Mjane Alia Kudhulumiwa Kiwanja Chake-Video
Mwanamke mjane, Mariam Joseph Chuwa, analia! Kilio chake kinatokokana na mizengwe anayodai kufanyiwa na majirani zake, kuhusiana na kiwanja chake, kilichopo Bunju A jijini Dar es Salaam lakini jirani anayelalamikiwa, naye analalamika kwamba kinachozungumzwa na mwanamke huyo, hakina ukweli.