×

Habari

Askofu Ruwai’ch Aruhusiwa Kutoka Muhimbili – Video

Askofu Mkuu jimbo Katoriki la Dar es Salaam, baba Mwashamu, Yudatadei Ruwai’ch ameruhusiwa katika Taasisi ya Mifupa (MOI) alipokuwa akipatiwa...

READ MORE

Mahakama yatupa ombi la Mashinji, Matiko

MAHAKAMA ya Hakimu ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

READ MORE

Bi Samia Atoa Heshima za Mwisho kwa Mwili wa Nelson Mabeyo

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameungana na mamia ya waombolezaji na viongozi mbalimbali...

READ MORE

PM Majaliwa Atembelea Kiwanda Cha Maziwa, Iringa

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

READ MORE

Chama, Gadiel Wapigwa Chini Simba, Wabaki Dar

MSAFARA wa wachezaji 22 wa Simba umeondoka leo asubuhi kuelekea mkoani Kagera kupambana na Kagera Sugar lakini kiungo Mzambia, Clatous...

READ MORE

Spika Asisitiza Trump Kuwajibishwa kwa Kusaidiwa na Ukraine

CHAMA cha Democrats nchini Marekani  kimeanzisha uchunguzi rasmi dhidi ya rais wa nchi hiyo Donald Trump kuhusiana na madai kwamba...

READ MORE

Serikali yaipongeza kampuni ya Route Pro kwa kuwezesha vijana Pikipiki 30

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana na Ajira), Antony Mavunde, ameipongeza kampuni yaya usambazaji bidhaa ya Route Pro...

READ MORE

JPM Amteua Dkt. Amina Msengwa Kuwa Mwenyekiti wa Bodi NBS

– Rais Magufuli amemteua Dkt. Amina Suleiman Msengwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) – Dkt....

READ MORE

Zainab Katimba: Zitto Ajiandae Kuachia Jimbo 2020 – Video

MBUNGE wa Viti Maalum Kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Zainab Katimba amesema kuwa anajipanga kumng’oa Mbunge wa Kigoma Mjini Zitto...

READ MORE

Kocha wa Yanga Apewa Mbinu Tatu na Chama

KIUNGO mchezeshaji wa Simba, Mzambia Clatous Chama amewaambia Yanga pamoja na kocha wao Mwinyi Zahera kuwa kama wanataka kushinda katika...

READ MORE

Solskjaer: Subirini Man United Itaamka

KOCHA wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer, amesema kuwa anaamini wachezaji wake bado wanaweza kuamka na kufanya vizuri. United wamekuwa...

READ MORE

Mourinho: Nilistahili Kufukuzwa Man U

JOSE Mourinho amekiri kuwa alistahili kufukuzwa ukocha katika kikosi cha Manchester United, lakini akasisitiza kuwa hafurahii kuwaona wakiendelea kuteseka chini...

READ MORE

Mama Awatuhumu Polisi kwa Mauaji ya Mumewe

HAPPINES Massawe (30), mkazi wa Pugu, Kigogo-Freshi, Dar amewatuhumu polisi kusababisha kifo cha mumewe, Mohammed Chubi (28) baada ya kumchukua...

READ MORE

Wanaume Waongeza Safari Kukwepa Hiki

KATIKA mahojiano maalum na msichana Veronica (si jina halisi) ambaye ni mmoja kati ya wamiliki wa mgahawa mmoja uliopo Kinondoni...

READ MORE

Chadema Kwenda na Majeruhi wa Risasi Mahakamani

UPANDE utetezi kwenye kesi ya uchochezi namba 112/2018, inayowakabili viongozi tisa wa Chadema, leo Septemba 24, 2019 umesema umepanga kwenda...

READ MORE

Uchaguzi Serikali za Mitaa: Wilaya ya Kinondoni yatoa maelekezo

  Msimamizi wa uchaguzi Wilaya ya Kinondoni ametoa maelekezo kwa wananchi na wagombea kutakiwa kuyazingatia. Akizungumza na Global Publishers, msimamizi...

READ MORE

Tecno yazindua duka jingine Kariakoo China Plaza

Kampuni ya Tecno inayotambulika kwa uzalishaji wa simu za viwango vya hali ya juu imezidi kutanua wigo wa soko la...

READ MORE

Kairuki azuru kiwanda cha kuchataka mahindi Mlale

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Uwekezaji, Angellah Kairuki,  akisalimiana na baadhi ya watumishi wa Kikosi cha JKT...

