×

Risasi

Wema Hamjui Mwenye Mimba

Wema Sepetu ‘Madam’ Na Mwandishi Wetu, Risasi DAR ES SALAAM: Habari zinazosambaa kwa kasi ya ajabu kama moto wa kifuu...

READ MORE

Mafuriko yazua kizaazaa Moro

Makaburi yakiwa yamezingilwa na maji. Na Dustan Shekidele, Risasi MOROGORO: Kunani Kilosa? Mji wa Kilosa mkoani hapa, kwa mara nyingine...

READ MORE

Pablo Masai kuvuta jiko soon

Na Issa Mnally, Risasi DAR ES SALAAM. Mwanamuziki nyota wa FM Academia, Pablo Masai wakati wowote kuanzia sasa ataoa baada...

READ MORE

Rose Ndauka Hajali Nyumba Yao Kuvunjwa

Na Gladness Mallya WAKATI mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waishio mabondeni na pembezoni mwa bahari na mito wakihaha...

READ MORE

Sabby: Mapenzi Kwangu No

Na IMELDA MTEMA  MSANII wa Bongo movies Sabrina Omary ‘Sabby Angel’ amesema katika kipindi hiki cha kasi ya Rais John...

READ MORE

Tiko Adai Huu Mwaka Wa Kutoka

Na Gladness Mallya MSANII wa filamu Bongo, Tiko Hassan ameibuka na kudai baada ya mwaka jana kuwa mgumu kuliko kawaida...

READ MORE

Jose Mara na siri ya kufanana majina na mkewe

Makala: MUSA MATEJA KILA mtu ana historia yake katika maisha! Joseph Michael ‘Jose Mara’ yeye kutokana na historia ya kimaisha...

READ MORE

Jide, Nameless wazua gumzo

Mbongo Fleva, Judith Wambura ‘Jide’ na msanii wa muziki wa kizazi kipya toka nchini Kenya, David Mathenge ‘Nameless’ wakikumbatiana. Mwandishi...

READ MORE

Isabela asaula live hotelini

Isabela Mpanda ‘Bella’ akiwa amesaula. Mwandishi Wetu Miss Ruvuma 2006 ambaye pia ni msanii wa filamu za Kibongo na muziki...

READ MORE

Mchungaji Atembezewa Kichapo na Waumini, Awekwa Kitimoto

Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste Ebenezer Mission lililopo Kisanga jijini Dar, Musa Mlezi (aliyeinua mkono akiashiriria kunena jambo). Gladness Mallya...

READ MORE

OFM Yanasa Misosi Ikiuzwa Kiholela Dar

Mishikaki na ndizi za kuchoma vikiuzwa kihohela Deogratius Mongela na Mayasa Mariwata LICHA ya Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,...

READ MORE

Diamond Yamkuta ya Wema… Atimuliwa Kwenye Nyumba ya Studio

Staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond. Musa Mateja SIKU chache baada ya muigizaji kiwango Bongo, Wema Sepetu ‘Madam’ kutimuliwa...

READ MORE

Mbongo Fleva ajivunia kushirikiana na Mmarekani

Mwandishi Wetu MSANII wa Bongo Fleva, Andrew John ‘Sanjay Boy’ amefunguka kuwa anajivunia kufanya kazi na msanii anayefanya muziki pande...

READ MORE

Sharukani wa Dar yamkuta

Sharukani akitaharuku baada ya fumanizi hilo. Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah Yamemkuta! Jamaa mwenye asili ya udosini almaarufu kwa...

READ MORE

Wema atumbua Mil.300

Wema Sepetu ‘Madam’. Na Mwandishi Wetu WEMA Sepetu ‘Madam’ ni mashine ya kutafuna fedha! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia habari za...

READ MORE

Mtoto wa kajala akerwa na kazi ya mama yake

Mtoto wa muigizaji wa filamu za Kibongo, Kajala Masanja aitwaye Paula. Na Imelda Mtema MTOTO wa muigizaji wa filamu za...

READ MORE

Tattoo yangu inasema- Amanda

Staa wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’. Na Hamida Hassan STAA wa filamu za Kibongo, Tamrina Poshi ‘Amanda’ amesema...

READ MORE

Sitti: chozi langu limenifidia

Sitti Mtemvu.  Na Imelda Mtema SITTI Mtemvu, mrembo aliyeshinda taji la Miss Tanzania Mwaka 2014 lakini akavuliwa baada ya kubainika...

READ MORE

Wastara ndoa tena!

Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma. Na Waandishi Wetu BAHATI ILIYOJE! Baada ya hivi karibuni mumewe, Juma Kilowoko ‘Sajuki’ kutimiza...

READ MORE

Mazishi ya tajiri mtoto, Moshi yazizima

Marehemu, Joseph Frank Maole enzi za uhai wake. Na Mwandishi Wetu MJI wa Moshi ambao ni Makao Makuu ya Mkoa...

