Jumba la Pogba Kufuru
| Manchester, England
SUPASTAA wa Manchester United, Paul Pogba amenunua nyumba ya kifahari kwa kitita cha pauni milioni 2.9, zaidi ya shilingi bilioni tano.
Hii inatajwa kuwa kati ya nyumba za gharama zaidi inayokaliwa na mwanasoka kwa sasa duniani. Nyumba hiyo ina vyumba vitano vya kulala, ikiwa na sehemu ya michezo mbalimbali na bafu kubwa la kisasa, milango ya joto, sehemu ya mkutano na waandishi wa habari na sehemu mbili za kupaki magari.
Nyumba hiyo ipo eneo la Cheshire ambapo wanaishi mastaa wakubwa nchini England. Kama mchezaji huyo atataka kutoka nyumbani kwake kwa gari kwenda kwenye Uwanja wa United wa mazoezi Carrington, basi atatumia dakika 20.
Swimming pool ya ndani
Kabla ya kununua nyumba hii, Pogba alipotua United alikuwa akikaa kwenye hoteli ya kisasa ya Lowry. Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 23 ndiye mchezaji aliyesajiliwa ghali zaidi duniani hadi sasa.
Dining room Sitting room
Bafu.
Chumba kikubwa.
Chumba kingine.
Mjengo wenyewe
Kwa stori zote kali, Tu-follow
Facebook @Globalpublishers
Twitter @GlobalHabari
Instagram @GlobalPublishers
YouTube @GlobalTVTZ
Shinda Nyumba Awamu ya Pili Yatikisa Jiji la Dar es Salaam
Comments are closed.