The House of Favourite Newspapers

Magufuli Akutana na Rais Obasanjo wa Naigeria, Tazama Walichozungumza – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akimkaribisha Rais mstaafu wa Nigeria Olusegun Obasanjo mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumatano, Januari 16, 2018 amekutana na Rais mstaafu wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, Ikulu jijini Dar es Salaam.

Comments are closed.