×

Habari

Mtulia, Mollel Waapishwa na Naibu Spika Bungeni

BUNGE la kumi na moja limeanza leo Aprili 3 ambapo Naibu Spika, Tulia Ackson, amewaapisha wabunge wawili, Dkt. Godwin Mollel...

READ MORE

Pasaka; Lulu, Akina Mbowe Watikisa Segerea

Wakati Wakristo wote na wasio Wakristo duniani wakishere­hekea Sikukuu ya Pasaka juzi na jana, muigizaji wa sinema nchini, Elezabeth Michael...

READ MORE

Kisa Kudaiwa na kaka yake, Gari la Waziri Tizeba Kupigwa Mnada – Video

Baraza la Ardhi na Nyumba Wilaya ya Geita, limetoa amri ya kukamata na kuuza gari lenye namba T 961 DEZ,...

READ MORE

Shuhudia Diamond Akiimba Mbele ya Magufuli – Video

Msanii nyota Diamond Platnumz kwa mara nyingine amepata fursa kuimba mbele ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli mapema leo jioni wakati...

READ MORE

Mtanzania Aliyedaiwa Kumuua Mkewe kwa Visu London, Full Story

  SIMULIZI ya Mbongo aliyetajwa kwa jina la Belly Kasambula (38), kudaiwa kumuua mkewe, Leyla Mtumwa almaarufu Ndaya (36), wote...

READ MORE

BREAKING NEWS: MKE WA RAIS MANDELA AFARIKI DUNIA

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinaeleza kuwa, mke wa zamani wa Rais wa Afrika Kusini, Nelson Mandela, Winnie Madikizel Mandela, amefariki...

READ MORE

JPM: Nafahamu Zaka Zimepungua Makanisani, Zilikuwa za Mafisadi – Video

RAIS Dkt. John Pmbe Magufuli ‘ametupa jiwe gizani’ na kufunguka kuwa kwa sasa Zaka katika makanisa zimepungua kwa sababu fedha...

READ MORE

GLOBAL PUBLISHERS APP YAMWAGA ZAWADI ZA BEATS BY DRE, PASAKA

APPLICATION ya Global Publishers inayopatika kwenye smartphones zote za Android na iOS imezidi kutikisa mitandaoni huku ikiteka maelfu ya watu...

READ MORE

LIVE: PM MAJALIWA AZINDUA MBIO ZA MWENGE 2018 – GEITA

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa mikoa ya Tabora, Geita, Mtwara na Shinyanga ambayo inaongoza kwa utoro wa...

READ MORE

Chombo cha Anga cha China Tiangong-1 Chaanguka Pacific

CHOMBO cha anga za juu cha China, Tiangong-1 kimemeguka na kuvunjika vipande vipange wakati kikikatiza anga la dunia maeneo ya...

READ MORE

Aamka, Akuta Jeneza Nje ya Nyumba!

MBEYA: NELSON Edson, mkazi wa Mtaa wa Nsalaga Kata ya Nsalaga jijini hapa amejikuta kwenye taharuki kubwa baada ya kuamka...

READ MORE

Halima Mdee Akamatwa na Polisi Akitokea Afrika Kusini

Jeshi la Polisi, Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemkamata Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee. Mdee amekamatwa leo alfajiri...

READ MORE

Barua ya Profesa Kitila Mkumbo Kwenda Kwa Mkuu wa Kanisa la KKKT

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji, Dk Kitila Mkumbo amemwandikia barua Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT), Askofu...

READ MORE

Rais Magufuli Aungana na Wakristo Kuadhimisha Misa ya Pasaka Kanisa la Mt. Joseph Dar

Rais Magufuli leo ameungana na Wakristo wote Tanzania katika maadhimisho ya Misa Takatifu ya sikukuu ya Pasaka iliyofanyika katika Kanisa...

READ MORE

TECNO KUJA NA KAMERA YA AINA YAKE

KUFUATIA matoleo ya simu mbalimbali yaliyotangulia, TECNO, imekua ikitajwa  ikihusishwa na ujio wa toleo jipya ikikisiwa kuwa ni muendelezo wa...

READ MORE

Tunachojifunza Mauaji ya Kimbari Rwanda – Part 02

WATANZANIA wengi hawajui nini kilisaba-bisha mauaji ya kimbari ya nchini Rwanda yaliyosababisha mamia ya watu kuuawa mwaka 1994. Naamini kama...

READ MORE

Tunachojifunza Mauaji ya Kimbari Rwanda – Part 01

WATANZANIA wengi hawajui nini kilisababisha mauaji ya Kimbari ya nchini Rwanda yaliyosababisha maelfu ya watu kuuawa. Naamini msomaji wa makala...

READ MORE

NABII ELISHA, OLIVIA WASIMIKWA RASMI UTUMISHI WA MUNGU

MANABII wawili wa Kanisa la Repohim lililopo Sinza-Meeda jijini Dar es Salaam wamesimikwa rasmi kuwa manabii halali baada ya kupakwa...

READ MORE

EXCLUSIVE: DR SHIKA Karudi Tena kwa Kishindo, Mabilioni Yake Je? – VIDEO

Miongoni mwa watu waliotikisa mwishoni mwa mwaka jana 2017, huwezi kumuacha Dkt Luis Shika, ambaye alijizolea umaarufu mkubwa kufuatia mnada...

