×

Kitaifa

IGP SIRRO: HII NDO GARI ILIYOMTEKA MO, ILIPOTELEA KAWE – VIDEO

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema jeshi hilo kwa kushirikiana na vyombo vingine vya usalama limefanya...

READ MORE

Sirro: Tumebaini Mmiliki na Dereva wa Gari Iliyomteka Mo Dewji – Video

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) Simon Sirro,  amesema jeshi lake limelitambua  gari  lililotumiwa katika kumteka mfanyabiashara maarufu nchini,...

READ MORE

MWANAFUNZI KIDATO CHA TANO SENGEREMA SEKONDARI AJINYONGA

MWANAFUNZI wa Kidato cha Tano, Shule ya Secondari ya Sengerema aitwaye Ayoub Yahya Petro (19), mwenyeji wa Kyerwa mkoani Kagera,...

READ MORE

Kampuni ya Mo Dewji Yafunguka Suala la Kusitisha Uzalishaji

Uongozi wa Makampuni ya ‘MeTL’ unaomilikiwa na mfanyabiashara maarufu nchini, Mohamed Dewji umekanusha taarifa za uvumi juu ya kusitisha shughuli...

READ MORE

Mwakyembe Awateua Mwana FA, Richie Mtambalike BASATA

WASANII Hamis Mwinjuma ‘Mwana FA’ na Single Mtambalike ‘Richie’ wameteuliwa kuwa wajumbe ya Bodi ya Baraza la Sanaa Tanzania –...

READ MORE

HEAMEDA MEDICAL CLINIC YAENDESHA KAMBI YA KUPIMA MAGONJWA

  KLINIKI ya Magonjwa ya Moyo Heameda iliyopo Bunju B jijini Dar es Salaam imeanzisha kambi maalumu ya siku mbili...

READ MORE

INASIKITISHA! Maiti za Watoto Watatu Zilivyokutwa Kwenye Gari Bovu Dar

WATOTO watatu wa familia moja walitoweka tangu Oktoba 15, mwaka huu katika Mtaa wa Njaro wilayani Temeke, Dar es Salaam wamekutwa...

READ MORE

Wakazi watano washinda Milioni 161.5 za M-Bet

  Jumla ya washindi watano wameshinda jumla ya Sh161, 467,950 baada ya kubashiri kwa usahihi droo ya kampuni ya M-Bet...

READ MORE

Sakata la Clip; Kubenea, Komu Waomba Radhi Chadema – Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini), wamewaomba radhi viongozi...

READ MORE

Breaking: Kimenuka! Kubenea, Komu Wavuliwa Uongozi – Video

WABUNGE wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Saed Kubenea (Ubungo) na Anthony Komu (Moshi Vijijini), wamevuliwa nyadhifa zao...

READ MORE

BAADA YA KUONDOKA SIMBA, MASOUD DJUMA APATA TIMU LIGI KUU

ALIYEKUWA Kocha Msaidizi wa Klabu ya Simba, Masoud Djuma amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuifundisha AS Kigali inayocheza Ligi Kuu...

READ MORE

Diwani wa Magomeni, Mmliki Shule za Green Acres, Afariki Dunia

ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Magomeni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) na mmiliki wa shule za Green Acres, Julian Bujugo,  amefariki...

READ MORE

DC Hai Afunga Maduka ya Mwenyekiti Chadema, Aagiza Achunguzwe – Video

Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya hiyo kuyafunga maduka ya Mwenyekiti wa...

READ MORE

Vigogo ACACIA Wafikishwa Kortini, Wasomewa Mashitaka 39

ALIYEKUWA Makamu wa Rais wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia, Deo Mwanyika na  Mshauri wa Serikali ndani ya Kampuni...

READ MORE

HALOTEL YAADHIMISHA MIAKA MITATU YA KUANZISHWA KWAKE

    Napenda kuwakaribisha nyote katika Mkutano huu muhimu tunapoadhimisha miaka mitatu tangu kuanzishwa kwa huduma za Kampuni yetu ya...

READ MORE

DONGE LA BILIONI MOJA LA MO LAIBUA KIZAAZAA

TUKIO la mfanyabiashara Mohammed Dewji (pichani) aliyetekwa hivi karibuni na watu wasiojulikana limekuwa likichukua sura mpya kila siku ambapo baada...

READ MORE

CHADEMA Wanunua Magari Mapya ya Kazi Maalum – Pichaz

Chama cha Demokrasia na Maendeleo, Chadema, leo Jumatano, Oktober 17, 2018 kimeyaonyesha hadarani magari yake aina ya Ford Ranger ambayo...

READ MORE

HESLB Yawapangia Mikopo Wanafunzi 25,532 Awamu ya Kwanza

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) inapenda kuwafahamisha waombaji wa mikopo kwa mwaka wa masomo 2018/2019...

READ MORE

WAZIRI Mkuu Ethiopia Ameteua Baraza la Mawaziri, Aweka Rekodi Hii

WAZIRI Mkuu wa Ethiopia, Abiy Ahmed ameteua baraza la mawaziri 20, ambapo 10 kati yao ni wanawake. Kwa mara ya...

