Mastaa wa ‘Majuu’ Wanavyokula Bata Bab’Kubwa Baharini
MAJIRA ya joto ndiyo kwanza yameingia katika ukanda wa majuu (ukanda wa kaskazini wa dunia) na mastaa wa sehemu hiyo ya dunia ambao ndiyo washika mkwanja wakubwa, wanafurahia hali hiyo kwa kujivinjari baharini katika meli, mitumbwi, ngalawa, na kadhalika.
Mastaa hao wamekuwa wakimwaga fedha kubwa katika kukodisha na kutumia ‘zana’ hizo za majini. Miongoni mwao ni Elton John, David Beckham, Cristiano Ronaldo, Kylie Jenner, Jay-Z na Beyonce…
Mwanamuziki Elton John na mshikaji wake.
Kylie Jenner akifurahia betidei yaka ya 22 akiwa katika boti yenye thamani ya £481m (Shs. tril. 1.3).
Ni furaha tupu kwa familia hii ya mastaa.
Taswira ya moja za mashua za starehe zinazotumiwa na mastaa hao.
Hapo ni moja ya meli au boti za kitajiri zinazotumika kujivinjari majini wakati huu wa majira ya joto huko majuu.’
Ronald akifurahia maisha.
Comments are closed.