×

Kitaifa

Mafunzo ya Ujasiriamali Buchosa Yazidi Kuwainua Wananchi

MAFUNZO ya ujasiriamali yanaendelea Jimbo la Buchosa ambapo ambapo hii ilikuwa zamu ya wananchi wa Kata ya Nyakasungwa ambao wamejifunza...

READ MORE

Mchepuko Aua Mme wa Mtu Kisa Wivu wa Mapenzi

Jeshi la Polisi mkoani Ruvuma linamshikilia Bw. Alfred Nombo (28) kwa kosa la kuumuwa Bw. Erasto Nchimbi (28) mkazi wa...

READ MORE

Meya, DED Kinondoni Wamaliza Mgogoro

MKUU wa mkoa wa Dar es salaam,  Amos Makalla amemaliza sintofahamu ya uongozi wa manispaa ilijitokeza kati ya meya manispaa...

READ MORE

Zanzibar Yajiandaa Kutoa Chanjo ya Covid-19

Rais wa Zanzibar Dr. Hussein Mwinyi amesema kwa sasa Zanzibar inaandaa utaratibu wa kuwawezesha Mahujaji kupata chanjo ya COVID-19 ili...

READ MORE

Mbunge Khatibu Azikwa Pemba

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Othman Masoud Othman, amewasihi Ndugu wa Marehemu Khatib Said Haji (Mbunge wa Konde)...

READ MORE

Wadau wa Elimu Watoa Maoni Yao Juu Ya Elimu Waitakayo

BAADHI ya wadau wa elimu walioshiriki mkutano wa kimataifa wa elimu Bora ulioandaliwa na Mtandao wa Elimu Tanzania (TEN/MET), wametoa maoni...

READ MORE

Mkazi wa Chamwino Asepa na Ndinga Aina ya TATA Ace

  Hadija Iddi mkazi wa Chamwino mkoani Dodoma amekuwa mshindi wa kwanza kuzawadiwa gari aina ya TATA Ace maarufu kama...

READ MORE

Roma, Stamina Wakabidhi Ventilator, Mashuka Hospitali Morogoro – Video

MOJA Stori zilizogusa mioyo ya Watanzania leo Alhamisi, Mei 20, 2021 ni kuhusu wasanii wa kizazi kipya (bongo fleva) Roma...

READ MORE

Alikiba Amuita Mondi ‘Sadala’ Amjibu Ishu ya Utajiri Wake- Video

IKIWA ani siku chache baada ya Msanii Diamond Platnumz kuwafokea Forbes kuwa utajiri wake waliouandika kwenye jarida lao si halisi...

READ MORE

Kasesela: Sijazindua kiwanda cha Kutengeneza ‘Sehemu za Siri’

MKUU wa Wilaya ya Iringa, Richard Kasesela amekanusha taarifa za yeye kuzindua kiwanda cha kutengeneza sehemu za siri za mfano....

READ MORE

Majaliwa: Magazeti Manne tu Yaliyofungiwa

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema hadi sasa Magazeti ambayo yamefungiwa kisheria Nchini Tanzania ni...

READ MORE

Rais Samia Amteua Brigedia Jenerali Mabele Kuwa Mkuu wa JKT

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan amemteua Brigedia Jenerali Rajabu Mabele kuwa...

READ MORE

Taharuki! Fisi Atafuna Mbuzi 17

WAKAZI wa Kata ya Lubaga Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Mkoani Shinyanga wameiomba serikali kuwasaidia kutatua changamoto ya uwepo wa...

READ MORE

Meya, Mkurugenzi Kinondoni Wavurugana Mkutanoni – Video

MKURUGENZI wa Manispaa ya Kinondoni na Meya wamefarakana baada ya kuibuka kwa hoja kutoka kwa mmoja wa madiwani ya viongozi...

READ MORE

Serikali Kuhakiki Mpya Usajili Laini za Simu

WAZIRI wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndugulile amesema huenda wakaanzisha zoezi jipya la uhakiki wa laini za...

READ MORE

Live: Rais Museveni Awasili kwa Ziara ya Kikazi Nchini

Rais wa Jamhuri ya Uganda, Yoweri Kaguta Museveni amewasili nchini Tanzania leo Alhamisi, Mei 20, 2021 kwa ziara ya kikazi...

READ MORE

Bweni la Shule Lateketea kwa Moto Simanjiro

BWENI la wanafunzi wavulana wa Shule ya Sekondari Ewong’oni wilayani Simanjiro mkoani Manyara limeungua moto na kuteketeza vitu vyote vilivyokuwemo...

READ MORE

IGP Sirro: Marufuku Kuwapiga Faini Hovyo – Video

MKUU wa jeshi la polisi, IGP Simon Sirro, amewataka maereva wa bodaboda kufuata sheria za barabarani ili kuepusha ajali za...

