×

Habari

Benki ya NMB Yatwaa Tuzo ya NBAA Kwa Mwaka Mwingine Mfululizo

BENKI ya NMB imetwaa tuzo maalum kutoka Bodi  ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kama Benki bora...

READ MORE

Mwili wa Seth Waagwa, Mama Kanumba Aishiwa Nguvu – Video

MWILI wa aliyekuwa msanii wa filamu nchini ambaye pia ni mdogo wa marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco umeagwa leo baada...

READ MORE

Lowassa Ampa JPM Miaka 10, Sumaye Atia Neno – Video

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa,  amemsifia Rais John Magufuli kwa jitihada za kuleta maendeleo makubwa nchini tangu aingie madarakani...

READ MORE

Mbowe Aomba Maridhiano na JPM – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema sababu za kushiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 58...

READ MORE

Mbowe, Nyalandu, Mnyika, Lema, Sumaye Wahudhuria Uhuru Day – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, na Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu, ...

READ MORE

Nunua Gazeti la Ijumaa Wikienda (Tsh 300): Namba 7 pigo kwa Mama Kanumba

Unaweza kujipatia nakala ya gazeti la Risasi na kulisoma lote kwa njia ya mtandao na kwa gharama ya nusu bei,...

READ MORE

Tanzia: Aliyekuwa Balozi wa Tanzania Nchini Urusi Afariki

Aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi katika Serikali ya Awamu ya Nne, Balozi Jaka Mwambi amefariki jana Jumapili, Desemba...

READ MORE

Hali ilivyo Mwanza kuelekea maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru

Kesho Desemba 9, 2019 Tanzania Bara itasherehekea miaka 58 tangu kupata uhuru wake na miaka 57 ya Jamhuri, tayari viongozi...

READ MORE

Tanzia: Mhubiri Maarufu Duniani, Reinhard Bonnke Afariki

Bonnke ambaye ni raia wa Ujerumani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 akiwa amezungukwa na familia yake. Atakumbukwa...

READ MORE

Fiesta Ya Kwanza Ya Harmonize Uwanja wa Uhuru Dar leo

TANGU msanii wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’, aanze kuwika akiwa ndani ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB),...

READ MORE

BAR YA 5N Yawaka Moto Sinza, Dar – (Picha + Video)

BAR ya 5N na Klabu ya Usiku iliyopo Sinza A inayotazamana na Mlimani City jijini Dar es Salaam, leo Desemba...

READ MORE

Bilionea Ali Mufuruki Amefariki Dunia

  Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Infotech Investment Group ambaye aliwahi pia kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya...

READ MORE

Anthony Joshua Alivyomtwanga Andy Ruiz

Bondia Anthony Joshua kutoka nchini England amempiga kwa pointi bondia Andy Ruiz Jr. kutoka Mexico. Wawili hao wamepambana usiku huu...

READ MORE

Fiesta Dar: Kiba, Harmo Kupindua Meza Kibabe Leo

DAR ES SALAAM: Mastaa wakubwa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ na Rajab Abdul ‘Harmonize’, wameapa kufia jukwaani...

READ MORE

Katibu Mkuu Wizara ya maendeleo Avifunda vyuo vya Maendeleo

Katibu Mkuu Idara Kuu ya  Maendeleo ya Jamii, Dkt. John Jingu amevitaka vyuo vya maendeleo ya jamii nchini kutoa elimu...

READ MORE

WAZIRI UMMY AMTEMBELEA MTOTO ANNA

  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu jana alimtembelea mtoto Anna Zambi ambae...

READ MORE

Lamine Moro, Balinya na Molinga Wadaiwa Kuachana na Yanga

TAARIFA zilizoibuka kwa kasi leo Desemba 7, 2019,  kupitia mitandao ya kijamii zinaeleza kuwa wachezaji watatu wa Yanga ambao ni...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani, Azuiwa Kwenda Kupokea Tuzo

KIONGOZI  wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,  amezuiwa kusafiri kwenda Hispania kupokea Tuzo ya Haki za Binadamu.   “Niliandika...

READ MORE

Watu 10 Wapoteza Maisha kwa Shambulizi

TAKRIBAN watu 10 wamefariki katika kaunti ya Wajir  nchini Kenya, jana (Ijumaa) baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi...