READ MORE

Majaliwa Atoa Pole Kwa Familia ya Mkuu Wa Majeshi

       

READ MORE

Tanzania yazungumza na mwakilishi wa WHO kuhusu Ebola

SERIKALI ya Tanzania imefanya mazungumzo na mwakilishi mkazi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kuhusu uchunguzi wa ugonjwa wa Ebola...

READ MORE

Vodacom yatoa TZS bilioni 54.5 kama gawio kwa wanahisa

Vodacom yatoa taarifa ya ongezeko la faida kwa mwaka kufikia TZS billioni 90.2 Tarehe 20 Septemba 2019 – Dar es...

READ MORE

Atembea na Mtoto wa Shehe, Nyeti Zake Zatoweka Kimaajabu

MSHTAKIWA Faraji Ramadhani mwenye umri wa miaka 27 ameiomba  Mahakama ya Mwanzo Jijini Mbeya imruhusu ajidhamini mwenyewe kutokana na sehemu...

READ MORE

BENKI YA DCB YAZIDI KUNG’ARA

Benki ya Biashara ya DCB imetangaza kumaliza kampeni ya bidhaa yake ya akaunti ya muda maalumu inayojulikana kama ‘DCB Lamba...

READ MORE

Kilichojiri Mahakamani… Mume Anayedaiwa Kumuua Naomi

UPANDE wa Jamhuri leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu umesema upelelezi wa kesi ya mauaji inayomkabili mfanyabiashara Hamis Said...

READ MORE

Aussems: Kaitaba Kugumu, Tutashinda Kinguvu

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems, amefunguka wazi kwamba anaelewa kabisa kuwa kushinda kwenye Uwanja wa Kaitaba ni ngumu kutokana...

READ MORE

WAFANYAKAZI NMB WAFANYA USAFI HOSPITALI YA AMANA

    WAFANYAKAZI wa Benki ya NMB Kanda ya Dar es Salaam jana walijitolea kufanya usafi katika Hospitali ya Amana ya...

READ MORE

JPM Amjulia Hali Askofu Mkuu Ruwa’ichi – MOI

     

READ MORE

JPM Aongoza Kikao cha Mawaziri – Pichaz + Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameongoza kikao cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu Jijini....

READ MORE

Lugola Amtaka RPC Morogoro Arudi Kilimanjaro Haraka

WAZIRI wa mambo ya ndani ya nchi, Kangi Lugola amemwagiza Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Hamis Issa kurudi Mkoani...

READ MORE

Makonda Aridhishwa na Ujenzi Stendi Mpya Mbezi Louis

     Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda leo September 23 ametembelea na kukagua maendeleo ya Ujenzi...

READ MORE

Alichosema DPP Baada ya JPM Kuwaombea Msamaha Wahujumu Uchumi

Mkurugenzi wa Mashtaka Nchini (DPP), Biswalo Mganga amesema ofisi yake ipo tayari kutekeleza ushauri wa Rais Magufuli aliyetaka kusikilizwa kwa...

READ MORE

Wanafunzi 7 Wafariki kwa Kuangukiwa na Darasa – Video

Wanafunzi saba wamethibitishwa kufariki na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya darasa la shule yao kuporomoka leo Jumatatu Septemba 23, 2019...

READ MORE

Mbaroni kwa Kuiba Laptops Saba kwa ‘Kikwete’

JESHI la polisi mkoani Pwani ,linawashilia watu watatu wanaodaiwa kuiba kompyuta mpakato saba zenye thamani ya sh. milioni 4.2 mali...

READ MORE

Anaswa Akitorosha Madini

MTU mmoja Khalifa Mohamed Kinyaka (51) anashikiliwa na jeshi la Polisi Mkoani Dodoma, kwa tuhuma za kutorosha na kusafirisha viroba...

READ MORE

Mwili wa Mtoto wa CDF Mabeyo Wachukuliwa kwa Maziko

MWILI  wa Nelson Mabeyo ambaye ni mtoto wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF) nchini, Venance Mabeyo, aliyefariki katika ajali...

READ MORE

Kigogo Usalama Anaswa kwa Dawa za Kulevya – Video

  MAMLAKA ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini inamshikilia aliyekuwa Afisa Usalama wa Shirika la Posta nchini,...

READ MORE

Mtoto wa Mkuu wa Majeshi Tanzania Afariki kwa Ajali ya Ndege

NELSON MABEYO, mtoto wa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini Tanzania (CDF), Jenerali Venance Mabeyo,  ni mmoja wa watu wawili...

READ MORE