Mapema leo timu ya Maofisa Masoko wa Kampuni ya Global Group wameingia katika viunga mbalimbali vya jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kutoa elimu juu ya umuhimu wa kusoma magazeti pendwa ambayo ni Uwazi, Ijumaa Wikienda, Risasi na Amani kwa njia ya kidijitali.
Maofisa hao wametembelea maeneo ya Tegeta Salasala, Tegeta Mbuyuni, Tegeta Nyuki na maeneo mengine ya jiji la Dar es Salaam ikiwa ni njia mojawapo ya kuwahamasisha wasomaji wa magazeti hayo kuendelea kuyapata kupitia njia ya kidijitali.
Akizungumza na wasomaji wa maeneo ya Tegeta Salasala, Ofisa Masoko wa Global, Samwel Eric amesema kuwa Kampuni ya Global katika kuhakikisha inawajali wasomaji wake na wanaendana na wakati imeamua kuwawekea magazeti hayo kwa mfumo wa kidijitali (TEHAMA) ili kuwarahisishia kuoakoa mda wao ambao walikuwa wakiupoteza kwa kwenda katika meza za wauzaji na badala yake waendane na kasi ya teknolojia.
Magazeti pendwa yote ya Global Publishers kwa sasa yanapatikana kupitia mtandaoni pekee na ili kuyapata
hakikisha una Dowload Application yako ya Global Publishers ujisomee hadithi uzipendazo na habari za magazeti ya Uwazi, Ijumaa Wikienda, Risasi na Amani BURE kwa mwezi mzima kwa hivi sasa sasa!
Baada ya OFA hii, utayasoma kwa bei rahisi ya shilingi 300 tu kwa nakala popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania, kupitia Global App au website ya www.globalapp.co.tz #GlobalApp #GlobalPublishers #Uwazi #Risasi #Amani #IjumaaWikienda
Pakua App ya Global kwenye Google Playstore, App Store. Hapa Chini
⚫ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8
⚫ iOS:https://apple.co/3msGaf8