The House of Favourite Newspapers

Mobetto: Diamond Alitaka Tupime DNA kwa Mtoto ‘Majibu Haya Hapa’

0

MSANII wa muziki na Uigizaji hamisa mobetto amethibitisha tetesi za mzazi mwenza wake Diamond Platnumz, Hamisa Mobetto kuchukua vipimo vya DNA na mwanae DYLAN baada ya maneno kuzidi kusambaa juu ya mtoto kuwa ni wa mwanamuziki Charles Njagua ‘Jaguar’.

 


Mobetto amesema kuwa ni kweli Diamond alifanya hivyo ili kujihakikishia na majibu yalitoka asilimia 100% mtoto huyo ni wakwake.

“Tulienda hospitali na tukachukuliwa vipimo vinne vinne, wakasema tusubirie wiki mbili au tatu na majibu yakatoka mtoto kwa asilimia zote 100% ni wakwake,” amesema Mobetto.

Leave A Reply