MSANII wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed, almaarufu kama Shilole, amepiga shoo kwenye fainali ya BSS kwa msimu huu wa 11 kwa mwaka 2021 usiku wa kuamkia leo Januari 30, 2021, katika Ukumbi wa Ubungo Plaza jijini Dar es Salaam.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.