READ MORE

Maonyesho ya Utalii Yafunika Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amesema kwamba maonyesho ya Utalii yanayofanyika Zanzibar...

READ MORE

Breaking: Watoto 6 Wafariki kwa Radi, 25 Wajeruhiwa Geita

TAARIFA zilizotufikia hivi punde zinaeleza wanafunzi sita wa Shule ya Msingi ya Emaco Vision English Medium ya mjini Geita wamefariki dunia leo...

READ MORE

Makamu wa Rais Acacia, Mwanyika na Lugendo Watiwa Mbaroni

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imewakamata aliyekuwa Makamu wa Rais wa Kampuni ya Uchimbaji Madini ya Acacia,...

READ MORE

Lowassa Ashiriki Kuaga Mwili wa Mtoto wa Mwakasege

WAZIRI Mkuu wa zamani na Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA, Edward Lowassa jana Jumanne, Oktoba 16, 2018 aliungana na...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI TENA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli, amemteua Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani, Mh. January Henry...

READ MORE

Maneno ya Mwakasege Wakati wa Kuaga Mwili wa Mwanaye

MCHUNGAJI Mwalimu Christopher Mwakasege jana Jumanne Oktoba 16, 2018 aliongoza maombi ya ibada ya kuaga mwili wa mwanaye wa pekee...

READ MORE

BREAKING: Ishu ya MO Dewji, Serikali Yamjibu LEMA – Video

Serikali imesema inao uwezo wa kuchunguza uhalifu wa aina yoyote nchini kwa kutumia vyombo vyake vya ndani ikiwemo Jeshi la...

READ MORE

BASI LA NEW FORCE LATUMBUKIA KITONGA, 10 WAJERUHIWA

TAKRIBANI watu kumi wamejeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya New Force lililokuwa likitokea Mbeya kuelekea Dar es Salaam kutumbukia...

READ MORE

NILICHOKIONA NYUMBANI KWA HAYATI NYERERE

 JUZI Jumapili, Oktoba 14, imetimia miaka 19 tangu kufariki dunia kwa muasisi wa taifa hili na rais wake wa kwanza,...

READ MORE

Hans Pope Amekamatwa na TAKUKURU

MWENYEKITI wa zamani wa Kamati ya Usajili ya Klabu ya Simba, Zacharia Hans Pope,  amekamatwa na Taasisi ya Kuzuia na...

READ MORE

Mbunge wa Rorya Aagiza Baba Yake Akamatwe

MARA: Mbunge wa Rorya (CCM), Lameck Airo,  ameliagiza jeshi la polisi kumkamata baba yake mdogo baada ya kutajwa katika mkutano...

READ MORE

RC MAKONDA AAGIZA KUKAMATWA KWA VIGOGO WALIOHUJUMU SOKO LA KARIAKO – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameagiza kukamatwa kwa waliokuwa viongozi wa Soko la Kimataifa Kariakoo kwa...

READ MORE

JPM Awataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya Kujieleza – Video

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesema mwaka jana katika mbio za Mwenge kuna miradi ilizinduliwa lakini katika mbio za mwaka...

READ MORE

JPM Akutana na Wakimbiza Mwenge 2018 Ikulu

RAIS John Magufuli (mbele katikati) akipokea taarifa kutoka kwa Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Waziri katika Ofisi ya Waziri Mkuu...

READ MORE

MKUU WA MAJESHI JWTZ AIPONGEZA NMB KUKUZA MCHEZO WA GOLF

    MKUU wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama nchini (JWTZ), Jenerali Venance Mabeyo ameipongeza Benki ya NMB nchini kwa juhudi...

READ MORE

JAJI MKUU WA TANZANIA ATEMBELEA OFISI YA MKUU WA MKOA WA MWANZA

    Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe. Prof. Ibrahim Hamis Juma  amefanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhe....

READ MORE

BREAKING: FAMILIA YATOA SH. BIL 1 ATAKAYEFANIKISHA KUMPATA MO

FAMILIA  ya mfanyabiashara Mohamed Dewji ‘Mo’ aliyetekwa Alhamisi iliyopita na watu wasiojulikana, imetoa zawadi ya Sh. bilioni moja (1,000,000,000) kwa...

READ MORE

RATIBA YA KUAGA NA KUZIKA MWILI WA MTOTO WA MWAKASEGE

Ratiba ya Kumuaga mtoto wa Mwalimu Christopher Mwakasege, Joshua Mwakasege aliyefariki Alhamisi October 11 :-   Mwalimu atawasili Dar leo Jumatatu,...

READ MORE

Taarifa Kutoka TCU, Wanafunzi Wanaaomba Kujiunga Vyuo Vikuu

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU), imefungua dirisha la udahili kwa mara ya nne kwa waombaji ambao hawakuchaguliwa katika awamu...

READ MORE

HATIMAYE MWAKASEGE AFUNGUKA KIFO CHA MWANAYE

HATIMAYE Mchungaji Mwalimu Christopher Mwakasege amefunguka kuhusu kifo cha mwanaye wa kiume Joshua ambaye alifarikiAlhamisi iliyopita, majira ya saa 2,...

READ MORE