MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga na Diwani wa Kata ya Mbagala, Yusuf Manji leo amefikakatika Kituo Kikuu cha Polisi Dar, kama alivyoahidi jana baada ya kutajwa kwenye orodha ya watu 65 na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda.
Yusuph Manji alifika asubuhi kwenye kituo cha Polisi cha kati ambapo baadaye alionekana akiwa anatoka nje ya kituo kuondoka lakini ghafla akazuiwa na Polisi na kumwambia anahitajika ndani tena. Manji alirudishwa kituoni hapo akiwa tayari amefika nje akiwa tayari kuondoka.
Global Publishers and General Enterprises Limited is a registered private company dealing in publishing of weekly Swahili newspapers in Tanzania, namely; Uwazi, Ijumaa, Championi, Amani, Risasi & Ijumaa Wikienda.
Next Post
Comments are closed.