READ MORE

OFM yabaini Utapeli tiba mbadala

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na WatotoDk. Hamis Kigwangalla alipotembelea Kituo ya Tiba Asilia ya Fore Plan...

READ MORE

Le Mutuz ajitapa kutoka kimapenzi na Amanda

William Malecela ‘Le Mutuz’ STORI: MWANDISHI WETU NISHAI! William Malecela ‘Le Mutuz’ juzikati aliumbuka baada ya kuposti ujumbe kwenye akaunti...

READ MORE

Gilla anusurika kufa maji

Gilla akiogelea …akiokolewa baada ya kuzidiwa na maji.…akipatiwa huduma ya kwanza Stori:Mayasa Mariwata MSANII wa filamu Bongo, Glasnost Kalinga ‘Gilla’...

READ MORE

Diamond aifutia aibu familia…!

Nyumba ya akina Diamond iliyopo maeneo ya Tandale-Uzuri jijini Dar. Stori: Mayasa Mariwata na Brighton Masalu MKALI wa Bongo Fleva,...

READ MORE

Dairekta awapa makavu mastaa

Mwandishi wetu DAIREKTA wa sinema aliyeiongoza sinema ya Paulo na Sila, Baraka Chigele ameibuka na kusema anawashangaa mastaa wakubwa wasioamini...

READ MORE

Tigo yapigwa faini kwa uzembe

Meneja Mkuu wa Tigo, Deigo Gutierrez Na mwandishi Wetu KAMPUNI ya MIC Tanzania Limited (Tigo) chini ya mkurugenzi wake, Diego...

READ MORE

Ray C arudi kuzimu!

Mrembo aliyewahi kutikisa kwenye ‘gemu’ la Bongo Fleva, Rehema Chalamilla ‘Ray C’. Na Musa Mateja KAMA ni kweli manenomaneno yanayozungumzwa...

READ MORE

Jini kabula amwanika wa ubani wake

Msanii wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’. NA gladness mallya MSANII wa filamu Bongo, Miriamu Jolwa ‘Jini Kabula’ hivi...

READ MORE

Denti chupuchupu kubakwa ufukweni

Maria akisitilia na marafiki zake baada ya kunusurika kubakwa. Deogratius Mongela na Chande Abdallah SIKUKUU NOMA! Zikiwa zimepita siku chache...

READ MORE

Wema, Jokate waungana kummaliza Diamond

Staa wa Bongo Fleva, Ali Kiba ‘King Kiba’ na Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. Na Musa Mateja WAREMBO ‘classic’ ambao ni zao...

READ MORE

Ridhiwani, Makonda waibua mapya!

Na Mwandishi Wetu BODI ya filamu inayosimamia sinema zote kabla ya kuingia sokoni, imewabana wasanii wapya waliotarajia kuachia sinema iitwayo...

READ MORE

Malaika: nimechoka kufananishwa na Lulu

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya vizuri, Malaika Exavery. Na Imelda Mtema MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya...

READ MORE

Kidoa hongera; kuna maisha baada ya ushindi, jipange!

KWAKO Mshindi wa Shindano la Ijumaa Sexiest Girl, Asha Salum ‘Kidoa’. Mambo vipi, ‘kiraruraru’ cha ushindi kimepungua? Unajisikiaje kuwa mshindi...

READ MORE

Diamond amlipua babaa’ke

Mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Musa Mateja MKALI wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, amekata ukimya na kufungukia...

READ MORE

Ulevi noma

Konda huyo akiwa amelewa chakali. Mashaka Kisusi, Mwanza CHAPOMBE! Kondakta wa daladala moja la Wilaya ya Misungwi mkoani Mwanza amejikuta...

READ MORE

Diamond Funga Mwaka Concert…. Acha Kabisa! 

Mfalme wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akifanya yake usiku huu Dar Live. Mashabiki wakifurahia. Diamond akiendelea...

READ MORE

Kidoa aibuka kidedea Ijumaa Sexiest Girl 2015

Video Queen anayefanya pia filamu, Asha Salum ‘Kidoa’ akiwa na tuzo yake ya Ijumaa Sexiest Girl 2015 baada ya kuwafunika...

READ MORE

Simulizi ya Kassim Kayira : Akaa nyumbani siku tatu tu baada ya kuacha kazi! 8

MBIO za kusaka mafanikio maishani ni ndefu mno. Inakuhitaji kuwa mpambanaji haswa, tena usiyekata tamaa mapema. Kassim Kayira ni mmoja...

READ MORE

TRA watikisa utajiri wa Dk.Fadhili

Dk. Fadhili Emily. Mwandishi wetu KASI ya Rais Dk. John Pombe Magufuli inatikisa kila kona. Baada ya mtabibu Dk. Juma...

READ MORE

Mastaa: Magufuli ametuua kwa njaa

GLADNESS MALLYA Jambo limezua jambo! Kufuatia tumbuatumbua inayoendeshwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa vigogo waliokuwa wanawapa jeuri mastaa...

READ MORE