×

Habari

TANZIA: Mzazi Mwenziye na Shilole Afariki Dunia

MZAZI mwenziye na  Staa wa miondoko ya mduara, Zuwena Mohammed , aliyejulikana kwa jina la Makala Elia Joseph, amefariki dunia...

READ MORE

MWANAFUNZI AUAWA KINYAMA KWA VISU

MWANAFUNZI wa Chuo cha St. Joseph, Tawi la Luguruni jijini Dar aliyejulikana kwa jina la James John Tumati (pichani) aliyekuwa...

READ MORE

JENEZA, KABURI WATAKAMOZIKWA MARIA NA CONSOLATA – PICHAZ

ZOEZI la uchimbaji wa kaburi kwa ajili ya maziko ya mapacha walioungana, marehemu Maria na Consolata limefanyika katika Makaburi ya...

READ MORE

Kimekuka! Mbunge Kuwaita Wenzake ‘Mbwa’, Spika Aingilia Kati – Video

BUNGENI, DODOMA: Spika Job Ndugai leo Juni 05, amelazimika kumpokonya Najma Giga kijiti cha kuongoza kikao cha Bunge baada ya...

READ MORE

Halotel yazindua laini mpya za watu mashuhuri VIP  

    KAMPUNI ya Mawasiliano ya simu ya Halotel, kwa mara ya kwanza imezindua laini mpya za watu mashuhuri zilizopewa...

READ MORE

Vifo Vyazidi Kuongezeka Mlipuko wa Volkano Guatemala – Pichaz

IDADI ya vifo vilivyotokea kutokana na Mlipuko wa Volcano ulioikumba Guatemala, imefikia watu 65 hadi sasa huku vikosi vya uokoaji...

READ MORE

Kwa Heri Maria na Consolatha, Huu ni Zaidi ya Msiba – Video

MUNGU ni mwema na ni wa ajabu kwa sababu matendo yake ni makuu! Ukuu wake umejidhihirisha katika muujiza wa watoto...

READ MORE

MSIGWA: Tutapigana Makofi Hapa, Pesa Mmetoa Wapi – Video

Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa, akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha bajeti ya wizara ya Fedha na...

READ MORE

SILINDE: Maprofesa Wengi Wemefeli, Hii Ndio Changamoto – Video

MBUNGE wa Momba kwa tiketi ya CHADEMA , Silinde Ernest David, akichangia hoja katika mjadala wa kupitisha bajeti ya Wizara...

READ MORE

DENTI ALIYEFIA SHULENI… UTATA MZITO WAIBUK A

INAUMA sana! Ndiyo maneno yanayoweza kukutoka kufuatia kuibuka kwa simulizi yenye utata mzito kuhusiana na kifo cha binti, Faith John...

READ MORE

Simba Sc Waigonga Kariobang Sharks ya Kenya, Watinga Nusu Fainali

TIMU ya Simba imefanikiwa kusonga mbele hatua ya nusu fainali ya michuano ya SportPesa Super Cup, baada ya kuinyuka Kariobang...

READ MORE

Walinzi wa Wanyamapori Watakiwa Kuwa Makini

WALINZI wa wanyamapori katika maeneo yanayozunguka Pori ya Akiba la Maswa yanayopakana na Hifadhi ya Taifa ya Serengeti wametakiwa kuwa...

READ MORE

MAKONDA APOKEA TENDE, AAHIDI KUWAPELEKEA YATIMA

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda,  leo amepokea shehena ya Tende kutoka Taasisi ya Darul...

READ MORE

JPM Awaapisha Jaji Kiongozi na Majaji wa Mahakama Kuu- Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, leo Juni 4, 2018 amewaapisha aliyekuwa Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP),...

READ MORE

Dawa ya Kunasa Wezi Yazua Balaa!

WIKI kadhaa baada ya kuibuka kwa taharuki iliyosababishwa na kijana Salum Hamisi ‘Frank Joseph’ aliyedaiwa kunasiana na mzigo wa wizi...

READ MORE

MPAKA HOME: Haya Ndo’ Maisha Halisi ya Mwinjaku – Video

GOOD NEWS: Kwa watazamaji wa Global TV na wapenzi wa kipindi cha ‘MPAKA HOME’, msimu wa kwanza wa kipindi hichi...

READ MORE

Ndugai Atoa Salamu za Rambirambi Kifo cha Mapacha Maria, Consolata

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ametuma salamu za pole kwa familia ya mapacha Maria na Consolata Mwakikuti, waliofariki dunia juzi...

READ MORE

JPM: Siridhishwi na Uendeshaji Benki ya Maendeleo ya Kilimo – Video

RAIS John Magufuli amesema haridhishwi na utendaji kazi wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) , kutokana na kushindwa...

READ MORE

Njia 2 za Kuongeza Kipato Chako!

KARIBU msomaji wangu, ni Jumatatu nyingine murua! Hivi umewahi kujiuliza utawezaje kuongeza pesa ambazo unazipata katika maisha yako? Watu wengi...

