Majaliwa Kuzindua Mahakama ya Kisasa Kibaha
Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).
…Akionesha wanahabari kitabu chenye malengo ya mpango mkakati wa miaka mitano.
Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.
WAZIRI Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa jengo jipya na la kisasa la Mahakama ya Wilaya ya Kihaba Mkoani Pwani.
Hayo yalisemwa leo jijini Dar es Salaam na Jaji Mkuu wa Tanzania, Mohamed Chande Othman, alipokuwa akiongea na wanahabari na kusisitiza kwamba uzinduzi huo ni mpango mkakati wa miaka mitano wa mahakama na mradi wa maboresho ya huduma za utoaji haki kwa wananchi ambao unatarajiwa kufanyika siku ya Jumatano ya Septemba 21 mwaka huu.
Kwa hotuba ya Jaji Othman wakati akizungumza na wanahabari tembelea Global TV Online.
Na Denis Mtima/Gpl
Comments are closed.