Global Radio Yanyakua Tuzo Kibabe
RADIO namba moja ya mtandaoni nchini, @255globalradio imenyakua tuzo kubwa ya *Radio Bora ya Mtandaoni ya Mwaka* kutoka @digitalawardstz.
@255globalradio ilikuwa ikichuana na radio nyingine za mtandaoni katika kipengele hicho cha *Online Radio of the Year*, ambapo washiriki walikuwa ni:-
@Radio7_Oficial
@255GlobalRadio
@Boresha.Radio
@RudishaRadio
– Deep FM
Lakini @255GlobalRadio ndio imeibuka kinara na kunyakua tuzo hiyo.
Kwetu sisi ni faraja kubwa na ni kitu cha kujivunia sana… Lakini pongezi nyingi sana ziende kwa wasikilizaji wetu wote wa @255GlobalRadio ndani na nje ya mipaka ya Tanzania, mashabiki na wapenzi wa @255GlobalRadio popote mlipo, hii ni pamoja na Watanzania wote, nyie ndiyo wamiliki halali wa tuzo hii…
Much respect to our listeners…🙏🏻🎧🔊🎙