×

Kitaifa

Masoko ya Madini Yaigusa Benki ya NBC

SERIKALI imesema uanzishwaji wa masoko ya madini hapa nchini imekuwa ni moja njia muhimu itakayoongeza kasi ya utoaji wa mikopo...

READ MORE

Marioo Aaanika Ukweli Kutaka Kujinyonga Kisa Mimi Mars

Msanii wa Bongo Fleva, Marioo amenyoosha maelezo kuhusu kutaka kujinyonga kisa kutendwa kwenye suala zima la mapenzi kama ambavyo alivyoashiria...

READ MORE

Kijiji kwa Kijiji! Shigongo Atua Kome Kuomba Kura – Video

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo, amewaomba wanachama wa chama hicho...

READ MORE

40 Mbaroni kwa Tuhuma za Kuwakata Mapanga Viongozi wa CCM

POLISI inawashikilia watu 40 kwa tuhuma za kuwashambulia viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa kuwakata na mapanga Visiwani Pemba....

READ MORE

Mtoto Mbongo, Adaiwa Mil. 80 za Matibabu Kenya

HURUMA kwa mtoto huyu! Ndivyo unavyotakiwa kusema kutokana na bibi mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Sada William, kujikuta katika wakati...

READ MORE

Mume Ajiua, Aacha Waraka Wenye Tuhuma kwa Mkewe!

UGOMVI wa mume na mke ndani ya nyumba, umemalizika baada ya mwanaume kuamua kujiua na kuacha waraka wenye tuhuma dhidi...

READ MORE

Shule za Kiislam Kuteketea, Bakwata Yaomba Ripoti

MFULULIZO wa matukio ya shule za Kiislam nchini kuungua kwa moto, bado yanawatesa baadhi ya viongozi wa dini hiyo, kiasi...

READ MORE

Kagera Yapunguza Udumavu wa Watoto Chini ya Miaka 5 Bukoba             

  Takwimu za udumavu kwa watoto chini ya miaka mitano mkoani Kagera zimeendelea kupungua kutoka 41% hadi 39% kwa mwaka...

READ MORE

Majanga Mengine! Fatma Karume Atimuliwa TLS

Kikao cha Kamati ya Maadili ya Mawakili kilichoitishwa na Chama cha Wanasheria wa Tanganyika, TLS kilichoketi leo, Septemba 23, 2020...

READ MORE

Gondwe Aanika Maajabu ya ‘One Stop Jawabu’ Temeke – Video

MKUU wa Wilaya ya Temeke, Godwin Gondwe,  amesema kuwa kampeni ya ‘One Stop Jawabu’ ni sehemu ya utekelezaji wa maagizo...

READ MORE

NBC Bank Yawagusa Wanafunzi Wenye Mahitaji Maalum Chalinze

Chalinze, Pwani: September 21, 2020: Wanafunzi wenye mahitaji maalum katika Shule ya Msingi ya Chalinze mkoani Pwani wamehimizwa kusoma kwa...

READ MORE

JPM: Tunapeleka Umeme Hata Kwenye Nyasi

MGOMBEA urais kwa tiketi ya  Chama Cha Mapinduzi (CCM),  Dkt. John Magufuli,  amesema  serikali yake haibagui aina ya nyumba katika...

READ MORE

Shigongo Ajiachia na Wazee wa Buchosa

  MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Buchosa wilayani Sengerema mkoani Mwanza kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo,  amejumuika na...

READ MORE

Makonda, Gwajima Wakutana kwa Pengo

Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda pamoja na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Kawe Askofu Gwajima...

READ MORE

Siri Yabainika Chanzo Ajali ya Mgombea Mwenza Chadema

GARI lililowabeba baadhi ya maofisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kupata ajali katika eneo la Msoka, Kata...

READ MORE

Zitto Amaliza Utata Sakata la Urais Lissu, Membe

KAULI aliyoitoa Zitto Kabwe, Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo leo Jumanne, Septemba 22, 2020, imemaliza utata kwamba, chama hicho hakina...

READ MORE

Kikongwe (84) Jela kwa Kugushi Hati

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Jijini Dar es salaam imemhukumu mzee wa miaka 84, Ally Baruhani Macho,  miaka minne  jela...

READ MORE

Majeneza Yenye Miaka 2,500 Yafukuliwa

JUMLA ya majeneza 27 yaliozikwa zaidi ya miaka 2,500 iliyopita yamefukuliwa na wanaikolojia katika makaburi ya zamani nchini Misri. Majeneza...

READ MORE

Maalim Seif Amtangaza Lissu Urais, Membe Agoma!

