LIVE KUTOKA MOSHI: MWILI wa Dkt MENGI Wawasili Kilimanjaro
MWILI wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Meng,i umewasili mkoani Kilimanjaro katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) na kupokelewa na mamia ya waombolezaji.
Msafara huo umeongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ambaye aliambatana na ndugu na watoto wa marehemu.
Aidha, baada ya mwili huo kuwasili utapelekwa nyumbani Machame ambako utazikwa kesho Alhamisi.
Comments are closed.