Pogba Afungiwa Miaka Minne Kutocheza Soka Kwa Tuhuma za Kutumia Dawa za Kusisimua Misuli
Mchezaji wa zamani wa Manchester United ambaye kwa sasa anakipiga katika Klabu ya Juventus ya Italia, Paul Pogba amefungiwa kutocheza soka kwa miaka minne baada ya vipimo kuonesha kuwa anatumia dawa za kusisimua misuli ambazo zimepigwa…