Kampuni ya Maxcom Africa PLC imeeleza kuwa, imefungua kesi ya madai katika Mahakama Kuu ya Tanzania dhidi ya Kampuni ya...
READ MOREMKUU wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, jana ameongoza mamia ya waombolezaji katika maziko ya marehemu Leyla Mtumwa aliyeuawa na...
READ MORENDEGE ya Shirika la Emirates iliyokuwa ikielekea Mauritius ikiwa na abiria 475 wakitokea Dubai, imetua jijini Dar es Salaam leo...
READ MORERais Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe kuashiria uzinduzi wa ofisi na matawi mawili ya Benki ya NMB Tanzania ambayo imepewa...
READ MOREMkurugenzi Msaidizi Kitengo cha Ufatiliaji na Udhibiti, Dkt Janet Mghamba, amezungumzia juu ya magonjwa ya mlipuko nchini na namna ambavyo...
READ MOREMBUNGE wa Tarime Vijijini, John Heche, anadai kutishiwa maisha na mwandishi wa habari ambaye anajitangaza kuwa ni mtu wa usalama...
READ MOREMbunge wa Nkasi (CCM), Ally Kessy akichangia hoja bungeni leo kuhusu Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano amemuomba Waziri Prof....
READ MOREMwenyekiti wa UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam, Mussa Kilakala, amemtembelea muigizaji mkongwe nchini, King Majuto, aliyelazwa katika Hospitali ya...
READ MOREMBUNGE wa Ubungo – Dar es Salaam, Saed Kubenea akichangia hoja bungeni leo kuhusu Wizara ya Uchukuzi na Mawasiliano...
READ MOREMkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo, leo amefika nyumbani kwa marehemu Kaloleni, jijini Arusha, Leyla kutoa pole kwa mama...
READ MORELeo shughuli zimesimama kwa muda katika Mji wa Moshi wakati Vikosi vya Jeshi la Polisi vikipita katika maeneo mbalimbali ya...
READ MOREMBUNGE wa Ulyankulu, John Peter Kadutu, amesema si busara kwa Wabunge kuweka mjadala wa kuwajadili viongozi wa dini kwani wana...
READ MOREYanga imemtwaa Kocha, Zahera Mwinyi Raia wa DR Congo ambaye tayari yupo nchini kukamilisha mazungumzo ya Yanga kwa ajili ya...
READ MOREKUWA wa kwanza kupata habari zote za michezo wakati wowote zinapotokea, Tuma SPORTS kwenda 15599 utapata habari za kitaifa na...
READ MOREA FEW days ago, I was lucky to be one of the journalists who travelled to Johannesburg in South Africa...
READ MOREBABA mzazi wa marehemu Agness Gerald ‘Masogange’, Mzee Gerald Waya amefunguka alivyokuwa akigombana na mwanaye huyo akimsihi aachane na mambo...
READ MOREMKURUGENZI wa Kampuni ya Fadhaget inayomiliki kiwanda cha Virutubisho Tiba Fadhaget Nutrition Science, Dkt Fadhili Emily ameishukuru Shirika la...
READ MOREMwili wa Mtanzania, Leyla Mtumwa anayedaiwa kuuawa kwa kuchomwa visu na mumewe, Kema Kasambula, mwezi uliopita jijini London nchini Uingereza...
READ MOREMZAZIi mwenzake na marehemu Agness Gerald ‘Masogange’ amefunguka kwa mara ya kwanza kuhusu uhusiano wake na marehemu, ambapo amesema mawasiliano...
READ MORESIMANZI, vilio na majonzi vimetawala miongoni mwa wasanii wa Bongo Fleva na Bongo Movies wakati wa kuuzika mwili wa aliyekuwa...
READ MORESIMANZI, vilio na majonzi vimetawala miongoni mwa waombolezaji wakati wa kuuzika mwili wa aliyekuwa Video Queen, Agness Gerald ‘Masogange’ katika...
READ MOREMSANII wa Bongo Fleva, Janabi Mmbaraka (Jebby) maarufu kama Swahiba, aliyefariki dunia jana mchana, amepumzishwa katika nyumba yake ya milele...
READ MOREMwili wa Mtanzania, Leyla Mtumwa anayedaiwa kuuawa kwa kuchomwa visu na mumewe, Kema Kasambula, mwezi uliopita jijini London nvhini...
READ MORESPIKA wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA), Dkt. Martin Ngoga ameishukuru na kuipongeza Serikari ya Tanzania kwa ujenzi wa miradi...
READ MOREMMILIKI wa Shule ya St. Patrick ya Jijini Dar es Salaam, Ndele Mwaselela amejitolea kumsomesha mtoto wa marehemu Agness Gerald...
READ MOREMAMIA ya wananchi wakazi wa Utengule, Mbalizi na maeneo ya karibu wamejitokeza kuungana na familia, ndugu, jamaa, marafiki na wasanii...
READ MOREMSANII wa Bongo Fleva Abernego Damian ‘Belle 9’ ameshindwa kujizuia na kujikuta akiangua kilio mara baada ya kuliona jeneza lenye...
READ MOREHAKIKA ni simanzi, vilio na majonzi baada ya wasanii kuwasili nyumbani kwao marehemu Agness Gerald Masongange na kuliona kaburi mabamo...
READ MOREMWILI wa msanii, Agness Gerald ‘Masogange’ tayari umeshawasili nyumbani katika kijiji cha Utengule, Mablizi, mkoani Mbeya tayari kwa taratibu za...
READ MOREMKALI wa Bongo Fleva, Abednego Damian ‘Belle 9′ ndiye ‘aliyembatiza’ jina la Masogange mrembo maarufu wa kuuza sura kwenye video...
READ MOREMbunge Kassim Ally ameululiza Serikali ina mpango gani kuifanya TANESCO ijiendeshe kwa faida ambapo Naibu Waziri wa Nishati, amemjibu Serikali...
READ MORERais John Magufuli amemteua Dkt. Edmund Mndolwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya wakurugenzi wa Benki ya Posta Tanzania(TPB). Dkt. Mndolwa...
READ MOREMWILI wa Mtanzania, Leyla Mtumwa anayedaiwa kuuawa kwa kuchomwa visu na mumewe, Kema Kasambula, mwezi uliopita unatarajiwa kutua nchini leo...
READ MOREMZEE Gerald Waya, ambaye ni baba mzazi wa aliyekuwa Msanii wa Bongo Movies na Model, Agness Gerald ‘Masogange’, amesema mwanaye...
READ MOREWasanii mbalimbali nchini wakiwemo Jacqueline Wolper, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, Anti Ezekiel, leo wameungana kuuaga mwili wa Masogange kwenye viwanja...
READ MOREMsanii Jebby amefariki dunia leo nyumbani kwao huko Dodoma ambapo taarifa zinasema alikuwa anasumbuliwa na uvimbe kwenye bandama. Msanii Jebby...
READ MOREMSANII wa filamu Rammy Galis aliyekuwa mpenzi wa zamani wa marehemu Masogange leo alizimia baada ya kuuona mwili wa mpenzi...
READ MOREMkali wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ni miongoni mwa wasanii waliofika viwanja vya Leaders, Kinondoni, kwa...
READ MOREMkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi, leo ameongoza wananchi wa Dar es Salaam wakiwemo wasanii waliofika viwanja vya Leaders,...
READ MOREWASANII mbalimbali leo wameungana na watu wengine katika kuuaga mwili wa marehemu Agnes Gerald ‘Masogange’ kwenye viwanja vya Leaders, Kinondoni,...
READ MORE