READ MORE

JPM Azindua Mkakati wa Kukuza Kilimo Awamu ya Pili

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli anazindua Program ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo Awamu ya Pili (ASDP II) katika Ukumbi wa...

READ MORE

KIJANA WA SAUDIA ASHINDA DOLA 5,000 TUZO YA KIMATAIFA YA KUHIFADHI QURAN

KIJANA wa miaka 18 kutoka Saudi Arabia, Ibn Rayizah Hatim Abdullah ameibuka na kitita cha dola za Marekani 5,000 kwenye...

READ MORE

RIDHIWAN AMEPOKEA FUTARI KWA JIMBO LA CHALINZE

  MBUNGE wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwan Kikwete,  amepokea msaada wa futari kutoka kwa taasisi mbili za kidini, kwa ajili...

READ MORE

BODI YA MIKOPO YASITISHA MIKOPO KWA WANAFUNZI WA DIPLOMA

Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuutaarifu umma kuwa imesitisha mpango wa kutoa mikopo kwa...

READ MORE

Tundu Lissu Kufanyiwa Upasuaji Mwingine Kesho

MBUNGE  wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu kesho Juni 4, 2018 atafanyiwa upasuaji wa 21 wa kuunga goti la mguu...

READ MORE

JPM AWALILIA MAPACHA WALIOUNGANA “WALIKUWA NA NDOTO KUBWA”

Mhe. Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia, Masista wa Maria Consolata na wote walioguswa na...

READ MORE

TANZIA: MAPACHA WALIONUGANA, MARIA NA CONSOLATA WAFARIKI DUNIA

Mapacha walioungana (Maria na Consolata) wamefariki dunia usiku huu wa Jumamosi Juni 2, 2018 katika hospitali ya Iringa walikokuwa wakitibiwa....

READ MORE

MANISPAA YA KINONDONI YAINGIA MKATABA WA BILIONI 39 UJENZI WA BARABARA

  Manispaa ya Kinondoni imeingia makubaliano ya ujenzi wa barabara zenye thamani ya shilingi  Milioni 39.062 zinazotarajia kujegwa katika Kata...

READ MORE

JPM ATEUA MAKAMISHNA MADINI, MAJAJI, APANDISHA VYEO MAGEREZA

  RAIS  John Magufuli amemteua Jaji Ferdinand Leons Katipwa Wambali na Jaji Mwanaisha Athuman Kwariko kuwa majaji wa Mahakama ya...

READ MORE

MOTO WATEKETEZA SHULE, VYETI NA MITIHANI TABORA

MOTO mkubwa umeteketeza jengo la utawala la Shule ya Sekondari Kazima katika Manispaa ya Tabora na kusababisha uharibifu mkubwa wa...

READ MORE

MLINGA: Tafadhari, Naomba Tuheshimiane – Video

MBUNGE wa Ulanga kwa Tiketi ya CCM, Godluck Mlanga akichangia katika Hotuba ya Waziri wa Madini hukusu bajeti ya wizara...

READ MORE

MUSUKUMA Awasha Moto Bungeni – Video

MBUNGE wa Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku ‘Musukuma’ akichangia katika Bajeti ya Wizara ya Madini amewaomba Wabunge kuchangia mada ambazo...

READ MORE

RC, SINGIDA AWATAKA WAKULIMA, WAFANYABIASHARA KUWEKA FEDHA BENKI

  WAKULIMA na wafanyabiashara wametakiwa kutumia taasisi za kifedha hasa mabenki kutunza fedha ili kuepuka matumizi yasiyo ya lazima, badala...

READ MORE

Waziri Mkuu ‘Akinukisha’ Kwenye Kiwanda cha Urafiki, Atoa Masaa

SERIKALI imesema hairidhiki na ubia unaoendeshwa kwenye Kiwanda cha Nguo cha Urafiki. Hayo yamesemwa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo...

READ MORE

JPM AFANYA UTEUZI CHUO KIKUU MUHIMBILI

Rais  John Magufuli amemteua Prof Andrew Barnabas Pembe kuwa Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili...

READ MORE

Kubenea Aibuka na Ufisadi wa Meremeta Bungeni – Video

MBUNGE wa Ubungo Said Kubenea amesema kuwa Ripoti ya Kamati ya Nishati na Madini kuna sehemu imeonyesha tatizo katika Shirika...

READ MORE

MAHAKAMA YAWAACHIA HURU WAKURUGENZI WA JAMII FORUMS

  KESI namba 457 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) inayohusu kampuni za CUSNA Investment na Ocean Link...

READ MORE

SUMA JKT YASAINI MKATABA KULINDA MAJENGO NA VIFAA VYA TTCL NCHI NZIMA

SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania – TTCL Corporation limeikabidhi kandarasi ya Ulinzi wa Majengo, mali na Miundo mbinu yake kwa SUMA...

READ MORE

Tanzia: Mama wa Mbunge Hussein Bashe Afriki Dunia

Mama mzazi wa Mbunge wa Jimbo la Nzega Mjini mkoani Tabora (CCM), Hussein Bashe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo...

READ MORE