×

Kitaifa

Sakata la Bandari ya Kenya Kunyakuliwa na China Kisa Deni Liko Hivi

WAZIRI wa Fedha wa Kenya, Ukur Yatani, amepinga ripoti zinazoashiria kwamba Bandari Kuu ya Kenya huenda ikachukuliwa na China ikiwa...

READ MORE

Watu 50 Wauawa Katika Shambulio Niger

Watu 58 wameuawa nchini Niger baada ya shambulio lililotokea katika mpaka wa Mali, mamlaka imeeleza. Wanaume wenye silaha walikuwa kwenye magari...

READ MORE

Wazee wa Kusafirisha Vinyonga Watiwa Mmbaroni, Kesi ya Uhujumu Uchumi

WAFANYABIASHARA watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kujihusisha na biashara wa nyara...

READ MORE

Wanaodaiwa Kusafirisha Vinyonga Yawakuta

WAFANYABIASHARA watatu wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na mashtaka mawili likiwemo la kujihusisha na biashara wa nyara...

READ MORE

Njombe: Vyombo vya Ibada Vyaibiwa Parokiani

Vifaa vya vitumikavyo kwenye ibada, vilivyokuwa vimechukuliwa na watu wasiojulikana Parokiani Wanging’ombe mkoani Njombe, vimepatikana vyote siku ya jana 15.03.2021...

READ MORE

Mwandishi wa Habari Aliyepotea Akutwa Ameuawa Msituni

  MWANAHABARI Mkongwe Nchini Kenya, Jennifer Itumbi amepatikana akiwa ameuawa baada ya kutoweka kwa siku 3, huku uchunguzi ukionyesha kwamba...

READ MORE

Grammy Yaitaja ‘African Giant’ ya Burna Boy Kuwa Bora Afrika

  Burna Boy, ambaye jina lake halisi ni Damini Ogulu, ambaye ameshiriki kwa mwaka wa pili ameshinda katika albamu yake...

READ MORE

Avuliwa Uchungaji Akidaiwa Kumpa Mimba Muumini Wake

MCHUNGAJI msaidizi wa Kanisa la Ufunuo Ushirombo lililopo wilayani Bukombe mkoani Geita, Maliko Elikana amevuliwa wadhifa wa uchungaji na kuwa...

READ MORE

Naibu Waziri: Wafungwa, Rais Magufuli Anawategemea

SERIKALI imewaasa wafungwa wote nchini kuzidisha kufanya ibada sambamba na kuzidisha kumuomba Mungu ili wakitoka waende kuwa raia wema pamoja...

READ MORE

Meya wa Dar Afunguka Jiji Jipya Linavyotofautiana na Jiji la Zamani – Video

MEYA mpya wa Jiji la Dar es Salaam, zamani Halmashauri ya Ilala amesema mipaka ya jiji hilo linaishia kwenye mipaka...

READ MORE

NMB Yawapokea Rasmi Waliokuwa Wafanyakazi wa Benki ya Kibiashara ya China

Benki ya NMB imewapokea rasmi waliokuwa wafanyakazi wa Benki ya Biashara ya China (China Commercial Bank) ambayo umiliki wake ilikabidhiwa...

READ MORE

Shigongo Ashuhudia Kambi ya Wavuvi Ilivyotekea, Mmoja Afariki, Mamia Wapoteza Makazi

    Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe Eric Shigongo, amewatembelea wahanga wa moto kambi ya uvuvi ya Migongo iliyoko...

READ MORE

Wanne Mbaroni kwa Kusambaza ‘Uvumi wa Kuugua Rais Magufuli’

WATU wanne wamekamatwa katika maeneo mbalimbali nchini Tanzania kwa madai ya kusambaza habari za uvumi kwenye mitandao ya kijamii kuwa...

READ MORE

Mafunzo ya Matumizi Salama ya Teknolojia ya Nyuklia Yatolewa Kitaifa

  Tume ya  Nguvu za Atomiki Tanzania (TAEC) inaendesha mafunzo ya kitaifa juu ya matumizi salama ya teknolojia ya nyuklia...

READ MORE

Museveni: Naendelea Kufikiria Chanjo Nzuri ya Kuchoma

Rais wa Uganda’ Yoweri Museveni amesema bado anaangalia ni chanjo ipi atakayochomwa, siku chache baada serikali yake kuanza kutoa chanjo...

READ MORE

Mama Samia: Rais Magufuli Anawasalimia Sana – Video

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mama Samia Suluhu Hassan amewatoa hofu Watanzania wote kutokana...

READ MORE

Kamati ya Bunge Viwanda na Biashara Yatembelea Kiwanda Cha Chai

Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara na Mazingira Mhe, David Kienzile (Mb) ameongoza kamati ya kudumu...

READ MORE

Kifo cha Mmiliki wa Hoteli ya Snowcrest, Mtoto Afunguka – Video

MFANYABIASHARA Lucas Wilium Mollel ambye pia ni Mmiliki wa Hoteli ya kifahari ya Snowcrest aliyefariki siku ya Alhamisi, Machi 11,...

READ MORE

Kesi ya Kambole Kufutwa Uwakili Kuanza Kujadiliwa Leo

Mwanasheria Mkuu wa Serikali alifungua kesi dhidi ya Mawakili Jebra Kambole na Edson Kitalu akitaka wafutwe Uwakili kwa madai ya...