  CHAMA cha ACT-Wazalendo kimetangaza kumuunga mkono Tundu Lissu, mgombea urais wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

READ MORE

Fatma Karume Afukuzwa Kazi

MWANASHERIA na mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini, Fatma Karume, amefukuzwa katika Kampuni ya Uanasheria ya IMMMA Advocates aliyoshiriki kuianzisha....

READ MORE

Wanne Mbaroni kwa Kumuozesha Mwanafunzi Darasa la Tano

WAKAZI wanne wa Kijiji cha Isela Kata ya Samuye Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga wanashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa...

READ MORE

Breaking: Mgombea Mwenza wa Urais Anusurika Kifo kwa Ajali Mbaya

Gari alilokuwa akiitumia Mgombea Mwenza wa Urais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),...

READ MORE

Shigongo Avunja Makundi Buchosa, Sasa ni Ushindi Tu – Video

  WANACHAMA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Halmashauri ya Buchosa – Sengerema wametakiwa kuondoa tofauti zao na kivunja makundi...

READ MORE

Uganda Yafungua Mipaka, Yaruhusu Watalii Kuingia

RAIS wa Uganda, Yoweri Museveni, ametangaza kulegeza masharti ya kudhibiti ugonjwa wa corona — Covid-19 — kwa kufungua mipaka ya...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumtumia Barua ya Sumu Rais Trump

Mwanamke mmoja amekamatwa kwa kushukiwa ndiye aliyetuma barua yenye sumu kwenda kwa Rais wa Marekani, Donald Trump. Mtu huyo alitiwa...

READ MORE

Wanafunzi Wawili Wafariki Wakiogelea Kwenye Bwawa Dar

WANAFUNZI wawili wa Shule ya Msingi ya St. Claret ya jijini Dar es Salaam, wamekufa baada ya kudaiwa kuzama kwenye...

READ MORE

Lissu Aahidi Kufanya Mabadiliko Uchumi, Utawala

MGOMBEA urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameahidi kufanya mabadiliko ya kiuchumi na kiutawala kama atachaguliwa....

READ MORE

Maalim Seif Aahidi Neema ya Uchumi Zanzibar

MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia tiketi ya ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema anakusudia kuifanya Zanzibar kuwa kitovu cha...

READ MORE

Lori la Mafuta Lawaka Moto Morogoro

  JESHI la Zimamoto na Uokoaji mkoani Morogoro limefanikiwa kuudhibiti moto wa mafuta kutokana na gari lenye namba za usajili...

READ MORE

Serikali Yaongeza Muda Maombi ya Ajira za Ualimu

Ofisi ya Rais – TAMISEMI imepokea maoni kutoka kwa wadau mbalimbali juu ya changamoto za upatikanaji wa mtandao zilizojitokeza mara...

READ MORE

Magufuli Atoboa Siri iliyowaponza Kaliua – Video

MGOMBEA urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)  John  Magufuli, amesema kuwa jana alipita Jimbo la Kaliua wananchi wakamlilia kuhusu suala...

READ MORE

Chopa la Magufuli Laanza Kazi – Video

Chopa pamoja na magari yanayotumika katika kampeni za Chama cha Mapinduzi (CCM) yakiwa tayari.   CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeonyesha...

READ MORE

JPM: Msiwachague Hao, Watatufungia Ndani – Video

MGOMBEA Urais wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Dkt. John Magufuli amewataka Watanzania kufanya uchaguzi kwa makini na kuepukana...

READ MORE

Jokate Aagiza Jambo Zito Tuhuma za Wachina

MKUU wa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani, Jokate Mwegelo ameagiza kukamilika haraka kwa uchunguzi dhidi ya Wachina watatu wanaoshikiliwa kwa...

READ MORE

Ndugai Atoa ‘Bonus’, Kisa Magufuli – Video

MGOMBEA ubunge wa Jimbo la Kongwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai, amewaomba wananchi...

READ MORE

Chadema Yaahidi Kufufua Pamba Tabora

MGOMBEA mwenza wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Salum Mwalimu, amesema iwapo chama hicho kitaingia madarakani kitahakikisha watu wa...

READ MORE

Magufuli: Nililala Nyumbani kwa Mzee Sitta – Video

MGOMBEA urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),  John Magufuli, aameendelea na kapmbeni...

READ MORE

Nmb Yatoa Msaada wa Madawati 50, Mashuka 180 na Ndoo Hospitali ya Rufaa Dodoma

  Benki ya NMB, imetoa msaada wa madawati 50, mashuka 180 na ndoo za kunawia vyote vikiwa na thamani ya...

READ MORE

Wabakaji Watoto Wakiona cha Moto

  WATU wawili waliobaka watoto, wamekiona cha moto baada ya mahakama kwa nyakati tofauti, kuwahukumu kifungo cha maisha jela. Wa...

READ MORE