Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Aeleza Ziara za Rais Samia Nchi za Nje na Matokeo… -Video
Mkurugenzi wa mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, leo mei 12, 2022, amezungumza na waandishi wa habari ikulu Dar es salaam, ambapo ameeleza kuhusu ziara za Rais Samia nchi za nje pamoja na matokeo ya ziara hizo.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx