×

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Ijumaa, Septemba 9, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 9 , 2022 Usipitwe na...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi na Ijumaa leo Sep-09, Kwa nusu bei tu 👇 Twende APUNI 👇 iOS...

READ MORE

Matibabu ya (HRT) Baada ya Kukoma Hedhi Kuuzwa Madukani Nchini Uingereza

WANAWAKE wanaopata ukavu sehemu za viungo vya uzazi kutokana na kukoma hedhi sasa wanaweza kununua dawa madukani nchini Uingereza.  ...

READ MORE

Zion Clark: Mwanaume Asiye Na Miguu Aliyeweka Rekodi Ya Kutembea Kwa Kasi Zaidi Duniani

Zion Clark   Watu wengi huamini kwamba mtoto akizaliwa na ulemavu, basi hawezi kuwa na uwezo wowote wa kufanya mambo...

READ MORE

Malkia Elizabeth II wa Uingereza Afariki Akiwa na Umri wa Miaka 96 – Video

Malkia Elizabeth wa pili wa Uingereza amefariki akiwa na umri wa miaka 96 kwenye makazi yake huko Scotland. Alikuwa ni...

READ MORE

Malkia wa Uingereza Elizabeth II Chini ya Uangalizi wa Matibabu Huko Balmoral

Taarifa iliyotoka leo Septemba 8, 2022 kutoka Kasri la Buckingham imesema Malkia wa Uingereza Elizabeth II yupo chini ya uangalizi...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Kwenye Maadhimisho ya Miaka 10 ya Chuo cha NDC, Kunduchi Dar

  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Samia Suluhu Hassan amehutubia kwenye Maadhimisho ya miaka...

READ MORE

Umoja wa Mataifa Umebaini Kuwa Umri, Elimu na Mapato Kushuka

KATIKA muda wa kipindi cha miaka miwili iliyopita, nchi tisa kati ya nchi kumi zimerudi nyuma kwenye Fahirisi ya Maendeleo...

READ MORE

Aliyeshangilia Odinga Kushindwa Urais Achukuliwa Hatua za Kinidhamu

CLIFF ONRICHI ameonekana kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii akishangilia kwa furaha Raila Odinga kushindwa urais nchini Kenya.   Kutokana na...

READ MORE

Baada ya Kufikia Makubaliano, Graham Potter Akubali Kuinoa Chelsea

  MMILIKI wa Chelsea Todd Boehly alikutana na Potter katikati mwa London Jumatano alasiri kwa kile kilichoelezwa kuwa “mazungumzo chanya”...

READ MORE

Makazi ya Raia wa Ukraine Yaliyokua Chini ya Urusi Yarejeshwa, Rais Zelensky apongeza

UVUMI umeenea kwa siku kadhaa juu ya uwezekano wa mafanikio katika eneo la mashariki la Kharkiv, lakini bila neno kutoka...

READ MORE

Chanjo Mpya ya Malaria Yaweza Kupunguza Vifo kwa Asilimia 70% Ifikapo 2030

MTENGENEZAJI mkubwa zaidi wa chanjo duniani, Taasisi ya Serum ya India, imekubali kutengeneza dozi milioni 200 kwa mwaka.   Chanjo...

READ MORE

Tuchel Aliwakataa Wababe Wawili wa Ulaya Msimu Uliopita Kusalia Chelsea

CHELSEA ilimtimua kocha wao mkuu Mjerumani Thomas Tuchel hapo jana. Huku baada ya akifukuzwa, kuna ripoti kwamba alikataa nafasi mbili...

READ MORE

Mshukiwa wa Pili wa Mauaji ya Watu 10 Waliochomwa Kisu Canada, Akutwa Amefariki

MSHUKIWA wa pili wa mauaji ya watu 10 waliochomwa kisu aliyekuwa anatafutwa na Polisi wa Canada, Myles Sanderson amekutwa amefariki...

READ MORE

Jaji Mstaafu Othman Chande Asema Watanzania Wasihofie Kubadili Katiba

JAJI Mkuu wa mstaafu wa Tanazania, Mohammed Chande Othman amewataka Watanzania wasiwe na hofu ya kufanya mabadiliko ya Katiba yatakayoruhusu...

READ MORE

Imefichuka… Mkataba Wambana Morrison Yanga Akizingua Kazi Anayo, Kocha Atia Neno!

IMEBAINIKA kwamba, mkataba aliopewa winga Bernard Morrison raia wa Ghana ndani ya Yanga, umemfanya kuwa miongoni mwa wachezaji wenye nidhamu...

READ MORE

Injinia Hersi Apiga Mkwara Mzito Wachezaji Yanga Ligi ya Mabingwa Afrika

KUELEKEA mchezo wa mkondo wa kwanza wa hatua ya awali ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Zalan FC ya...

READ MORE

Watu 6 Wapoteza Maisha kwa Kukatwa Vichwa na Waasi Nchini Msumbiji

RAIS wa Msumbiji Fillipe Nyusi amesema wanamgambo wa kiislamu walioasi katika jimbo la Napula wamewakata vichwa watu sita (6) huku...

READ MORE

Klopp Akiri Liverpool Lazima Wajipange Upya Baada ya Kipigo Dhidi ya Napoli

KOCHA mkuu wa Liverpool Jurgen Klopp amekiri kwamba timu yake ya Liverpool inahitaji kujipanga upya baada ya kipigo cha goli...

READ MORE

Liz Truss Aweka Mpango wa Kusaidia Waingereza Kukabiliana na Bei za Nishati

ILITANGAZWA wiki iliyopita kuwa bei kikomo ya nishati, ambayo inashughulikia idadi kubwa ya kaya za huko Uingereza, ingepanda kwa asilimia...

READ MORE