×

Michezo

Kipa Coastal Awafanyia Kitu Mbaya Kagere, Bocco

Jumamosi iliyopita kikosi cha Simba kilipambana na Coastal Union ya Tanga katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa kwenye Uwanja...

READ MORE

Mzungu Mpya: Yanga Tulieni, Mtafurahi

WAKATI uongozi wa Yanga ukiwa katika harakati za kutaka kubadilisha mfumo wa uendashwaji wa klabu hiyo, kutoka wa sasa na...

READ MORE

Yondani: Naachana na Yanga SC

BEKI mkongwe wa kati wa Yanga, Kelvin Yondani, amesema kuwa hana muda mrefu katika soka, hivyo wakati wowote atatangaza kuachana...

READ MORE

Gwambina: Yanga  SC Mtatusamehe, Tutawapiga

TIMU ya Gwambina imesema inafahamu kuwa itakutana na Yanga kwenya hatua inayofuata ya michuano ya Kombe la Shirikisho hivyo wamejipanga...

READ MORE

Baba Samatta Amfungukia Tena Mwanaye

MZAZI wa mshambuliaji wa Aston Villa ya nchini Uingereza, Mbwana Samatta, Mzee Ally Samatta, amemtaka kijana wake huyo abadili mwenendo...

READ MORE

Samatta: Watanzania Msiwatukane Wachezaji wa Aston Villa, Sifurahishwi

NAHODHA  wa timu ya taifa (Taifa Stars) anayechezea Klabu ya Aston Villa ya Uingereza, Mbwana Samatta,  ameomba Watanzania kuacha kutoa...

READ MORE

Kagere Awaza Rekodi Mpya

MEDDIE Kagere, mshambuliaji wa Simba amesema kuwa hana habari na tuzo ya mfungaji bora ila anachotazama ni rekodi mpya kwa...

READ MORE

Nyie Mna Mghana, Sisi Tuna Mbrazil

MASHABIKI wa Simba ambao jana walijitokeza katika Uwanja wa Taifa, Dar, walikuwa na kazi moja tu ya kuwajibu wenzao wa...

READ MORE

Yanga Yaipiga Mtibwa Sugar Bao 1-0, Molinga Atupia

Bao pekee la mshambuliaji David Molinga limetosha kuipa Yanga ushindi 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Taifa, Dar...

READ MORE

Mtibwa Yatumia Mil 70 Kuiua Yanga SC

IMEELEZWA kuwa uongozi wa Mtibwa Sugar umewapa Sh milioni 70 wachezaji wake ili kuhakikisha wanashinda mechi zake za ligi ukiwemo...

READ MORE

Championi Lamwaga Fedha kwa Wasomaji Wake

TIMU ya masoko ya Kampuni ya Global Publishers, Jumamosi, Januari 1, 2020, ilimwaga fedha kwa wasomaji wao waliokutwa wanasoma Gazeti...

READ MORE

ISHU YA LUIS…Fifa Yaingilia Kati Sakata…

SHIRIKISHO la Soka la Kimataifa (Fifa) limemtaka kiungo wa Simba, Luis Jose Miquissone kuwaandika barua ya kuchagua wapi anataka kucheza...

READ MORE

Mbelgiji Asaka Mbinu Mbadala Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Sven Vanderboeck raia wa Ubelgiji amekasirishwa na kitendo cha wachezaji wake kuwaruhusu wapinzani kuingia na mpira...

READ MORE

Mreno wa Benfica Atua Yanga Kufanya Mabadiliko (Video +Picha)

KLABU ya Yanga  leo Jumamosi Feburuari 1, 2020 wamemshusha, Carraca Antonio Domingos Pinto raia wa Ureno kwaajili ya kusimamia mfumo...

READ MORE

Kisa IST…Simba Yaendelea Kumkalia Kooni Kabwili

UONGOZI wa Klabu ya Simba umeendelea kumng’ang’ania kipa wa Yanga, Ramadhani Kabwili kutaka kuthibitisha kauli yake ya kudaiwa kutaka kuhongwa...

READ MORE

Dk 15 Tu, Tanzanite Queens Inaipiga Uganda

KOCHA Mkuu wa timu ya Taifa ya Wanawake chini ya miaka 20 ‘Tanzanite Queens’, Bakari Shime amesema watahakikisha wanafunga mabao...

READ MORE

Kisa Morrison, Tambwe arudi Yanga

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Yanga, Mrundi Amissi Tambwe, leo au kesho anatarajiwa kutua nchini kwa ajili ya kwenda kumuona straika...

READ MORE

Kwa Rekodi Hizi…Simba Wataibatiza Coastal Kwa Moto leo Taifa

REKODI zinadumu bhana! Ndivyo unaweza kusema, hii ni baada ya Simba kuonekana mbabe mbele ya Costal Union ambayo watacheza nayo...

READ MORE

Mkutano Mkuu wa Dharura Yanga Waahirishwa

SIKU chache baada ya uongozi wa klabu ya Yanga kutangaza kuitisha mkutano mkuu wa dharura Februali 16 mwaka huu, mkutano...

