×

Michezo

Mavituz Ya Papy Tshishimbi Yazua Sekeseke

WAKATI wapenzi na mashabiki wa soka mkoani Singida wakijiandaa kuiona kwa mara ya kwanza timu yao ya Singida United ikicheza...

READ MORE

Jonas Mkude Sasa Mambo Safi Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Mcameroon, Joseph Omog amesema kuwa kitendo cha kiungo wake, Jonas Mkude cha kuonyesha kiwango cha juu...

READ MORE

Kamati Ya Saa 72 Kuzikalia Kikao Penalti Za Simba

KAMATI ya Saa 72 ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) inatarajia kukutana wakati wowote kuanzia sasa kwa ajili ya kujadili...

READ MORE

Hatimaye Majimaji Yafanya Kweli, Yaivuruga Stand United

Kikosi cha Majimaji cha mkoani Ruvuma mjini Songea kimefanikiwa kupata ushindi wake wa kwanza katika Ligi Kuu ya Vodacom kutokana...

READ MORE

Kisa Chirwa, Juuko Bado Anaona Maruerue

JUMAMOSI iliyopita Simba na Yanga zilikutana kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar, katika mchezo wa Ligi Kuu Bara. Katika mechi...

READ MORE

Mayanga Awaondoa Mzamiru, Nyoni Taifa Stars

KUELEKEA mchezo wake wa kirafiki dhidi ya Benin, Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Salum Mayanga...

READ MORE

Tumia Simu Kubet Upate Sh Milioni 100

KUTUMIA simu ya mkononi katika mitandao ya makampuni matatu, unaweza kufanya huduma zako za kubashiri matokeo na kujiingizia fedha kadiri...

READ MORE

Lwandamina Azipigia Hesabu Pointi Za Singida United

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mzambia, George Lwandamina, amesema kuwa, anataka kuona wanapata ushindi kwenye mchezo wao wa kesho Jumamosi dhidi...

READ MORE

Nyoni Atangazwa Mchezaji Bora Simba Mwezi Oktoba

MCHEZAJI kiraka wa Simba, Erasto Nyoni ametangazwa kuwa mchezaji bora wa timu hiyo wa wa mwezi Oktoba. Hiyo ni baada...

READ MORE

Ajibu Agawa Shilingi Milioni 1 Kwa Wachezaji Yanga

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Ibrahim Ajibu ambaye ni tegemeo hivi sasa jana aliwagawia wachezaji wenzake shilingi 400, 000 kama sehemu ya...

READ MORE

KILIMANJARO STARS KUGOMBANIA CHALENJI CUP KENYA

KIKOSI cha timu ya taifa ya Tanzania Bara, Kilimanjaro Stars kinatarajia kwenda nchini Kenya kushiriki michuano ya Kombe la Chalenji...

READ MORE

Tottenham Yawapiga Real Madrid Bao 3-1 UEFA (Picha + Video)

Klabu ya Tottenham Hotspur ya Uingereza jana usiku imetinga hatua ya 16 bora ya michuano ya klabu bingwa barani Ulaya...

READ MORE

Wakubwa Wala Vichapo NBA

UZI Jumapili ilikuwa ni siku ya kusha-ngaza na kufura-hisha katika michezo ya Ligi Kuu ya Kikapu Marekani (NBA), hasa baada...

READ MORE

Simba Kutua Mbeya Kibabe

WAKATI wikiendi hii kikosi cha Simba kikitarajiwa kuwa ugenini mkoani Mbeya, ambapo kitacheza mechi mbili, kocha mkuu wa timu hiyo,...

READ MORE

Tshishimbi Ahenyeshwa Juani

KATIKA kuhakikisha wachezaji wake wanakuwa na fiziki ya kutosha, kocha Mkuu wa Yanga Mzambia, George Lwandamina, jana aliwakimbiza wachezaji wake...

READ MORE

Niyonzima: Yanga Walinisumbua Sana

KIUNGO wa Simba, Haruna Niyonzima, raia wa Rwanda, amekiri ugumu kukutana na timu yake ya zamani ya Yanga kutokana na...

READ MORE

Tshishimbi Apewa Tuzo Yanga SC

KUNDI kubwa la mashabiki wa Yanga maarufu kama Yanga For Life, jana Jumanne lilitoa zawadi ya fedha na vifaa vya...

READ MORE

Man U Yaichapa Benfica 2-0 UEFA

  Manchester United ikiwa nyumbani katika dimba la Old Trafford imefanikiwa kuichapa Benfica 2-0 na kwa mara ya kwanza ndani...

READ MORE

‘Povu’ Lamtoka Haji Manara, Awaita Waandishi Awawekea Runinga

Siku mbili baada ya kupitia kwa mchezo wa Yanga na Simba uliomalizika kwenye Uwanja wa Uhuru, Ofisa Habari wa Simba,...

READ MORE

Yanga Waipigia Bonge la Tizi Singida United

BAADA ya kufanya mazoezi ya gym jana, Yanga leo imeanza mazoezi ya uwanjani kwa ajili ya kujiandaa na mechi dhidi...

READ MORE

Omog Akalia Kuti Kavu Simba SC

SARE wanazoendelea kuzipata Simba huenda zikamuondoa Kocha Mkuu wa timu hiyo, Mcameroon, Joseph Omog. Timu hiyo, ilipata sare yake ya...

