Nape – “Sikulazimishwa Kumuomba Magufuli Msamaha, Wala Sijapoa” -Video
Mbunge wa jimbo la Mtama, Nape Nnauye, amesema kwa sasa ameimarika zaidi kisisasa anakasi na nguvu zaidi kuliko kipindi cha nyuma hivyo amejipanga kuendelea kutetea wapiga kura wake na anasubiri bunge lianze ili aoneshe cheche zake bungeni.
Comments are closed.