatano, Aprili 29, 2020, iliamuru kukamatwa kwa kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, kwa kukiuka...

READ MORE

Wakili Msando Ashikiliwa Polisi – Video

KAIMU Kamanda wa Polisi Mkoani Arusha, Koka Moita, amesema wakili wa kujitegemea, Albert Msando,  ameitwa na jeshi la polisi kwa...

READ MORE

Anna Mghwira Akutwa na Virusi vya Corona

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro,  Anna Mghwira, amesema  amepimwa na kukutwa na maambukizi ya virusi vya Corona.   Alisema kuwa...

READ MORE

Pesa Kidijitali: Njia nyingine Kusaidia Mapambano Dhidi ya Coronavirus

Toka kuingia kwa virusi vya coronavirus nchini njia mbalimbali zimechukuliwa na zinaendelea kuchukuliwa kuzuia kasi ya maambukizi.Taasisi za elimu zimefungwa,...

READ MORE

Rais JPM Amlilia Mbunge Ndassa

Rais Dkt. John Magufuli ametuma salamu za pole kwa familia, Spika Ndugai na Wananchi wa Jimbo la Sumve Mkoani Mwanza...

READ MORE

Vifo vya Corona Marekani Vimezidi Waliofariki Vita vya Vietnam

IDADI ya watu walioambukizwa virusi vya Corona nchini Marekani imeongezeka na kufikia zaidi ya Milioni moja, huku idadi ya watu...

READ MORE

Kifo cha Ndassa Spika Ndugai Asitisha Shughuli za Bunge – Video

Spika wa Bunge, Job Ndugai, leo Aprili, 29, 2020, ameahirisha Mkutano wa 19, Kikao cha 9, cha Bunge hadi kesho,...

READ MORE

‘Shinda Gari’: Wasomaji Vingunguti Wajaza Kuponi Kibao – Video

MAPEMA leo Jumatano, Aprili 29, mwaka huu timu ya maofisa masoko ya Kampuni ya Global Publishers ilitembelea maeneo ya Vingunguti...

READ MORE

Corona: Mbowe Afunguka Mazito “Tunataka Ukweli” – Video

MWENYEKITI wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na Kiongozi Mkuu Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe amesema njia...

READ MORE

PM Majaliwa Agawa Abulance 50 kwa Wabunge – Pichaz

  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Jumatatno, Aprili 29, 2020 amewakabidhi wabunge magari 50 ya kubebea wagonjwa yenye thamani ya...

READ MORE

Tanzia: Mbunge Richard Ndassa Afariki Dunia

MBUNGE wa Jimbo la Sumve kwa titeki ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Richard Ndassa,  amefariki dunia mapema leo Jumatano, Aprili...

READ MORE

Walioambukizwa Corona TZ Wafikia 480, Vifo 16 -Video

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema  maambukizi mapya ya ugonjwa  wa Covid-19  unaosababishwa na virusi vya corona, sasa yamefikia watu 480...

READ MORE

Rais Trump Ataka Shule Zifunguliwe, Magavana Wagoma

Rais wa Marekani, Donald Trump amesema Serikali za majimbo nchini humo zinapaswa kufikiria kufungua shule za umma ili wanafunzi waendelee...

READ MORE

Corona Uganda: Madereva wa Malori Hakuna Kulala Hotelini

RAIS Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya za kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada...

READ MORE

Burundi Yaanza Rasmi Kampeni za Uchaguzi Mkuu

KAMPENI za uchaguzi wa urais utakaofanyika Mei 20, 2020,  zimeanza leo ambapo mgombea kupitia chama tawala (CNND-FDD), Evariste Ndayishimiye na...

READ MORE

Naibu Meya wa Morogoro Azikwa na Serikali

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Loata Ole Sanare,  amesema mazishi ya aliyekuwa Naibu Meya wa Manispaa ya Morogoro, Isihaka Sengo,...

READ MORE

Betika Mwendo Uleule Kuwafikia Wasomaji Wake

  MAPEMA leo Jumatano, Aprili 29 mwaka huu timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Buguruni, Malapa...

READ MORE

Kagame Amfuta Kazi Waziri wa Mambo ya Ndani

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame, amemuondoa madarakani Waziri wa Mambo ya Ndani, Jenerali Patrick Nyamvumba, kutokana na masuala ya uwajibikaji...

READ MORE

Tanzia: Mkuu wa Uhamiaji Mkoani Kagera Afariki Dunia

MKUU wa Uhamiaji mkoani Kagera, Pendo Butenghe, amefariki usiku wa kuamkia leo katika Hospitali ya Rufaa Mkoa ya Bukoba, baada...

READ MORE

Mwanasayansi Mbaroni kwa Kupotosha ‘Pilipili Kichaa ni Dawa ya Corona’

Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Ibrahim Peter (26) ambaye ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika Chuo Kikuu cha...

READ MORE

Gambo Agawa Bure Sukari Iliyokamatwa Namanga – Video

MKUUwa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, amegawa bure sukari kiasi cha kilo 5,000 iliyokamatwa katika mpaka wa Namanga unaotenganisha Tanzania...

READ MORE