MWILI wa Mama Mzazi wa Mkurugenzi wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, Bi. Asteria Kahabi Kapela umewasili nyumbani kwake maeneo ya Mikocheni B, jijini Dar es Salaam leo saa 10:00 jioni kwa ajili ya shughuli ya kuagwa itakayofanyika kesho Jumapili.
Bi. Asteria Kahabi Kapela alifariki dunia alfajiri ya jana Ijumaa, Julai 27, 2018 katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete, Muhimbili jijini Dar es Salaam alikokuwa akitibiwa baada ya kuugua kwa muda mrefu.
BREAKING: Mwili wa Mama Shigongo Ukiwasili Nyumbani Muda Huu
PICHA NA RICHARD BUKOS | GPL
Comments are closed.