Video: Wabunge Wa ACT Wazalendo Waapishwa Dodoma
SPIKA wa Bunge, Job Ndugai leo Jumanne amewaapisha wabunge wanne wa ACT Wazalendo katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma
Wabunge hao ni Khalifa Mohamed Issa, Khatib Said Haji, Omar Ali Omar na Salum Mohamed Shaafi