READ MORE

Mwanamke wa Kitanzania Auwawa Kinyama Uingereza

MWANAMAMA Leyla Mtumwa (36) mkazi wa Arusha ameuawa jijini London nchini Uingereza kwa kuchomwa visu na mwanaume mwenye umri wa...

READ MORE

Ruben Enaje Aliyepigwa Misumari Live Kama Yesu kwa Miaka 32

MUIGIZAJI Ruben Enaje (58) ambaye kwa miaka 32 iliyopita amekuwa akipigwa misumari ya kweli na kuwambwa msalabani kwenye maadhimisho ya...

READ MORE

Meneja Kampeni wa Lema Ahamia CCM – Video

Katibu Mwenezi wa chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia alikuwa Meneja Kampeni wa Mbunge wa Ausha Mjini, Godbless...

READ MORE

WADAU WATARAJIA KITU TOFAUTI KUTOKA TECNO

KAMPUNI ya simu ya TECNO kufuatia ongezeko la matumizi ya simu za mkononi, makampuni mbalimbali yamekua yakija na matoleo tofauti...

READ MORE

Askofu Chengula: Ujumbe wa Maaskofu Unalenga Wanafiki Wanaojidai Wakristo

ASKOFU wa Kanisa Katoliki Jimbo la Mbeya, Evarist Chengula amefungukia kuhusu ujumbe uliotolewa hivi karibuni na maaskofu huku akiwataka Watanzinia...

READ MORE

Musiba Adai Kikundi Kinachofanya Mauaji Kinatoka Chadema, Ataja Majina – Video

MWANASIASA aliyekuwa ACT Wazalendo na hivi karibuni kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Cyprian Musiba amesema kuwa, matukio yote ya uhalifu...

READ MORE

Musiba Awashambulia Viongozi wa Dini Wanaomdiss JPM – Video

  MWANASIASA aliyekuwa ACT Wazalendo na hivi karibuni kutimkia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Cyprian Musiba amewajibu baadhi ya viongozi wa...

READ MORE

Kuelekea Pasaka; Mambosasa Atoa Onyo – Video

  JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limesema limejipanga vyema kuimarisha ulinzi katika kipindi cha sikukuu ya...

READ MORE

MAKAMU RAIS ZAMBIA ATUPWA JELA KWA KUVAMIA KITUO CHA UTANGAZAJI

KIONGOZI wa chama wa Chama cha Movement for Multiparty Democracy (MMD) cha Zambia, Dr Nevers Mumba, ametiwa hatiani na kuhukumiwa...

READ MORE

MAMBOSASA AFUNGUKA ASKARI ANAYEDAIWA KUMUUA AKWILINA -VIDEO

KAMANDA wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa amesema askari aliyefyatua risasi iliyomuua Akwelina Akwelini, bado hajatambulika...

READ MORE

Bombardier Iliyozuiliwa Canada Yaachiwa, Ipo Njiani Kutua Tanzania

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imewathibitishia wananchi kuwa ndege yake aina Bombardier Q400 iliyokuwa imezuiliwa nchini Canada imeruhusiwa...

READ MORE

BREAKING NEWS: AJALI YA BASI YAUA WATANO NGARA KAGERA

Watu watano wamefariki na wengine kujeruhiwa baada ya basi lililokuwa likisafirisha wakimbizi kutoka Kigoma kuelekea Burundi kupinduka.   Basi hilo...

READ MORE

POLISI WAUA MTUHUMIWA WA UJAMBAZI DAR – VIDEO

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuua kwa risasi mtu mmoja anayedaiwa kuwa jambazi maeneo ya Buza...

READ MORE

Muasisi wa Chadema, Mzee Kimesera Azikwa Makaburi ya Kinondoni -Pichaz

MWANASIASA mkongwe nchini ambaye alikuwa muiongoni mwa waasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mzee Victor Kimesera ameibua simanzi,...

READ MORE

Serikali Yawasamehe Roma Mkatoliki na PretyKind, Wafutiwa Adhabu

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Harrison Mwakyembe na Naibu wake, Juliana Shonza, leo wametangaza kufuta adhabu ya...

READ MORE

FAMILIA YA WATU 6 KUFARIKI AJALINI, NI ZAIDI YA MSIBA

DAR ES SALAAM: unaweza kusema huu ni zaidi ya msiba kufuatia ile habari ya watu sita wa familia moja wakazi...

READ MORE

Ndoa ya Denti Shule ya Salma Kikwete Aibu!

  DAR ES SALAAM: Aibu! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya ndoa ya denti wa kidato cha pili wa Shule ya...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Kizungumkuti, Kula Pasaka Segerea

DHAMANA ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia Maendeleo (CHADENMA), Freeman Mbowe na viongozui wenzake watano imeshindikana kutolewa kutokana na madai...

READ MORE

CAG Aomba Radhi Kuhusu Deni la Taifa -Video

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Musa Assad Ameomba radhi kwa usumbufu ulijitokeza baada ya kutoa taarifa za...

READ MORE

Jamhuri Yapinga Dhamana ya Mbowe, Kesi Yaanza Tena

  IKIWA ni dakika chache baada Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwapa dhamana Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake...

READ MORE