READ MORE

Mabao Ya Kagere Yaweka Rekodi Ligi Kuu

UBORA anaoendelea kuuonyesha mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagere, katika kupachika mabao umefunika uwezo wa klabu za Singida United na Ndanda...

READ MORE

Mbelgiji Wa Yanga Alia Na Mabeki Wake

KOCHA Mkuu wa Yanga, Luc Eymael, amesema kuwa kuna tatizo linaloimaliza safu ya ulinzi taratibu na inahitaji kutafutiwa dawa mapema....

READ MORE

Shime: Tutatumia Makosa Ya Uganda Kupata Ushindi

KOCHA mkuu wa timu ya Wanawake wa U20, Bakari Shime amesema kuwa mchezo wao wa marudiano dhidi ya Uganda, utakuwa...

READ MORE

Kipa Yanga Atimkia Kenya, Kocha Afafanua

KIPA namba moja wa Yanga, Farouk Shikalo juzi Jumatano aliondoka nchini na kurejea kwao Kenya kwa ajili ya kwenda kutatua...

READ MORE

Kisa Nyoni, Kocha Simba Apangua Kikosi

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji, Sven Vanderbroeck anatarajia kuivunja safu yake ya ulinzi inayoundwa na Muivory Coast, Pascal Wawa pamoja...

READ MORE

Mtibwa: Tunawachapa Yanga Mapema

THOBIAS Kifaru, Ofisa Habari wa Mtibwa Sugar amesema kuwa mchezo wao wa ligi dhidi ya Yanga hawana presha nao kwa...

READ MORE

Waamuzi Jonesia, Zabron, Sudi Wapewa Onyo -Video

BODI ya Ligi kupitia Kamati ya Usimamizi na Uendeshaji wa Ligi (Kamati ya Saa 72) imewapa onyo waamuzi wa kati...

READ MORE

Kuelekea Mechi Ya Jumanne… Mzuka Wa Samatta Balaa

STRAIKA ghali zaidi Afrika Mashariki, Mbwana Samatta, Jumanne ijayo anaanza kukipiga ndani ya klabu yake mpya ya Aston Villa.  ...

READ MORE

Mkude: Tutaanza Na Ubingwa Wa FA

KIUNGO wa Simba, Jonas Mkude, amesema watajituma hadi tone la mwisho kuhakikisha wanabeba Kombe la FA msimu huu baada ya...

READ MORE

Hatma ya Mbappe PSG hii hapa

STRAIKA wa Paris Saint German, Kylian Mbappe, kwa sasa anaangalia nini anatakiwa kufanya ndani ya klabu hiyo na mwisho wa...

READ MORE

Kocha Namungo: Tulikimba Harufu Vymbani, Bao la Kagere Offside – Video

TIMU ya Simba Sc jana Jumatano, Januari 29, 2020, imeibuka na ushindi wa bao 3-2 dhidi ya Namungo FC katika...

READ MORE

Kocha Simba Amchana Straika Yanga

ALIYEWAHI kuwa kocha wa Simba, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ amemuangalia straika Muivory Coast, Yikpe Gnamien ambaye Yanga wanatamba naye, akasonya kwa...

READ MORE

Hazard Arejesha Matumaini Madrid

STAA wa Real Madrid, Eden Hazard, ameanza kufanya mazoezi ya uwanjani baada ya kuwa nje kwa muda mrefu akiuguza majeraha....

READ MORE

Yanga SC Yakiona Cha Moto Kamati Ya Saa 72

BALAA walilokutana nalo Yanga ni kupigwa faini ya shilingi milioni 2.7 kutoka kwa Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi...

READ MORE

Manara Ampiga Dongo Wziri Mavunde ‘Mwenyekiti ya Bakuli la Taifa’ – Video

Klabu ya Simba SC, Januari 29, 2020 imezindua tawi la Simba ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

Simba Yazindua Tawi Mjengoni

Klabu ya Simba leo Januari 29, 2020 imezindua tawi la Simba ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

READ MORE

YANGA Wafunguka ISHU ya KABWILI ‘Wailipua BODI ya LIGI’ – Video

AFISA habari wa Klabu ya Yanga, Hassan Bumbuli leo Jumatano 29, 2019  na awakubaliani na adhabu walizopewa na Bodi ya...

READ MORE

Simba Sasa Yalia na Ratiba Ligi Kuu Bara

  MBELGIJI Sven Vanderboeck ambaye ni kocha mkuu wa Simba, amelalamika kuwa wanatakiwa kujiandaa kwelikweli kutokana na ratiba yao kuwabana...

READ MORE

Mashabiki wa Man Utd Waishambulia Nyumba ya Ed Woodward

MASHABIKI  zaidi ya 20 wa Manchester United waishambulia nyumba ya Makamu Mwenyekiti Mtendaji wa klabu hiyo, Ed Woodward huko Cheshire....

READ MORE

Samatta Aanza Kwa Kishindo Aston Villa, Waichapa Leicester 2-1 (Picha +Video)

Mshambuliaji Mbwana Samatta amekuwa mtanzania wa kwanza kucheza fainali ya Carabao kwenye Uwanja wa Wembley baada ya Aston Villa kuichapa...

READ MORE