READ MORE

Breaking: Mbunge Khatib Haji Afariki Dunia

MBUNGE wa Jimbo la Konde, kisiwani Pemba, Khatib Haji wa Chama cha ACT Wazalendo, amefariki Dunia. Umauti umemfika katika Hospitali...

READ MORE

Familia ya Mengi Yashinda Kesi ya Mirathi, Jacquiline Abwagwa

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeukataa wosia uliokuwa ukidaiwa kuandikwa na aliyekuwa mfanyabiashara maarufu nchini marehemu Reginald Mengi...

READ MORE

Mwenyekiti wa Mtaa, Madereva Boda Wanusurika Kifo Kisa Dawa ya Nguvu za Kiume

WATU watatu akiwemo Mwenyekiti wa mtaa wa Sanyenge kata ya Old Shinyanga, Benjamin Andrew na waendesha pikipiki wawili wamenusurika kifo...

READ MORE

Mwenyekiti Halmashauri Tarime Vijijini Mbaroni kwa Tuhuma za Mauaji

MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Tarime (Vijijini), Simion Samwel maarufu zaidi kwa jina la K, anashikiliwa na Jeshi lla...

READ MORE

Mashehe wa Uamsho Washinda Rufaa

VIONGOZI wa Jumuiya za Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar (JUMIKI), Sheik Farid Hadi Ahmed na wenzake 35 wanaokabiliwa kesi...

READ MORE

Serikali Yaanika Mikakati ya Kutangaza Hifadhi ya Taifa Katavi

SERIKALI kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii imesema kuwa imekuwa ikitekeleza mikakati mbalimbali ya kuitangaza Hifadhi ya Taifa ya Katavi...

READ MORE

Watu 3 wa Familia Moja Akiwemo Mtoto Wauawa Wakilinda Mazao

WATU watatu wa familia moja akiwemo mtoto mchanga wa miezi sita, wameuawa na watu wasiojulikana kwa kukatwa na kitu chenye...

READ MORE

Mamia Wafurika TANESCO Kusaka Luku za Umeme

MAMIA ya wakazi wa Shinyanga wamemiminika katika ofisi za Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) mkoa wa Shinyanga na Wakala wa...

READ MORE

Songea: Mwanafunzi Kidato cha Tano Ajinyonga

WANAFUNZI wa kidato cha tano anayesoma katika Shule ya Sekondari ya Wasichana St. Agness Peramiho, Sophia Joel Mbano (19) amekutwa...

READ MORE

RC Kunenge Akabidhi Ofisi kwa Amos Makalla

ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam ambae kwa Sasa ni Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mhe. Abubakar Kunenge...

READ MORE

Madaktari Watilia Mkazo Mapendekezo ya Corona

Chama cha Madaktari nchini Tanzania (MAT) kimesema kuwa serikali inapaswa kutoa takwimu sahihi kuhusu maambukizi ya virusi vya Corona kwani...

READ MORE

Prof. Mkumbo Aongoza Kikao Cha 32 Cha Bodi ya Wakurugenzi Wa EPZ

Waziri wa Viwanda na Biashara na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa EPZA, Prof. Kitila Mkumbo ameongoza kikao cha kawaida...

READ MORE

Byabato Awaomba Radhi Watanzania

  Naibu Waziri wa Nishati, Stephen Byabato, amewaomba radhi Watanzanbia kufuatia tatizo la upatikanaji wa huduma ya LUKU lililojitokeza kwa...

READ MORE

Makamu wa Rais Akemea Viongozi Walevi na Wazinzi

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amesema ili kiongozi awe mzuri ni lazima awe...

READ MORE

Ndugai: Kuna Ma-RC Wanajifanya Marais, TAKUKURU Mnaonea Watu

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano, Job Ndugai amesema wapo wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ambao wamekuwa...

READ MORE

Rais Samia Awabadilisha Kafulila na Mongella – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amembadilisha John Mongella kutoka kuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu...

READ MORE

Mnyika: Bawacha Haijaundwa Kupeleka Wabunge wa Viti Maalum

Katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika amelitaka Baraza la Wanawake la chama hicho (Bawacha) kudai katiba mpya na tume huru...

READ MORE

Hatimaye Babu Tale Afungukia Kuoa

MBUNBGE wa Jimbo la Morogoro Kusini ambaye pia ni Meneja wa msanii Daimond Platinum, Babu Tale ameibuka na kukanusha kuoa...

READ MORE

Kesi ya Gugai Na Mwenzake Yakwama, Ni Baada ya Wakili Kuteuliwa kuwa Jaji

Kesi ya utakatishaji fedha na kumiliki mali zilizozidi kipato inayomkabili aliyekuwa mhasibu mkuu wa Takukuru, Godfrey Gugai na wenzake wawili...

READ MORE

Tanzania Mbioni Kuanza Kutumia Mtandao wa 5G

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA), Dkt. Jabir Kuwe amesema kuwa Tanzania inaelekea kutumia huduma ya 5G.  ...

READ MORE