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Form One 2020 – Singida

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga  na Kidato cha Kwanza  mwaka 2020  kuwa ni  701,038...

READ MORE

JPM Azindua Ujenzi Daraja la Kigongo-Busisi – Video

 RAIS  John Magufuli ameweka jiwe la msingi ujenzi wa Daraja la Kigongo-Busisi lenye urefu wa kilomita 3.2 likipita juu...

READ MORE

Mdogo wa Kanumba Kuzikwa Jumatatu Dar – Video

 SETH BOSCO, mdogo wa aliyekuwa staa wa Bongo Movie, marehemu Steven Kanumba, aliyefariki usiku wa kuamkia leo, Desemba 7,...

READ MORE

Tanzia: Mdogo wa Kanumba, Seth Bosco Afariki Dunia

MDOGO wa marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo Desemba 7, 2019, baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani...

READ MORE

Tafrani Nzito Yaibuka Marufuku Wauza Bima

DAR: Ni janga, ndivyo unavyoweza kutafsiri baada Mamlaka ya Bima Tanzania (Tira), kupiga marufuku kampuni za bima nchini kuendelea kuwatumia...

READ MORE

Mtoto wa Rais Ateuliwa Kuwa Msaidizi wa Rais

MTOTO mkubwa wa kiume wa Rais Ali Bongo wa Gabon, Noureddin Bongo Valentin ameteuliwa kuwa mratibu wa masuala yote ya...

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Form One 2020 – Arusha

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga  na Kidato cha Kwanza  mwaka 2020  kuwa ni  701,038...

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Form One 2020 – Mbeya

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga  na Kidato cha Kwanza  mwaka 2020  kuwa ni  701,038...

READ MORE

JPM Atoa Maagizo Mazito Hospitali ya Wilaya – Chato

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato...

READ MORE

Mwandishi Aliyedaiwa Kutekwa, Kutupwa Porini, Polisi Yafunguka

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Barnabas Mwakalukwa, amesema kuwa Mwandishi wa Habari wa Radio Kwizera, mkoani humo George Bahamu,...

READ MORE

Wanafunzi Wa St. Joseph’s Cathedral Walivyosherehekes Family Dar

  Wanafunzi wa Shule ya Sekondaari ya St. Joseph’s Cathedral mapema leo wamesherehekea hafla fupi ijulikanayo kama Family Day ambayo...

READ MORE

Trump Kung’olewa Madarakani?

Maprofesa watatu walioalikwa na Chama cha Democratic katika kikao cha kwanza cha kamati ya masuala ya sheria ya Baraza la...

READ MORE

Marais Watano wa Afrika Waitwa Kujieleza Ufaransa

Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron,  ametangaza kuwaita marais wa nchi tano za Ukanda wa Sahel, Desemba 16, 2019  katika mji...

READ MORE

Akinamama Waandaa Shughuli Kunusuru Ndoa Zao

AKINAMAMA nchini wanatarajia kukutana na kujadili masuala ya kulinda ndoa zao katika kongamano liitwalo VIP Ndoa linalotarajiwa kufanyika Desemba 15...

READ MORE

Afariki Akiwa Hospitali kwa Kukosa PF3

MWANAMKE mmoja nchini Nigeria amefariki baada ya hospitali kukataa kumtibu bila ripoti ya polisi baada ya kujeruhiwa kwa kuchomwa kisu...

READ MORE

Waziri Mgumba Alivyokagua Zao la Alizeti Singida

NAIBU Waziri wa Kilimo Mhe, Omary Mgumba amefanya  ziara ya siku Tatu mkoani Singida kwa ajili ya kukagua na kuhamisisha...

READ MORE

NMB Yakabidhi Zawadi Washindi Tisa Wa Kampeni Ya Mastaboda

  BENKI ya NMB imekabidhi zawadi kwa washindi tisa wa MastaBoda kama washindi wa wiki baada ya kufikisha miamala hamsini...

READ MORE

Mchungaji Mbaroni kwa Kuwanywesha ‘Sumu’ Waumini

MCHUNGAJI Sam Little (25) ambaye ni raia wa Uingereza amekamatwa nchini Uganda kwa tuhuma za kuwanywesha waumini wake dawa ya...

READ MORE