READ MORE

Lwandamina: Simba Wamshukuru Manula

KAZI kubwa ya kulinda lango aliyoionyesha uwanjani juzi Jumamosi kipa wa Simba, Aishi Manula imemfanya kocha mkuu wa Yanga, Mzambia,...

READ MORE

MAJIMAJI YAFAFANUA SABABU ZA HUMUD KUONDOKA KIKOSINI

WIKI kadhaa baada ya kiungo mkabaji Abdulhalim Humud kutangaza kujiondoa kwenye kikosi cha Majimaji, hatimaye klabu hiyo imetoa jibu kuhusu...

READ MORE

MAELFU WALIVYOIPOKEA SOKABET MTAANI SIKU YA YANGA VS SIMBA

    MAELFU ya wakazi wa Jiji la Dar es Salaam, jana Jumamosi walijipatia elimu ya kubadili maisha yao kwa...

READ MORE

BAADA YA KUITUNGUA YANGA, SASA KICHUYA AMEIFIKIA REKODI YA AMISS TAMBWE

Mchezaji wa Simba, Shiza Ramadhani Kichuya amefunga bao lake la tatu mfululizo dhidi ya Yanga kwenye mechi za Ligi Kuu...

READ MORE

LIVE KUTOKA UWANJA WA UHURU: YANGA 1-1 SIMBA (FULL TIME)

Kubeti Bofya ===> www.sokabet.co.tz MPIRA UMEKWISHAAAAAA Dk 90+1 Yanga wanapata kona baada ya Nyoni kuokoa wakati akimzuia, Ajibu anakwenda kuichonga...

READ MORE

Zlatan Ibrahimovic I’m Back!!

WAKATI leo saa 8:30 mchana Manchester United itaivaa Tottenham Hotspur katika Ligi Kuu England, Zlatan Ibrahimovic amesema; “Narudi, kuanzia pale...

READ MORE

Mambo 10 Utayaona Leo Uwanja wa Uhuru…Simba vs Yanga

YANGA na Simba zinakutana leo Jumamosi kila moja ikiwa imepania kushinda mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa...

READ MORE

Lwandamina Vs Omong Rekodi Zinasema

LEO Jumamosi Yanga inaikaribisha Simba katika mchezo namba 58 wa Ligi Kuu Bara katika raundi ya nane ya ligi hiyo...

READ MORE

Ray: Okwi Anazifunga Timu Ndogo Tu

MSANII wa Bongo Movie’s, Vincent Kigosi ‘Ray’ amewaambia mashabiki wenzake wa Yanga kuwa, wasihofi e mabao ya Emmanuel Okwi wa...

READ MORE

Simba Sawa Lakini Ajibu Ni Wakuchungwa

LIGI KUU Bara inaendelea leo kwa mchezo mmoja kati ya mabingwa wa tetezi, Yanga dhidi ya Simba katika mchezo utakaopigwa...

READ MORE

Wachezaji Simba Waomba Bocco Acheze

WACHEZAJI wa Simba kwa pamoja wamelazimika kumfuata kocha wao Joseph Omog na kumsihi ampange kikosi cha kwanza John Bocco katika...

READ MORE

Pluijm: Ajibu, Okwi Watachafua Uhuru

KOCHA wa Singida United, Hans van Der Pluijm amesema ubora wa washambuliaji, Ibrahim Ajibu wa Yanga na Emmanuel Okwi wa...

READ MORE

Niyonzima: Tunawajua, Hawatusumbui

KIUNGO mchezeshaji wa Simba Mnyarwanda, Haruna Niyonzima ametamka kuwa wala hana hofu ya mechi ya leo dhidi ya Yanga, kwani...

READ MORE

Julio: Simba Wamchunge Ajibu, Atawatungua

KOCHA wa Dodoma FC ya Dodoma, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ameitaka timu yake ya zamani ya Simba kuwa makini na mshambuliaji...

READ MORE

Kichuya: Msikonde Wanangu, Yanga Wepesi Tu

KIUNGO mshambuliaji wa Simba, Shiza Kichuya amewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kuelekea mchezo wao wa leo dhidi ya Yanga,...

READ MORE

Msuva: Ngoma Ngumu Hii, Msidhani Mchezo

KIUNGO wa zamani wa Yanga anayechezea Difaa Al Jadida ya Morocco, Simon Msuva amesema mechi ya leo ya Simba na...

READ MORE

Simba vs Yanga Ni Vita Na Kisasi Uwanja wa Uhuru Kesho

MECHI za Ligi Kuu Bara z i n a t a r a j i a kuendelea wikiendi hii kwa...

READ MORE

Ajibu: Nyie Chongeni Lakini Siwaachi

MSHAMBULIAJI tegemeo hivi sasa wa Yanga, Ibrahim Ajibu amewaondoa hofu mashabiki kwa kutamka: “Waacheni watani wetu Simba wachonge na mwisho...

READ MORE

Buswita: Nitawaonyesha Simba Kwa Nini Nimeichagua Yanga

AKITARAJIWA kucheza mechi yake ya kwanza ya watani wa jadi, kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pius Buswita amesema atautumia mchezo ku­waonyeshea...

READ MORE