READ MORE

Marufuku Wafungwa kutumika kwa Kazi Binafsi

Serikali imepiga marufuku wafungwa kutoka Magereza mbalimbali nchini kutumika katika kazi binafsi isipokuwa kwa kufuata utaratibu unaotambulika kisheria.    ...

READ MORE

Waziri Lukuvi Amaliza Mgogoro Sugu wa Ardhi Wazo

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe William Lukuvi amehitimisha mgogoro wa muda mrefu baina ya wananchi wa...

READ MORE

Simbachawene Atoa Siku 30 Kwa Jeshi la Magereza

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene ametoa siku 30 kwa Jeshi la Magereza kuhakikisha Gereza jipya la...

READ MORE

Kamati ya Bunge Yashauri Askari Wahamishwe Uraiani

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje Ulinzi na Usalama imeishauri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi...

READ MORE

Fundi Simu Akamatwa Kwa Kusambaza Uzushi ‘JPM Mgonjwa’

CHARLES Majura (35), fundi simu na mkazi wa Dar es Salaam, anashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, kwa...

READ MORE

Mwanza: Wamiliki 736 wa Ardhi Wafikishwa Mahakamani

  WAMILIKI 736 mkoani Mwanza ambao ni wadaiwa sugu wa kodi ya aridhi wamefikishwa katika Baraza la Mahakama ya Ardhi...

READ MORE

Sheria za TZ Zaanza kutafsiriwa kwa Kiswahili

Wataalamu wa #Sheria kutoka Taasisi mbalimbali wakiongozwa na Wanasheria kutoka Wizara ya Katiba na Sheria wameanza kazi ya kutafsiri Sheria...

READ MORE

RC Chalamila: Rais Magufuli Haumwi, Nimeongea Naye – Video

MKUU wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema amempigia simu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe...

READ MORE

Majaliwa: Rais Magufuli Yuko Imara – Video

Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, leo Ijumaa, Machi 12, 2021, amewataka Watanzania wote wawapuuze wapotoshaji wa mitandaoni wanaotaka kuleta taharuki...

READ MORE

Kiwanda cha Kinamama wa Sengerema ‘Serikali Mikono Yetu’

  AHADI mojawapo ya kiserikali ambayo inatekelezwa hadi sasa, ni kuweka mazingira wezeshi kwa wafanyabiashara na wajasiriamali, yatakayowasaidia kuendesha viwanda,...

READ MORE

RC Mongela: Achaneni na Miongozo ya Kijinga

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella amewataka watendaji wa halmashauri kuacha kufuata miongozo ya wizara badala yake waangalie uhitaji...

READ MORE

Muuguzi Afukuzwa Kazi kwa Kubaka Mwanafunzi

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Manispaa Tabora, limeazimia kufukuzwa kazi aliyekuwa Muuguzi wa zahanati ya Kalunde, Elipidius Kweyamba, baada...

READ MORE

Wezi Wapuliza Dawa ya Usingizi, Wawaibia Wafiwa

JESHI la Polisi mkoani Pwani wamekamata vifaa mbalimbali vilivyoibiwa katika msiba eneo la Mlandizi, Kibaha mkoani humo.     Akizungumza...

READ MORE

Sakata Kusafirisha Vinyonga, Nyoka Mapya Yaibuka

SERIKALI inawashikilia Watanzania watatu kwa tuhuma za kushirikiana na raia wa Jamhuri wa Czech kusafirisha nje ya nchi vinyonga 74...

READ MORE

Waziri Bashungwa Akutana na Uongozi wa TBC Kujadili Maendeleo ya Shirika hilo

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Innocent Bashungwa, na Naibu wake Mhe. Abdallah Ulega, jana Machi 11,...

READ MORE

Mwanadada Afurahia Kumiliki Pikipiki!

Washindi wa Pikipiki za miguu mitatu aina ya Lifan Cargo wa Droo ya kwanza ya Kampeni ya Weka Pesa na...

READ MORE

Mwigulu: Kiongozi wa Nchi Sio Parish Worker

WATANZANIA wametakiwa kuacha kuibua taharuki kwa kuzusha taarifa za uongo ambazo hazina uthibitisho kwa kuwa kufanya hivyo ni kinyume cha...

READ MORE

Gwajima: Wanaume Wengi Wanaugua Figo

Imelezwa kuwa wanaume wapo katika hatari kubwa ya kuugua Ugonjwa wa Figo unaotokana na Kisukari na Presha ukilinganisha na Wanawake....

READ MORE

Waliomteka Mchina Arusha Wakamatwa Dar

  Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kumteka mtu mmoja raia wa China ambaye...

READ MORE

Akamatwa na Laini 74 za Simu, Zimesajiliwa kwa Jina Moja

Mkazi mmoja wa Mlandizi Wilaya ya Kibaha Mkoa wa Pwani anashikiliwa na polisi kwa tuhuma ya kukutwa na laini 74...

READ MORE

Rombo: Wakenya 26 Wahukumiwa Jela kwa Kuingia Nchini Kinyemela

Mahakama ya Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro imewahukumu kifungo cha mwaka mmoja jela ama kulipa faini ya shilingi laki tano...

READ MORE